Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya kifahari, magari na hujinasibu mumewe Dr. Baba Iman Baba wa mwanae mmoja humpa support kubwa Sana.

Tulizoea kuona akipost picha za mumewe huyo na yeye na mtoto. Alimpa sifa zoote. Huyu dada ni kioo cha jamii na Wanawake wengi yeye ndo 'role model' wao.

Mara ghafla naona tena Kafunga Ndoana kijana mwingine.

Je ni nini kilimpata yule Mume wake Baba Iman, Daktari wake wa maradhi yote?

Cc: warumi


View attachment 1525868
Alishawishika na tamaa za Mama Diamond kutaka vijana ili awe anashindana na wasichana wa mjini huko Instagram na Facebook.
 
Lakini Mido alikua na ki binti cha age yake kinaishi Tabata. Mido alikua anaenda kukitembelea na Harrier ya Pendo. Umbea ujamfikia Pendo. Kamtimua saa hivi anaka kufukuza nzi kwenye duka la kaka yake Kariako. Anaomba msama lakini bi mkubwa kamkazia
Marioo wana shida sana jomoni[emoji849][emoji849][emoji16]
 
Dada anasura ngumu na shape kama mwanamieleka,lazima uwe unalewa ili umuone beyonce ndio umgegede...yuko mshkaji alikua na limama shepu kma huyo ilikua anaenda hom ucku kalewa plus bange.
Yani hakua anaficha anasema bila hivyo siwezi
Ila nyieee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
 
Tatizo la kukurupuka huyu aliitaji muda kidogo wa kutulia baada ya ndoa ya kwanza kuvunjika aje apate mtu sahihi yeye siku chache kaanza kupost mipicha ya kuolewa tena.
Yaani aliona ana mrusha roho mmewe aliyeachana naye kumbe ndio analikoroga ,naunga mkono hoja ilitakiwa atulie aje kupata mtu sahihi huko mbele na sio kukurupuka tu.
 
Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya kifahari, magari na hujinasibu mumewe Dr. Baba Iman Baba wa mwanae mmoja humpa support kubwa Sana.

Tulizoea kuona akipost picha za mumewe huyo na yeye na mtoto. Alimpa sifa zoote. Huyu dada ni kioo cha jamii na Wanawake wengi yeye ndo 'role model' wao.

Mara ghafla naona tena Kafunga Ndoana kijana mwingine.

Je ni nini kilimpata yule Mume wake Baba Iman, Daktari wake wa maradhi yote?

Cc: warumi


View attachment 1525868
Hivi ana uhusiano na Mama Dangote? Inaelekea anapenda sana kuweka mjini vijana wa Bongo fleva. Wakigombana tu wanakwenda kumuimba kwenye nyimbo zao na yeye husikia sifa.
 
Mzuri sana. Na mm ngoja nijaribu bahati yangu kwani kuwa Kama houseboy wakat unapata kila kitu ba Harrier unaendesha tatizo lipo wap? Mtaani pagumu Sana Bora nikatukanwe kwenye like jumba lake lenye swimming pool ndani kuliko nipigike kitaa
Hebu jaribu kabahati kako mkuu

Life linabana nnyaa
 
Nimeona.... Kaandika SINGLE in capital letters. Kafunga Comments pia. Hataki Maswali. Dahh.... Mungu Tusaidie Jamani.

Ndoa HASA Maana yake Nini???
Mbona nikimsearch ' open kitchen namkosa jomoni

Nisaidie jina lake
 

Attachments

  • Screenshot_20201217-181103.png
    Screenshot_20201217-181103.png
    183.5 KB · Views: 16
Eti aibu kuchunguliwa na mtoto kwani huyo upendo anamiaka mingapi???? Na huyo kijana mwezetu anamiaka mingapi??? Alfu kitabu gani kimekataza mwanamke asiolewe na mwanaume aliemzidi umri??? Au mwana philosophy gani ulimsika anazungumza kua haifai mwanamke kumzid umri mwanaume?? Laiti kama huyo mwamba angekua yupo vzr ki financially wala mambo ya umri tusinge yaskia embu acheni kupangia watu maisha jamani kama wewe una penda vibabu olewa navyo upendo wa watu yupo below 40 anakula vzr anafanya mazoez anataka mtu ambae anatembeza bakora usiku kucha hataki vibabu ambavyo havina kazi. Ukitaka kuamini nikisemacho kamuulize mama wakuitwa MADONNA!!!
Unatoa tu povu la bure Mimi from begining nilisema hii ndoa haudumu na kweli imekufa kifo chali Cha mende huku upendo akiumizwa tuwe tunaangalia na watu kabla ya mahusiano huyo pendo alivo na huo mwili na kila kitu kujitaftia ben ten ni anajitaftia maradhi ya moyo. Ben ten anataka kula maisha na kuzaa huyo pendo staweza. Wanawake msiojiamini ka huyo upendo mtataseka Sana kuchunguliwa papa zenu
 
Back
Top Bottom