Hivi ni upendo peneza au jeneza?Hivi upendo peneza ni nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni upendo peneza au jeneza?Hivi upendo peneza ni nani
BravoView attachment 2997866
Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) alipohamia kutoka chama cha kisiasa cha CHADEMA tarehe 22 Januari 2024. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la akitokea CHADEMA.
UPENDO amehama CHADEMA, amekuwa akizunguka vyombo vya habari kuichafua CHADEMA na specifically MBOWE bila kusoima upeo wa siasa ulivyo kwa sasa.
Amesema amehama kutokana na kazi nzuri inayofanywa na CCM!
Bado mzuri analipaAna msongo wa mawazo, wanaume wanamtumia hakuna anayetaka kumuoa hata mmoja na jua limeenda balaa 35+
Inawezekana alipokuwa Chadema, lakini huko aliko sasa hakuna tofauti na kutafuta "Virgin" kwa waliolazwa wodi ya wazazi Mwananyamala.Kimaumbile sidhani, inasemekana ni "virgin"
Mbona unachanganya madesa wewe ndugu?hivi wale akina dr slaa Lisu na hata Mbowe huwa nao wameachika? yule wanaemzungumza saaanaaa wapatapo fursa jukwaani, huwa ni nani wao? 🐒
pole sana kamanda, umeconfuse sio 🐒Mbona unachanganya madesa wewe ndugu?
Maza amesanda sahivi hatoi vyeo hovyo hovyo
Mkuu, katika utafiti wangu niliona kuwa; '.kuna kipindi CCM, hakikuwa na vijana wasomi na wenye weledi na hivyo kuanza kuwatafuta vijana hao nje ya CCM ili kujaza nafasi za uongozi ndani ya Serikali. Vijana wengi walitokea CDM na CUF; kama akina Nasary, Mtatiro, Silinde, Gekule na wengine wengi tu, hii ni dalili kuwa Chama hakikuwa na vijana wasomi (mahiri) na ndio maana tunaona vijana wake halisi ni walewale tu, wanajirudia rudia ndani ya Utumishi wa Umaa, hakuna wapya kutoka ndani ya chama, hii ni dalili tosha kuwa Chama hakina vijana wake wasomi na wachapa kazi, waliopo wengi ni CHAWA. Kwa mantiki hiyo inaonyesha kabisa kwamba: kwa sasa CHAMA hakina uwezo kabisa wa ku-isimamia Serikali.ametoka chuo akiwa hana chama, huoni ni katoto?
Waliozaliwa ccm ndio hawa akina singida Big stars na "Munawuye"
Mpaka sasa CCM hawana watu wa kujaza nafasi za uongozi wa kuteuliwa..
Mkuu, katika utafiti wangu niliona kuwa; '.kuna kipindi CCM, hakikuwa na vijana wasomi na wenye weledi na hivyo kuanza kuwatafuta vijana hao nje ya CCM ili kujaza nafasi za uongozi ndani ya Serikali. Vijana wengi walitokea CDM na CUF; kama akina Nasary, Mtatiro, Silinde, Gekule na wengine wengi tu, hii ni dalili kuwa Chama hakikuwa na vijana wasomi (mahiri) na ndio maana tunaona vijana wake halisi ni walewale tu, wanajirudia rudia ndani ya Utumishi wa Umaa, hakuna wapya kutoka ndani ya chama, hii ni dalili tosha kuwa Chama hakina vijana wake wasomi na wachapa kazi, waliopo wengi ni CHAWA. Kwa mantiki hiyo inaonyesha kabisa kwamba: kwa sasa CHAMA hakina uwezo kabisa wa ku-isimamia Serikali.
Watu wanapasiana tu kama kitenesi vile,yule mtusi mwenzake ndiye kajenga kibanda kabisa.Atatumika kama tambara la kudekia
Na akirudu tutampokea ila hata India sebuleni atakaa barazani hadi turidhike kuwa ni mwenzetu kweli na sii covid/mgeni🤣Kwa huyu mtanzania mwenzetu mwenye asili ya rwanda. Anapendeza sana akivaa nguo za khaki.
Nashauri tu Ccm wawe makini, huyu mrembo atarudi Chadema tu.
Njaa zinawasumbua sn.
Mkuu, katika utafiti wangu niliona kuwa; '.kuna kipindi CCM, hakikuwa na vijana wasomi na wenye weledi na hivyo kuanza kuwatafuta vijana hao nje ya CCM ili kujaza nafasi za uongozi ndani ya Serikali. Vijana wengi walitokea CDM na CUF; kama akina Nasary, Mtatiro, Silinde, Gekule na wengine wengi tu, hii ni dalili kuwa Chama hakikuwa na vijana wasomi (mahiri) na ndio maana tunaona vijana wake halisi ni walewale tu, wanajirudia rudia ndani ya Utumishi wa Umaa, hakuna wapya kutoka ndani ya chama, hii ni dalili tosha kuwa Chama hakina vijana wake wasomi na wachapa kazi, waliopo wengi ni CHAWA. Kwa mantiki hiyo inaonyesha kabisa kwamba: kwa sasa CHAMA hakina uwezo kabisa wa ku-isimamia Serikali.
Kabisa kabisa 😆🤝🏾Na akirudu tutampokea ila hata India sebuleni atakaa barazani hadi turidhike kuwa ni mwenzetu kweli na sii covid/mgeni🤣