Pre GE2025 Upendo Peneza ametemwa na CHADEMA lakini hataki kuachana nayo?

Pre GE2025 Upendo Peneza ametemwa na CHADEMA lakini hataki kuachana nayo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 2997866

Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipohamia kutoka chama cha kisiasa cha CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020. [1]

Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.
UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.
Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!
Hajaanza yeye waitara pia alifanya kazi hii na wengine wengi tu haikuwalipa mwisho wapo tena hawafahamiki Nini kimewasibu kazi kwake yeye
 
Sad, if she is 35+ siku hizi tunaingia monopause at 42, haya tuone vile itakuwa.
Mwambie aje nimfanyie sperm donation free of charge simchaji hata 100 MBOVU bure kabisa mapema kabla hajavuka menopause
 
Nivizuri kama ameolewa akae na bwanaake kama ajaolewa atafute mchumba! Anakuja race sana
 
View attachment 2997866

Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipohamia kutoka chama cha kisiasa cha CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020. [1]

Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.
UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.
Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!
Mkuu nauliza tu, hivi huyo madam kabla ya kuwa CHADEMA hakuwa CCM?
 
Kitu ambacho hajui, wale wakongwe wa michakato CCM tayari wameshamdharau kilichobaki nikumtumia kama Condom tu nakumtupa tu huko.
 
View attachment 2997866

Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipohamia kutoka chama cha kisiasa cha CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020. [1]

Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.
UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.
Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!
MALAYA wa KISIASA huyu njaa kali
 
Back
Top Bottom