Pre GE2025 Upendo Peneza ametemwa na CHADEMA lakini hataki kuachana nayo?

Pre GE2025 Upendo Peneza ametemwa na CHADEMA lakini hataki kuachana nayo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
bbbbbbb.jpeg


Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni wamasiasa mtanzania na mwanachama wa CCM alipohamia kutoka CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa viti maalum kwa miaka 2015-2020

Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.

UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically FREEMAN MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.


Pia soma: Upendo Peneza ahamia CCM, awananga CHADEMA

Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!

PENEZA kama vile ambavyo mwanamke anayeachwa na mume anayempenda basi naye amekuwa kila anapopewa microphone anawaza CHADEMA zaidi kuliko chama kipya alichohamia.

Tabia hii ni ya karibuni kwa wanasiasa wachanga, badala ya kufokas kujifunza ilani ya CCM, Fitna za CCM kama hii ya kupeleka Fainali ya FA from Manyara, yeye anabaki anakimbizana na Mbowe, nafikiri saizi yake ni DUDLEY-mtoto wa Mbowe!
 
Kwanza nilitaka nimuoe ila kwa hii tabia ya umalaya malaya wa kisiasa wa kubadilisha vyama nadhani anaweza badili na ngosha sasa napiga chini
 
View attachment 2997866

Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipohamia kutoka chama cha kisiasa cha CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020. [1]

Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.
UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.
Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!
Ya kuchafuana yana mwisho. Unaweza kuwachafua wengine hadi unaanza kuchafuka mwenyewe. Na "hapo ndipo kutakapokuwa na kulipa na kusaga meno" kama alivyosema Bwana Yesu.
 
View attachment 2997866

Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipohamia kutoka chama cha kisiasa cha CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020. [1]

Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.
UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.
Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!
Mimi ni CCM ila huyu anakera sana kama ni UDC au udiwani huku hapati hizi sio zama za mwendazake.
 
===
Naomba mifumo yote ichunguze kama anachokifanya huyu aliyekuwa Kanda wa CHADEMA kinamanufaa kwa Chama chetu au chama alichotoka,

Kama amekuja kwa shida ya njaa basi atulie ila nafasi za Uteuzi hawezi kupata, hatuwezi kutoa chakula Cha watoto kuwapa Mbwa.

Kama amesoma kitu kinaitwa branding ataelewa kuwa "Any mentioning of the item is brinding"

Whether ís positive mention or negative all are branding.

Dkt Samia Mwenyekiti wangu wa CCM huyu Upendo Peneza mbona anajiita Yuko CCM wakati movement zake ni za kuisaidia CHADEMA?
 
Ya kuchafuana yana mwisho. Unaweza kuwachafua wengine hadi unaanza kuchafuka mwenyewe. Na "hapo ndipo kutakapokuwa na kulipa na kusaga meno" kama alivyosema Bwana Yesu.
Asichokijua yeye na hao maccm wanaomtuma ni kuwa binadamu wana kawaida ya kumpenda zaidi yule ambaye nguvu kubwa inatumika kumchafua lakini yeye hajibu lolote.
Mfano ni Mbowe, umaarufu wake mkubwa unatokana na baadhi ya wanaCCM kumchukia na kumtungia mauongo, kumkebehi nk.
Kama ni uongo watengeneze maudhui ya aina moja kisha waseme saa 2 usiku suala hilo litazungumzwa na wenyeviti wa vyama, Samia TBC na Mbowe ITV kisha muone wapi kutatazamwa na wengi!
 
Asichokijua yeye na hao maccm wanaomtuma ni kuwa binadamu wana kawaida ya kumpenda zaidi yule ambaye nguvu kubwa inatumika kumchafua lakini yeye hajibu lolote.
Mfano ni Mbowe, umaarufu wake mkubwa unatokana na baadhi ya wanaCCM kumchukia na kumtungia mauongo, kumkebehi nk.
Kama ni uongo watengeneze maudhui ya aina moja kisha waseme saa 2 usiku suala hilo litazungumzwa na wenyeviti wa vyama, Samia TBC na Mbowe ITV kisha muone wapi kutatazamwa na wengi!
Hakuna CCM yenye akili ndogo kumtuma mtu kutajataja CHADEMA
 
View attachment 2997866

Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipohamia kutoka chama cha kisiasa cha CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020. [1]

Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.
UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.
Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!
hivi wale akina dr slaa Lisu na hata Mbowe huwa nao wameachika? yule wanaemzungumza saaanaaa wapatapo fursa jukwaani, huwa ni nani wao? 🐒
 
View attachment 2997866

Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipohamia kutoka chama cha kisiasa cha CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020. [1]

Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.
UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.
Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!
Huyu ajuza ameona haolewi hana cha kufanya ziaidi ya kutafuta uteuzi kwa nguvu
 
Back
Top Bottom