Fillipina Bellini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 353
- 490
Mpaka Israel ya leo iko ndani ya bara la Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibubinti hemedi ..fafanua vizru tafadhali "" kuhusu swala la muhamadi kuwa mtu mweusi """
nipo hapa ..nasubiri hintsKaribu
ume fafanua vizuri kabisa nashindwa kuelewa watu, alafu hata wale god's wa g ndogo pia ni majini hakuna miungu, ni majini yana danganya watu na yote kwa sababu wamepewa uwezo, mfano hakuna miungu ya upepo, moto sijui etc hayo ni majini tuh.hakuna watoto wa malaika bali ni uzao wa majini wabaya.malaika hawana jinsia msidanganyike ndugu zangu..
Binti Hemedi ameshayajibu maswali yako,kinaga ubaga, unajingine?nipo hapa ..nasubiri hints
fuatilia uzi wa Zito kuhusu Yesu alikuwa mweusinipo hapa ..nasubiri hints
Je, huu ndio ushahidi kuwa Yesu/Issa Bin Maryam alikuwa mweusi?nipo hapa ..nasubiri hints
huo Uzi wote nimeshaupitia...so nilikuwa nataka " hints za kumuhusu muhhamad "" maana " Binti hemedi alisema kuwa ..muhhamad alikuwa ni mtu mweusi"" nilikuwa naomba kufahamishwa katika hilo
weusi wa yesu "" una weza vipi kumfanya muhhamad awe "" mweusi pia...fuatilia uzi wa Zito kuhusu Yesu alikuwa mweusi
Habar mbili tofauti , nyuzi mbili tofauti nilivyoelewa Mimi, binti Hemedi ametoa dondoo kuthibitisha muhamadi alikuwa mtu mweusi, afroa-Arabweusi wa yesu "" una weza vipi kumfanya muhhamad awe "" mweusi pia...
Hujapitia mada za Fatima, ungepitia usingeuliza ....huku ni uzi wa bara antlantishuo Uzi wote nimeshaupitia...so nilikuwa nataka " hints za kumuhusu muhhamad "" maana " Binti hemedi alisema kuwa ..muhhamad alikuwa ni mtu mweusi"" nilikuwa naomba kufahamishwa katika hilo
Lol...mkuu bint hemedi namfuatilia mnooo "" na emkotho wesizwe " katika thrds zake sijawahi kuona sehemu ambayo alikuw anamzungumzia muhamadi..."" na Nina zielewa/nazipenda harakati zake ...so alipaswa kunijuza tu "" halafu akaacha huu Uzi uendelee ktika maudhui Yke ""Hujapitia mada za Fatima, ungepitia usingeuliza ....huku ni uzi wa bara antlantis
Hata Mimi siwezi kuchanganya mada
Nini kilisababisha uzame mkuu unaweza tupa mwanga kidogo na je ni kweli walikuwa na maendeleo kubwa sana ya kiteknolojianavyo jua sio bara la atlanta, ni mji wa atlantis ulikua mjii ukazamishwa chini ya bahari kwa usiku mmoja basi kama jiji la dar es salaam lote lipotezwe na bahari pap. ndo hivyo.
Umemaliza kila kitu.... Alafu hiyo KUSH ilikuwa si mchezo enzi hizo ilishafka kutawala mpaka mashariki ya kati na maeneo ya jirani..... Hata kuna kipindi alexander the great alitaka kuivamia ila alipokea kipigo cha mbwa mwizi kutoka kwa Mwanamama shujaa wa kiafrika Queen Candice Amanirenas ama KENDAKE kwa kiafrika zaidi but huwa inafanywa siri sana ili kumfichia aibu Alexander the great kwamba aliwahi zuiwa na mtu mweusi
shetani ni jinn sio malaika japo mwenyezi mungu alimuweka awe ni miongoni mwa malaika......rudi hapa.."alikataa kumsujudia adam kutokana na kuwa yeye alijiona bora kuliko mwanadamu yeye akiwa ameumbwa na moto na adam udongo.....rudi tena hapa.."malaika wameumbwa kwa nuru,majini kwa moto,na binadamu kwa udongo"Mbona kwenye hiyo Biblia kuna maandiko yanasema kabisa hao malaika waasi walitembea na wanadamu ?
Dini moja inasema malaika walitembea na binadamu ,nyingine inasema malaika waliumbwa kwa nuru hawana jinsia
Shetani ni nani kama malaika hawajawahi kumuasi Mungu ?
Kazi kweli kweli
MUHAMMAD hakuwa mtu mweusi.....PROVE ME WRONG......katika siirah ya mtume..inaonesha ya kuwa nchi zilizokuwa zinaendelea kusambaziwa somo juu ya uislamu walikua wakidai ya kuwa dini ya kiislamu ni ya waarabu tu na siyo ya ulimwengu mzima na ilishushushwa kwa MUHAMMAD MUARABU kwa ajili ya waarabu.....JE VIPI LEO HII MUHAMMAD AWE MTU MWEUSI?....acha kudanganya ummahZito Africa kaskazini na Pembe ya Africa yote ni Africa, usiwe mmojawapo wa wale waliorogwa akili na ubaguzi wa rangi kututenganisha, usichokijua ni historia ya kale ya bara hili
zitto waarabu ni wageni bara la Africa, na wala uislamu hauijui historia ya bara la Africa, Wala Africa haikuumbwa na Muhammad, alipozaliwa Muhammad Wa Africa weusi walikuwa watawala wa Arabian peninsula, aidha Muhammad' mwenyewe alikuwa kizazi cha watu weusi, alikuwa mweusi tii
Sudani kusini ndio kitovu cha bara la Africa
muarabu asilia ni mtu mweusi, vivyo hivyo binadamu na ndivyo alivyokuwa Muhammad, hao waarabu feki weupe unaowajua wewe, na Wayahudi feki ndio vivuruge wa dunia, ndio waliotuchukueni utumwani, hata wazungu asilia ni wat u weusi, ndugu utalala had lini???MUHAMMAD hakuwa mtu mweusi.....PROVE ME WRONG......katika siirah ya mtume..inaonesha ya kuwa nchi zilizokuwa zinaendelea kusambaziwa somo juu ya uislamu walikua wakidai ya kuwa dini ya kiislamu ni ya waarabu tu na siyo ya ulimwengu mzima na ilishushushwa kwa MUHAMMAD MUARABU kwa ajili ya waarabu.....JE VIPI LEO HII MUHAMMAD AWE MTU MWEUSI?....acha kudanganya ummah
hearly