DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kwahiyo na wewe unakopi bila kutumia Akili?Ilo swali kauliza prof WA havard university school of medicine kwa wanafunz wake sema yéyé kaweka One billion dollars
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo na wewe unakopi bila kutumia Akili?Ilo swali kauliza prof WA havard university school of medicine kwa wanafunz wake sema yéyé kaweka One billion dollars
Peponi kuna raha wewe! Kule kuna mito kabisa ya pombe inatiririka, yaani ukisikia kiu unachukua kisado chako kindoo unakwenda kuchota konyagi au bia kulingana na kipaumbele chako. Baada ya hapo kuna wanawake wazuri wazuri wana macho kama mbuni wanakusubiri uwatafune.Mbinguni ni mateso kwahiyo moja kwa moja nachukua hela.
Kuimba milele lazima iboe.
Raha tu bila shida haina maana yeyote.Peponi kuna raha wewe! Kule kuna mito kabisa ya pombe inatiririka, yaani ukisikia kiu unachukua kisado chako kindoo unakwenda kuchota konyagi au bia kulingana na kipaumbele chako. Baada ya hapo kuna wanawake wazuri wazuri wana macho kama mbuni wanakusubiri uwatafune.
Mi naenda peponi hata kwa kulipia.
😂😂😂😂Achana na Billion mimi hata laki na arubain na saba alfu Heaven seat nauza
Sio Utoto,hoja fikirishi sana hii.Great thinker washaelewa.Bado hamjaacha utoto
Hii hoja ni fikirishi sana,lkn watu walivyochanganyikiwa na maisha wanaipuuza.Ilo swali kauliza prof WA havard university school of medicine kwa wanafunz wake sema yéyé kaweka One billion dollars
Wanavuta kidogo ili wakienda wao ndo waonekane matemboShule hazijafunguliwa?
sawa na yeye aludishe hela ya ada kwa wazaz wake labda na ww hujanielewaUsitumie nguvu sana pasi kufikiri Ilo swali kauliza prof WA havard university school of medicine kwa wanafunz wake sema yéyé kaweka One billion dollars
Aamin aamin!
Furushi hilo litakuja kuwa 😁🏃🏿♂️Wazazi nyang'anyeni watoto simu wasome.
Unazungumzia pepo ipo sheikh maana zipo pepo za aina mbalimbali. Kwa Wakorintho huku hakuna hayo mambo. Huku ni kuabudu na kusifu 24/7 milele na milele.Peponi kuna raha wewe! Kule kuna mito kabisa ya pombe inatiririka, yaani ukisikia kiu unachukua kisado chako kindoo unakwenda kuchota konyagi au bia kulingana na kipaumbele chako. Baada ya hapo kuna wanawake wazuri wazuri wana macho kama mbuni wanakusubiri uwatafune.
Mi naenda peponi hata kwa kulipia.