Pre GE2025 Upendo Peneza ametemwa na CHADEMA lakini hataki kuachana nayo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu dada nani kamdanganya kuhama CHADEMA. Amegeuka kichekesho na hakuna anayempa time. Mwisho atajinyonga asipopata cheo.
 
Huyu dada anatumika kisiasa na kimaumbile
 
Kwanza nilitaka nimuoe ila kwa hii tabia ya umalaya malaya wa kisiasa wa kubadilisha vyama nadhani anaweza badili na ngosha sasa napiga chini
Stuka sasa mzee
 
Ya kuchafuana yana mwisho. Unaweza kuwachafua wengine hadi unaanza kuchafuka mwenyewe. Na "hapo ndipo kutakapokuwa na kulipa na kusaga meno" kama alivyosema Bwana Yesu.
Hakika neno la Mungu daima halifutiki
 

Kalai aka ng'ombe aliyekosa mkia.
 
Kikulacho kipo nyumbani kwenu
 
Kwanza siku hizi kuna mtu anatazama hiyo tbc?
 
Hakuna CCM yenye akili ndogo kumtuma mtu kutajataja CHADEMA
Yaani Peneza anafanya mambo kama anavyofanya Ahmed Ally msemaji wa Simba.

Maana kutwa mzima anaisemea Yanga tuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…