Upepo cover; Shkamoo Ray C

Upepo cover; Shkamoo Ray C

Samahani nifah niko nje ya mada....dada KAOLEWA?
Naiona hazina ya mke kwenye sauti yake...nyoka pangoni lazima atoke tuu....hayo macho sasa....tiba kwa matatizo ya nguvu za kiume.

MUNGU kambariki na zawadi ya mtoto/watoto?....natamani kupata copy yake sanaaaa tuu.
Please nifah niweke kwa nduguyo kiuno bila mfupa.

Natanguliza shukrani zangu....wako mtiifu who cares?

Hahahaaaaa ngoja nikujibu kama ifuatavyo...
Hajaolewa
Hana mtoto
Kwa sauti hii lazima unenepe mkuu. Bado vingine...hakika Ray C ni mrembo sana, Mungu kamjaalia vingi.

Kwenye kukumegea pande pambana kivyako mkuu,wewe mwanaume bwana.[emoji4]
 
jide skuizi ana dharau kama nini...
mimi sikuwahi kuwa shabiki wake.
ashukuru rehema chalamila aliingia kwenye madawa... enzi za Ray c ,jide alisubiri kimanzichana ray c yuko mpwapwa.
Sio siku hizi,ni tokea zamani...Jide ana dharau sana. Sijui angekuwa yeye ndio Ray C angeringa vipi.

Mimi niliwahi kujiweka kwake kidogo,ila kutoka moyoni sijawahi kabisa kumpenda Jay Dee.

Tena ashukuru sana,yani watu waache kwenda kumuangalia mtoto mzuri mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni hapo bado kiuno waende kwa Jay Dee?
Thubutuuuuu.
 


Ni takribani wiki nzima sasa nasikiliza wimbo mmoja tu,Upepo cover aliyoifanya Ray C.

Baada ya kusikiliza version hii ya Ray C nikajaribu kusikiliza original version aliyofanya Rachel! Sikutumia hata sekunde 10 niliachana nayo na kurudi kusikiliza aliyoimba Legendary Ray C.

Kwa ujio huu umenifumbua masikio kusubiria ngoma kali kutoka kwako,naamini hutoniangusha...

Sijawahi kuwa shabiki wa msanii yeyote wa kike Tanzania hii zaidi ya Ray C,kwa jide nilijishikiza tu lakini sasa nimerudi nyumbani.
Niliposikiliza wimbo huu nililia sana.
Hiki kipaji kilishapotea!

Nafurahi umerudi tena,nakupenda sana Ray C,sana.
Tafadhali usiyarudie madawa...Kama sivyo leo hii huyo Yemi Alade angekuwa si lolote Afrika hii.

Nimeweka link hapo juu,team muziki mzuri mtajua namaanisha nini baada ya kusikiliza.
Hauhitajiki kurudia mara 2 kuuona uzuri wa huu wimbo.
Rachel kapotezwa vibaya sana humo.

Naam,Ray C is baaaaaaaaack
e9bef9e4395405d4d34c435b21255c0b.jpg
f2c093261a24ad205035c8267652ace2.jpg


P.S Ray C pls fanya cover ya Nashukuru ya Recho,kwa ajili yetu mashabiki wako.
Asante

Nifah

Recho anamuiga Ray C so ni ngumu ku outshine your master, ni kama ishu ya coke studio na akina V-money na Trey song pamoja wakati jux anamuiga Trey.

Hii cover maana yake ni kwamba,ngada ni mbaya sana inapoteza ladha na malengo ya vijana wenzetu, hima tusimame pamoja katika kutokomeza madawa ya kulevya.

Matumizi ya nguvu tuwaachie serikali,sisi wengine tusambaze elimu juu ya madhara ya kutumia madawa ya kulevya.

In short Ray C is good and she still have fans here,die hard fans,asituzingue tena kama ameamua kurudi kwenye game.
 
we kweli mitakataka sasa kama haukuwepo ndio maana yake hakukwama sauti??

jamani mbona kutiana aibu
Hebu nitokee hapa na wewe,kila show lazima niwepo mimi ni mic?
 
Recho anamuiga Ray C so ni ngumu ku outshine your master, ni kama ishu ya coke studio na akina V-money na Trey song pamoja wakati jux anamuiga Trey.

Hii cover maana yake ni kwamba,ngada ni mbaya sana inapoteza ladha na malengo ya vijana wenzetu, hima tusimame pamoja katika kutokomeza madawa ya kulevya.

Matumizi ya nguvu tuwaachie serikali,sisi wengine tusambaze elimu juu ya madhara ya kutumia madawa ya kulevya.

In short Ray C is good and she still have fans here,die hard fans,asituzingue tena kama ameamua kurudi kwenye game.

Umenifurahisha sana hapo,nafurahi kukutana na die hard wa Ray C mwenzangu.
Na hakika lazima afanye kweli.
 
weeh ila mm nampenda sana mwali kigego, hajawahi kuimba hovyo, live ndo kabisaa
Don't get me wrong sweetheart,namkubali Rachel pia maana baada ya Ray C nikawa najipoza kwake nae akaja kupotea tena.
She is good kwakweli.
 
Ni mzuri ila haufikii original, kile kisauti cha Recho cha kumtoa nyoka pangoni
 


Ni takribani wiki nzima sasa nasikiliza wimbo mmoja tu,Upepo cover aliyoifanya Ray C.

Baada ya kusikiliza version hii ya Ray C nikajaribu kusikiliza original version aliyofanya Rachel! Sikutumia hata sekunde 10 niliachana nayo na kurudi kusikiliza aliyoimba Legendary Ray C.

Kwa ujio huu umenifumbua masikio kusubiria ngoma kali kutoka kwako,naamini hutoniangusha...

Sijawahi kuwa shabiki wa msanii yeyote wa kike Tanzania hii zaidi ya Ray C,kwa jide nilijishikiza tu lakini sasa nimerudi nyumbani.
Niliposikiliza wimbo huu nililia sana.
Hiki kipaji kilishapotea!

Nafurahi umerudi tena,nakupenda sana Ray C,sana.
Tafadhali usiyarudie madawa...Kama sivyo leo hii huyo Yemi Alade angekuwa si lolote Afrika hii.

Nimeweka link hapo juu,team muziki mzuri mtajua namaanisha nini baada ya kusikiliza.
Hauhitajiki kurudia mara 2 kuuona uzuri wa huu wimbo.
Rachel kapotezwa vibaya sana humo.

Naam,Ray C is baaaaaaaaack
e9bef9e4395405d4d34c435b21255c0b.jpg
f2c093261a24ad205035c8267652ace2.jpg


P.S Ray C pls fanya cover ya Nashukuru ya Recho,kwa ajili yetu mashabiki wako.
Asante

Nifah

Ukimsikiliza vzr like pumzi kidogo bado..
Nifah tuletee kuna cover moja nilickia clouds ya King kiba pls
 
Ni mzuri ila haufikii original, kile kisauti cha Recho cha kumtoa nyoka pangoni
Aiseeeeee ule wa Rachel hadi nimeshausahau.
Ni maoni yako mkuu,nayaheshimu.
 
Sio siku hizi,ni tokea zamani...Jide ana dharau sana. Sijui angekuwa yeye ndio Ray C angeringa vipi.

Mimi niliwahi kujiweka kwake kidogo,ila kutoka moyoni sijawahi kabisa kumpenda Jay Dee.

Tena ashukuru sana,yani watu waache kwenda kumuangalia mtoto mzuri mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni hapo bado kiuno waende kwa Jay Dee?
Thubutuuuuu.
na alivopata huyo bwana mpopo ndo anazidi
 
Ukimsikiliza vzr like pumzi kidogo bado..
Nifah tuletee kuna cover moja nilickia clouds ya King kiba pls
Hahahaaaaa huu uchokozi sasa mkuu.
BTW nimeiona YouTube,nitaisikiliza kwanza mkuu.
Kama akimfunika Kiba nitaileta,ukiona kimya ujue hamna kitu...lol
 
na alivopata huyo bwana mpopo ndo anazidi
Hahahaaaaa Mungu amsaidie tu isijekuwa mpopo yupo after something maana Jide hanaga bahati ya wanaume kuanzia Ruge hadi Gadna heheeeeee nimeanza umbea sasa.
 
Back
Top Bottom