Upenzi uliotopea na ufia vyama vya siasa ndio kiini na chimbuko la kusuasua kwa uchumi wa nchi yetu! Iko tutapatiwa kiongozi mbovu sana

Upenzi uliotopea na ufia vyama vya siasa ndio kiini na chimbuko la kusuasua kwa uchumi wa nchi yetu! Iko tutapatiwa kiongozi mbovu sana

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kama mada inavyojieleza hapo juu, nchi yetu imejaaliwa kuwa na kila fursa ya kuifanya iongoze uchumi wa Afrika Mashariki na hata Afrika nzima. Lakini tatizo kubwa sana tulilo nalo kama nchi ni mfumo wetu wa uongozi.

Mfumo wa uongozi wa nchi tulionao, hautoi nafasi ya watu kuwa huru na mawazo na upeo wao wa kusimamia mambo kwa kadri walivyojaaliwa na Mungu, bali husalimisha kila kitu mikononi mwa chama.

Na hii inatokana na katiba yetu kutoa mamlaka makubwa sana Kwa vyama vya siasakuhodhi nafasi za kuongoza.

Tumeshuhudia mara nyingi mtu akitofautiana na chama chake hata kama mawazo yake ni ya kujenga nakusaidia mwananchi, atapata misukosuko na kutshwa hatimae kunyamazishwa.

Yaani hata kama kungekuwa na mpango mbovu kiasa gani, ilimradi unaratibiwa na chama basi utalazimika kuupigia debe Ili kulinda mapenzi Yako kwa chama.
 
Kama mada inavyojieleza hapo juu, nchi yetu imejaaliwa kuwa na kila fursa ya kuifanya iongoze uchumi wa Afrika Mashariki na hata Afrika nzima. Lakini tatizo kubwa sana tulilo nalo kama nchi ni mfumo wetu wa uongozi.

Mfumo wa uongozi wa nchi tulionao, hautoi nafasi ya watu kuwa huru na mawazo na upeo wao wa kusimamia mambo kwa kadri walivyojaaliwa na Mungu, bali husalimisha kila kitu mikononi mwa chama.

Na hii inatokana na katiba yetu kutoa mamlaka makubwa sana Kwa vyama vya siasakuhodhi nafasi za kuongoza.

Tumeshuhudia mara nyingi mtu akitofautiana na chama chake hata kama mawazo yake ni ya kujenga nakusaidia mwananchi, atapata misukosuko na kutshwa hatimae kunyamazishwa.

Yaani hata kama kungekuwa na mpango mbovu kiasa gani, ilimradi unaratibiwa na chama basi utalazimika kuupigia debe Ili kulinda mapenzi Yako kwa chama.
Tatizo ni mtindo wa serikali mbadala kuvizia mistakes, dosari au kasoro za serikali ndio wazinduke tena ni kulalamika tu kwa mihemko sio kuja na altenative plans :pedroP:

kulalamikia mfumo na eti hakuna uhuru wakati kuna vyama vingi ni visingizio vilivyo kosa maono na uelekeo....

unategemea nani abadili huo mfumu ambao hupendezwi nao? wakati wenye mfumo wao ndio wanaona unawafaa zaidi?

collect and organise your brains, go back on the drawing table, discuss and come up with alternative plans and strategies to counter the current ones na sio kulalamika tu....

kwa kufanya hivyo ni lazoma tutapiga kiuchumi, kisiasa na kijamii:NoGodNo:
 
Back
Top Bottom