sema analea sana wana kisha wanajipigia na kusepaSio muuza mchicha huyo alokamatwa, muuza mchicha tunaye na tunatamba nae anatupikia mix mix.
Wanamsagia kunguni mdada wa watu, wa kishua mwenyewe, mihela kaikuta ya urithi....mamake alisomaga Havard enzi hizo plus alikuwa mpambanaji....na yeye karithi hela na kupambana.
Watuachie Loveness wetu.
Ndo maisha alojichagulia, tumuache.sema analea sana wana kisha wanajipigia na kusepa
Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya kifahari, magari na hujinasibu mumewe Dr. Baba Iman Baba wa mwanae mmoja humpa support kubwa Sana.
Tulizoea kuona akipost picha za mumewe huyo na yeye na mtoto. Alimpa sifa zoote. Huyu dada ni kioo cha jamii na Wanawake wengi yeye ndo 'role model' wao.
Mara ghafla naona tena Kafunga Ndoana kijana mwingine.
Je ni nini kilimpata yule Mume wake Baba Iman, Daktari wake wa maradhi yote?
Cc: warumi
Ukishakuwa super Woman lazima uolewe tena!
Prishaz aisee hili jina linafanana na jina la mtu namjua kabisa...aisee asije akawa mwenyewe....anyways huyo dogo atakuwa huwa anazama sana mgodini, kwa kifupi dogo ni mchimba chumvi, madogo mjini wanajilipuaKuwa na vijana wadogo hivi ni pasua kichwa,ila ndio hivyo kipendacho roho...
Na alishaachana na huyo dogo akaolewa na jamaa flani mhindi kitambo sana....na ukute pia walishaachana na mhindi akajiolea kengine kadogo dogoUkishakuwa super Woman lazima uolewe tena!
Na alishaachana na huyo dogo akaolewa na jamaa flani mhindi kitambo sana....na ukute pia walishaachana na mhindi akajiolea kengine kadogo dogo
Yaan mwanamke akishajiita super Woman ni changamoto tayariNa Huyu tena wataachana, maisha yasiyokuwa na furaha !
Huyu kaolewa ya pili, haikudumuNdoa ya kwanza Huwa watu wanakosea kuingia ya pili Huwa ni marekebisho ya makosa waliyofanya thus ya pili Huwa inadumu
walishaachana akaolewa tena, na huyo aliyeolewa naye tena wameshaachana.Na Huyu tena wataachana, maisha yasiyokuwa na furaha !
Yule muhindi hakuwa mume wake, aliolewa na jamaa flan wa Ilala giant hiv.Na alishaachana na huyo dogo akaolewa na jamaa flani mhindi kitambo sana....na ukute pia walishaachana na mhindi akajiolea kengine kadogo dogo
Aahhh raha jipe mwenyewe, haya maisha ya kuishi unawaza kina flani watanionaje huwezi ishi maisha yako hadi unakufaYule muhindi hakuwa mume wake, aliolewa na jamaa flan wa Ilala giant hiv.
AH siku nyiiiiiiing