Upi Mustakabali wa ACT-Wazalendo Kwenye Siasa za Upinzani Tanzania?

Ndugu yangu unasumbuliwa na tatizo la kujiona unajua kila kitu. Ukifanikiwa ku deal na hilo tatizo perpendicularly utakuwa umefanikiwa pakuwa sana maishani.
Punguza u much know
 
Ndugu yangu unasumbuliwa na tatizo la kujiona unajua kila kitu. Ukifanikiwa ku deal na hilo tatizo perpendicularly utakuwa umefanikiwa pakuwa sana maishani.
Punguza u much know

Nakubaliana na ushauri wako, sasa nataka kujua, unamsaidia niliyemquote au umechukizwa na nilichomjibu huyo boss? Fuatilia anachojibu na ninachomjibu, kisha huo ushauri wako ili unitendee haki uelekeze kwake pia.
 
Nakubaliana na ushauri wako, sasa nataka kujua, unamsaidia niliyemquote au umechukizwa na nilichomjibu huyo boss? Fuatilia anachojibu na ninachomjibu, kisha huo ushauri wako ili unitendee haki uelekeze kwake pia.
Tuachane na huyo Mkarura sijui nani.

Nakukumbusha tu, kuna wakati hata wewe uliwahi kusema Mh Mbowe anatakiwa kupumzika ili kupisha damu mpya ya uongozi, je bado unaamini Mbowe anapaswa kupumzika au hadi afikishe miaka 20 kama Nyerere ?
 
Tuachane na huyo Mkarura sijui nani.

Nakukumbusha tu, kuna wakati hata wewe uliwahi kusema Mh Mbowe anatakiwa kupumzika ili kupisha damu mpya ya uongozi, je bado unaamini Mbowe anapaswa kupumzika au hadi afikishe miaka 20 kama Nyerere ?
Wala sibahitishi kwenye hilo na msimamo wangu uko wazi peupe kwenye hilo. Acha huyo Mbowe tu, mimi sio muumini wa kiongozi yoyote wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Pitia post zangu toka Mbowe akae madarakani zaidi ya miaka 10, kama kuna popote nilipowahi kuunga mkono huo uhuni wake.
 
Tupo pamoja kwenye hilo. Tunachofeli wabongo kwa kiasi kikubwa ni kukosa utii wa sheria tulizotunga.
 
CHAMA cha UPINZANI TANZANIA ni kimoja tu nacho ni CHADEMA hivyo vingine ni VYAMA VYA KUIPINGA CHADEMA
 
ifahamike Zito anajiona ni superior kuliko Mbowe,
Na hili ndio linamtesa mpaka leo..... kujenga chama nchi nzima sio jambo dogo. Aliwahi mkejeli kivp mkoa anaotoka ina mbunge mmoja tu wakati yeye Zitto "Alisaidia" wabunge zaidi ya 5 upinzani kuukamata Kigoma.

Matarajio ya zitto ilikua 2020 CHADEMA wangekosa viti vyote ila wao kule zanzibar wangetangazwa hivyo wangekuwa KUB...na possibly Lissu angekatwa so Membe angekua powerhouse ya upinzani ili kuongeza viti maalum.

Kama ulivyosema JPM hakutegemea politics kuimaliza CHADEMA hivyo mwisho wa siku tukakosa wote. Sadly enough Maalim naye akatangulia Mbele za haki so kuelekea 2025 zitto ana mtihani haswa otherwise I wisha angebaki CHADEMA I'm sure by now angekua Mwenyekiti.

Ajifunze kwa Mnyika.... Unyenyekevu una faida zake.
 

Kabisa mkuu,Zito aliamini ana ushawishi na uwezo wa kujenga Chama kikubwa kuliko cdm. Nadhani hakujua kuna matamanio na uhalisia. Kwa sasa ndio anajifunza kwa vitendo mambo haya. Hapo alipo yuko kwenye wakati mgumu na hajui ashike lipi, maana akirejea cdm atakuwa amempa Mbowe heshima ambayo hayuko tayari, akienda ccm anajua watu watamdharau japo atapata cheo. As how it stands sioni akiinyanyua ACT huku Bara, na hao Wapemba ndio watakaokuwa na sauti kwenye chama, na yeye atabaki ceremonial leader.
 
Zitto kinachomtesa ni tamaa
 
Miaka inaanza mpaka inakatika, unaandika milundo ya maandishi takataka kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…