Pre GE2025 Upendo Peneza ahamia CCM, awananga CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu Erythrocyte hili siyo jambo jipya. Ila mimi ujumbe wangu kwa CHADEMA ni huu: Akili zitumike vizuri. Jazeni ''sleeper cells'' huko CCM. Kwa wale ambao hawajui maana ya sleeper cells ni majasusi wanaopandikizwa kwa adui yako bila yule adui kuwa na habari. Wakiwa huko, wanajifanya ni chawa wabobezi wa CCM na wanatumika siku kunapokuwa na umuhimu. Kiufupi hata tume ya uchaguzi kama CHADEMA watacheza vizuri wanaweza kupandikiza watu huko. Ila inatakiw iwe siri kubwa sana, na hao mashushushu wajulikane na viongozi wawili tu , tena wale wa ngazi za juu.
 

Kweli kabisa
 
Daaah l, sijui ni kwanini watu wa ajabu ndio hupata nafasi za maana nchi hii? Wanazingatia wingi wa maneno sio uwezo wa utendaji wa mtu.
Alikuwa na skendo Arusha huko kugombea mwili WA marehemu huyu Magige, ila Kwa Peneza ni haki ya mtanzania yeyote kuchagua chama akipendacho, na tusimlaumu Kwa haki yake kikatiba
 
Nitawashangaa wale wanaoitwa WAFIA CHAMA wakisherehekea ujio wake CCM.
Sasa hivi atapata post nzuri na wafia chama mtabaki na manguo ya green.Woote waliohamia ccm kutoka chadema wamepata post.
 
Alikuwa na skendo Arusha huko kugombea mwili WA marehemu huyu Magige, ila Kwa Peneza ni haki ya mtanzania yeyote kuchagua chama akipendacho, na tusimlaumu Kwa haki yake kikatiba
Kweli mkuu, ila ndio kununuliwa uko.
 
Hivi huyu Michael Kamuhanda Yuko wapi siku hizi?
 
Kweli mkuu, ila ndio kununuliwa uko.
Ni kweli hiyo hisia inaweza kutawala, ila aliweza kumudu Kipindi Cha mdororo WA demokrasia magu regime, Sasa nashindwa kupata picha why now!! Ok Kila la kheri, nilikuwa namkubali Sana huyu Dada, ila bibilia imeonya Mambo kuhusu akina mama kukabidhiwa Ukoo
 
Kaogopa maandamano. Kaona aanze mapema kuliko kukinzana na Uongozi wa juu jambo ambalo angeonekana msaliti.
 
Naona Mhe. Mbunge wa sasa wa Geita Mjini hayuko vizuri na wananchi wake hivyo huyu Dada kilichompeleka ni kugombea Ubunge wa Geita Mjini kupitia CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…