Hahahah alikua anavuta cha arushahuyo jamaa alikuwa anatumia bhangi kali sana. limepotea limeenda wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah alikua anavuta cha arushahuyo jamaa alikuwa anatumia bhangi kali sana. limepotea limeenda wapi?
Ulishasoma kuhusu 13 Illuminat famillyWatalirudisha vipi? Je na hayo majitu(Wanefili) watakuwepo?
Shikamoo mzee magonjwaNakumbuka nilipokuwa Mwenge Sec (Singida) mwaka 1972 nilipendelea sana kusoma vitabu vya Erich von Däniken. Huyu mwandishi ameandika vitabu kadhaa vinavyohusu Atlantis. Kitabu nilichokirudia rudia na hadi sasa nakikumbuka ni Chariots of the Gods? na vitabu vingine. Ni muda mrefu sana umepita na hiyo ilikuwa shauku ya ujanani ingawa kwa sasa siamini tena haya masuala. Tafuta vitabu vya huyu Erich von Däniken ameeleza sana kuhusu "extraterrestials" ambao waliitembelea dunia zama za kale. Na nadhani kwa zama hizi za utandawazi inawezekana kuna video zake youtube pia; kwa sababu ameshatengeneza DVDs na vipindi (documentaries) kadhaa vya television.
Daaah mbn dunia ina maajabu.
Genesis 6 : 4Nashukuru mkuu kwa ufafanuzi murua kuhusu hao Annunaki na Aruba ni jamii kama ya Goliath yalikuwa na yenyewe majitu makubwa yenye nguvu enzi hizo naona labda mfano wako utakuwa umetosheleza kueleza kuhusu hawa Annunaki pia
Ahsante
Bara la Atlantis kipindi cha Nuhu kurudi nyuma lilikua likitumiwa kama Base/makazi ya Viumbe waliopatikana baada ya Fallen angels kuingiliana kingono na binaadam (WANEFILI)
Baadae lilipotea hilo bara na kubaki barafu tu lakini mpango uliopo sasa hv under secret societies (Iluminat) ni kulirudisha tena na kurudisha Nephilism bloodline. Soon we are reached NWO
Genesis 6 : 4
Inatueleza, Nao Wanefili walikuwako duniani wakati ule na Baada yao Wana wa Mungu waliwaingilia wanadamu na kuzaa watu Hodari sana, watu wenye sifa.
Unaweza kutufafanulia nini hapo?
Mkuu nilichosikia ingawa kwenye biblia hakijaandikwa ni kwamba kuna binti kwenye ukoo wa Cain aliitwa egyptus ndio aliolewa na Ham mwana wa Noah..... Hivyo wanadai kwakuwa kizazi cha Cain kilikuwa kina laana yaani maasi na dhambi yote yalifanywa na ukoo wake basi ile mbegu na roho ya shetani ilikuwa bado juu ya binti yule hivyo basi baada ya gharika ndio dhambi ikarudi kupitia familia ya Ham kwa mfanoGenesis 6 : 4
Inatueleza, Nao Wanefili walikuwako duniani wakati ule na Baada yao Wana wa Mungu waliwaingilia wanadamu na kuzaa watu Hodari sana, watu wenye sifa.
Unaweza kutufafanulia nini hapo?
Mkuu natumai misa imeisha tunakusubili uendeleeNgoja nijiandae na missa nikirudi (Tuna sherehe ya askofu) nitqleta nondoz..
Asubuhi njema.
Dah umewachungulia wapi hao malaika ukajua hawana jinsia ?hakuna watoto wa malaika bali ni uzao wa majini wabaya.malaika hawana jinsia msidanganyike ndugu zangu..
Dah haki ya Mungu walahiUkisha anza kuzungumzia hii mambo ya Atlantis kwanza lazima tukubaliane tunaelezana kiconspiracy conspiracy na hapo tegemea majibu mengi kutokana na uelewa wetu kitofauti tofauti.
Nikijuacho...
Chanzo cha Atlantis ni viumbe ambao sio wa asili ya dunia hii(Aliens) wajulikanao kama serpent masters.Ambao walikuja duniani wakaanza kuishi chini ya ardhi.Baada ya mda wakaenda kuishi kwenye bara la atlantis. wakaumba binadamu ili wamfanye mtumwa huyu anajulikana kama son of serpent.Lakini wakasahau kitu kimoja wakampa yule binadamu uwezo sawa na wao.Hivyo huyu binadamu aliwakimbia akaenda kuishi bara la Lemuria ambalo pia lilikuja kuzama.
Baada ya son of serpent kuwakimbia Serpent masters, wakaamua kutengeneza binadamu asiye na uwezo kama wao wakamuweka kwenye bustani ya Edeni.Lakini bado son of serpent walimfata huko Atlantis wakamdanganya wakaondoka nae.Hapo ndo ikaibuka vita ya kwanza ya nuclear kati ya serpent masters na son of serpent.
katika dini tumefundishwa haya mambo yote.tofauti kati ya malaika,majini na binadamu..malaika waliumbwa kwa Nuru..majini kwa moto..na binadamu kwa udongo...wakristo walifichwa hizi habari makusudi katika biblia.walitaka kuwaaminisha watu kuwa malaika ni watoto wa kike wa MUNGU.jambo ambalo siyo kweli.malaika hawana jinsia na hawali wala hawanywi kama majini na binadam..hata story za majini kuzaa na watu siyo kweli coz malaika hawajawahi kumuasi Mwenyezi MUNGU hata siku moja.Dah umewachungulia wapi hao malaika ukajua hawana jinsia ?