Upepo cover; Shkamoo Ray C

Hahahaaaaa Mungu amsaidie tu isijekuwa mpopo yupo after something maana Jide hanaga bahati ya wanaume kuanzia Ruge hadi Gadna heheeeeee nimeanza umbea sasa.
Wanaija hawawezi penda demu hivi hivi...

Yaani hapo kifupi VIUNGO kafata pesa nothing else...

Na anamchuna kweli, manake hizo trip ni hakunaga mara kwa wakwe Abuja, Mara Canada vacational we acha tuu jamaa ana bahati sana!
 
Hahahaaaaa umejuaje?Ndio maana niliporudi nimeanza na kumpa heshima yake.

Ray C ni moto,hakuna kama yeye tena nchi hii.
Hawa wengine walikuwa wanatuumiza masikio.
Fanya kumuunga mkono Makonda hivi vipaji visipotee
 
We ni Team Ray C,hata akikosea unapiga makofi.Akitokea msanii kutoka Team nyingine hata kafanya vizur unakuwa wa kwanza kukosoa
 
Unajua mi navyomuona ray c ni kama q chillah. Ukiwekeza Hela yako hairudi ng'o. Hawana biashara hawa watu, Walishapotea over. Na ray c alikuwa mkali kuliko jide na niliwahi waambia watu ishu hiyo 2004. Nchi yetu haina kiwanda cha muziki hivyo wasanii wa zamani hawana soko tena, hasa Wale waliotopeA kwenye MajangA makubwa kama unga.
 
Wanaija hawawezi penda demu hivi hivi...

Yaani hapo kifupi VIUNGO kafata pesa nothing else...

Na anamchuna kweli, manake hizo trip ni hakunaga mara kwa wakwe Abuja, Mara Canada vacational we acha tuu jamaa ana bahati sana!
Ila kweli jamani Wanaija matapeli sana.

Jide asipokuwa makini atalia tena. Ila kuwa na pesa ni shida tu wakati mwingine.
Kama hivi tayari tunadoubt loyality ya Spice sababu ya pesa za Jide.
 
Fanya kumuunga mkono Makonda hivi vipaji visipotee
Nitamuunga mkono Makonda pale atakapokuwa na approach nzuri ktk issue ya madawa ya kulevya na sio vinginevyo.

Kwahiyo kuwakamata wale vijana kumesaidia nini?
Adeal kwanza na waingizaji na sio walaji
Period
 
We ni Team Ray C,hata akikosea unapiga makofi.Akitokea msanii kutoka Team nyingine hata kafanya vizur unakuwa wa kwanza kukosoa
Huna hoja,naomba nikupuuze tafadhali.
 
Hayo ni maoni/maono yako,kama ipoipo tu.
Wewe sio Mungu useme neno lako lazima litimie.
 
Hahaa
Ila swali la kizushi kwan Recho yupo wapi?
Nilimuona juzikati alipokamatwa katika issue ya madawa ya kulevya mkuu,sijui alipo.
Ila kawa kibonge sio Rachel yule unayemjua.
 
Hahaaa..well said tho alikua kimya sana
hela c mchezo mchezo...investor wakubwa hao..
 
me naomba kujua sababu ya ww kuwekwa mahabusu.
Ilikuwa lazima niwekwe mkuu,40 zangu zilifika and somebody is happy outa there [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naomba nisiseme zaidi,ukitaka kujua sababu watafute JamiiForums watakupa sababu.
 
Ilikuwa lazima niwekwe mkuu,40 zangu zilifika and somebody is happy outa there [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naomba nisiseme zaidi,ukitaka kujua sababu watafute JamiiForums watakupa sababu.
haya poa msalimie the bold
 
Arudi tu, ila mimi kwangu nadhani toka abadili rangi ndo ilikuwa mwisho wangu na yeye, sioni radha ya kumwangalia kabisa, namiss sana lile jicho la kwenye Uko Wapi!


She will never be the same.
Na alaniwe Mwisho Mwampamba aliyemfundisha kunusa unga.
 
Tuende na mifano jamani! Ni drug addict gani aliwahi kurudi kwenye game baada ya kuzamishwa na madawa? Ngada ni noma sana, watu wanadhani ni malaria ambayo ukinywa mseto unapona. Fighting addiction is an ongoing struggle, you can only be sober for sometime, not permanently.
 
Nitamuunga mkono Makonda pale atakapokuwa na approach nzuri ktk issue ya madawa ya kulevya na sio vinginevyo.

Kwahiyo kuwakamata wale vijana kumesaidia nini?
Adeal kwanza na waingizaji na sio walaji
Period
Nitamuunga mkono Makonda pale atakapokuwa na approach nzuri ktk issue ya madawa ya kulevya na sio vinginevyo.

Kwahiyo kuwakamata wale vijana kumesaidia nini?
Adeal kwanza na waingizaji na sio walaji
Period
Kutajwa kwa Mbowe kumepelekea ngonjera kama hizi kutungwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…