Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Naunga mkono hojaHakuna CCM yenye akili ndogo kumtuma mtu kutajataja CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaHakuna CCM yenye akili ndogo kumtuma mtu kutajataja CHADEMA
Sad, if she is 35+ siku hizi tunaingia monopause at 42, haya tuone vile itakuwa.Ana msongo wa mawazo, wanaume wanamtumia hakuna anayetaka kumuoa hata mmoja na jua limeenda balaa 35+
Labda aolewe na babu aliyefiwa na mke wakeSad, if she is 35+ siku hizi tunaingia monopause at 42, haya tuone vile itakuwa.
Huyu dada anatumika kisiasa na kimaumbileView attachment 2997866
Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipohamia kutoka chama cha kisiasa cha CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.
UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.
Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!
Inawezekana akawa na mtusi huyoKwa huyu mtanzania mwenzetu mwenye asili ya rwanda. Anapendeza sana akivaa nguo za khaki.
Nashauri tu Ccm wawe makini, huyu mrembo atarudi Chadema tu.
UwiiiiiiiiiiiiiiiHuyu dada ni Mjinga sana tena CCM hatumtaki kazi yake ni kuipromot tu CHADEMA mitandaoni.
Ni muhutu mmoja chumia tumbo kama alivyokuwa ShonzaHivi upendo peneza ni nani
Stuka sasa mzeeKwanza nilitaka nimuoe ila kwa hii tabia ya umalaya malaya wa kisiasa wa kubadilisha vyama nadhani anaweza badili na ngosha sasa napiga chini
Hakika neno la Mungu daima halifutikiYa kuchafuana yana mwisho. Unaweza kuwachafua wengine hadi unaanza kuchafuka mwenyewe. Na "hapo ndipo kutakapokuwa na kulipa na kusaga meno" kama alivyosema Bwana Yesu.
View attachment 2997866
Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipohamia kutoka chama cha kisiasa cha CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.
UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.
Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!
Endeleeni kumtumia kama mlivyomtumia Shonza hadi akapata mtotoCCM hatumtaka ni mpumbafu sna
Udc ndiyo chazo cha vijana wengi kujitoa akiliMimi ni CCM ila huyu anakera sana kama ni UDC au udiwani huku hapati hizi sio zama za mwendazake.
Kikulacho kipo nyumbani kwenu===
Naomba mifumo yote ichunguze kama anachokifanya huyu aliyekuwa Kanda wa CHADEMA kinamanufaa kwa Chama chetu au chama alichotoka,
Kama amekuja kwa shida ya njaa basi atulie ila nafasi za Uteuzi hawezi kupata, hatuwezi kutoa chakula Cha watoto kuwapa Mbwa.
Kama amesoma kitu kinaitwa branding ataelewa kuwa "Any mentioning of the item is brinding"
Whether ís positive mention or negative all are branding.
Dkt Samia Mwenyekiti wangu wa CCM huyu Upendo Peneza mbona anajiita Yuko CCM wakati movement zake ni za kuisaidia CHADEMA?
Kwanza siku hizi kuna mtu anatazama hiyo tbc?Asichokijua yeye na hao maccm wanaomtuma ni kuwa binadamu wana kawaida ya kumpenda zaidi yule ambaye nguvu kubwa inatumika kumchafua lakini yeye hajibu lolote.
Mfano ni Mbowe, umaarufu wake mkubwa unatokana na baadhi ya wanaCCM kumchukia na kumtungia mauongo, kumkebehi nk.
Kama ni uongo watengeneze maudhui ya aina moja kisha waseme saa 2 usiku suala hilo litazungumzwa na wenyeviti wa vyama, Samia TBC na Mbowe ITV kisha muone wapi kutatazamwa na wengi!
Yaani Peneza anafanya mambo kama anavyofanya Ahmed Ally msemaji wa Simba.Hakuna CCM yenye akili ndogo kumtuma mtu kutajataja CHADEMA
Kimaumbile sidhani, inasemekana ni "virgin"Huyu dada anatumika kisiasa na kimaumbile