Daslaam hiki kipupwe si mchezoJana 24 na leo 25/7 kuna upepo mkali/mwingi sana. Mamlaka ya hali ya hewa toeni tamko la kitaalamu tujihami maana inatisha!
Hata Dar hali si shwari, nilitamani kutoroka kanisani leo[emoji1] hadi mikono inakufa ganziJana 24 na leo 25/7 kuna upepo mkali/mwingi sana. Mamlaka ya hali ya hewa toeni tamko la kitaalamu tujihami maana inatisha!
Tanga atakufa mtu!Hata Dar hali si shwari, nilitamani kutoroka kanisani leo[emoji1] hadi mikono inakufa ganzi
Ni kweli Mkuu, niko Chumba geni hapa utadhani ni kimbunga aiseeJana 24 na leo 25/7 kuna upepo mkali/mwingi sana. Mamlaka ya hali ya hewa toeni tamko la kitaalamu tujihami maana inatisha!
hahaha ππmwendazake anarudi!.....
mwendazake anarudi!.....
Aiseee [emoji23]mbeya kuna baridi kaliii, upepo mkali haswa bila kusau vuumbi la kufa mtu.. njian watu wanashinda wanakenua meno tu, vichwani vumbi kam wamepaka blich...
Kuna mmoja amesema Jiwe anarudi π π π πMi pia jamani ilikua ni balaa mpaka nkasema unyakuo umekuja nini??
[emoji1787]mbeya kuna baridi kaliii, upepo mkali haswa bila kusau vuumbi la kufa mtu.. njian watu wanashinda wanakenua meno tu, vichwani vumbi kam wamepaka blich...
Jiwe lipi kwa kuwa Mawe yupo mengi, au ni lile jiwe Kuu la pembeni lililokataliwa na Waashi?Kuna mmoja amesema Jiwe anarudi π π π π