Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

KWA hii comment yako ndoa ya upendo imekufa chali kifo Cha mende aibu kuchunguliwa na mtoto na ule mwili wake loh. Atafte vetenary mwenzake
 
Hivi watu mnatumia vigezo gani kusema,huyu mama kaolewa na kijana mdogo

swali langu lipo hapo kwenye neno kijana mdogo mnampima mtu kwa kigezo gani

mpaka mnagundua ni mdogo,mtoto,serengeti boy,nk hebu nisaidieni hiyo elimu namimi inisaidie.
Ni mdogo kwa sababu aliyemuoa kamzidi umri.
 
Lakini Mido alikua na ki binti cha age yake kinaishi Tabata. Mido alikua anaenda kukitembelea na Harrier ya Pendo. Umbea ujamfikia Pendo. Kamtimua saa hivi anaka kufukuza nzi kwenye duka la kaka yake Kariako. Anaomba msama lakini bi mkubwa kamkazia
Dogo naye kashindwa kula na kipofu angeenda kuchukua maujuzi kwa Uncle Shamte ona kamwaga kitumbua.
 
Duh. Dhambi jamani sasa kwanini mtu unakubali kumuoa. Yani Midole kanikera. Unachepuka ata ndoa haina mwezi.
Dada anasura ngumu na shape kama mwanamieleka,lazima uwe unalewa ili umuone beyonce ndio umgegede...yuko mshkaji alikua na limama shepu kma huyo ilikua anaenda hom ucku kalewa plus bange.
Yani hakua anaficha anasema bila hivyo siwezi
 
Mkuu acha wivu, inawezekana yule wa kwanza hana Tango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…