Pre GE2025 Upendo Peneza: Jengo la HQ ya CHADEMA Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango (makato) ya Wabunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo alitaka linunuliwe Kwa pesa zipi yy si alikuwa mwanachama? Huko CCM akiambiwa achange kwa manufaa ya chama hachangi? Kuna wakati unapoongea utafakari kwanza. Kwani viwanja vya mipira ambavyo CCM imefanya mali yake hatukutoa nguvu zetu?
 
Kuna tatizo ruzuku kununua jengo la chama? Plus hiyo michango ni payback ya chama kuwapa platform na kuweza kuingia mjengoni
 
MAHUSIANO YAKE NA DOTTO BITEKO NDIO YAMEMPEKEA KUENDA HUKO ?
 
La ccm limenunuliwa kwa pesa gani?
 
Toka aende CCM ametumika sana kama kiburudisho sasa wamemkinai hawana habari naye tena ndiyo maana ana msongo wa mawazo. Masikini amebakia komwe tu.
 
Alitaka linunuliwe na nini?
 
Juzi kasahau kuwa alishasema haya anadai hajui hela waliyochangishwa ilienda wapi. Kana mfadhaiko wa akili .
 
Hii sio habari.
Manunuzi yeyote yana chanzo cha mapato. Sasa kama CHADEMA walitumia vyanzo hivyo alivyovitaja kuna kosa au ubaya gani.
Huyo anefilisika, kamq ile show aliyotoa wakati ule kwa yule jamaa haikumsaidia basi aneishachelewa
 
Amehama lakini anaumia sn kuona CHADEMA wapo kimya hawamjibu chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…