Upi ni ukweli kuhusu bara la Atlantis

Upi ni ukweli kuhusu bara la Atlantis

Bara la Africa ndio staarabu ya kwanza ya mwanadamu, hii haina ubishi Wala ughushi, kwani tunaafikiana kwamba binadamu wa kwanza walitokea hapa...wazazi wa vizazi vyote. Ikohivi : alianza black man, akaja Brown man, mwisho kabisa ndio whiteman, fahamu kwamba weusi wetu unatokana na kiini cha melanin ambacho pia ni asili ya jua, the core of the sun ni rangi nyeusi. Asili ya white man ni albinism. Africa and Africans were the original global super power, tulitawala kote Asia na Ulaya, na kufanya ustaarabu wa awali kule, sisi ndio bibi na babu zao. Ubaguzi wa rangi ulipandikizwa kwa makusudi na zeruzeru, sababu chuki ya kudharauliwa na kutengwa
 
navyo jua sio bara la atlanta, ni mji wa atlantis ulikua mjii ukazamishwa chini ya bahari kwa usiku mmoja basi kama jiji la dar es salaam lote lipotezwe na bahari pap. ndo hivyo.
 
hakuna watoto wa malaika bali ni uzao wa majini wabaya.malaika hawana jinsia msidanganyike ndugu zangu..
ume fafanua vizuri kabisa nashindwa kuelewa watu, alafu hata wale god's wa g ndogo pia ni majini hakuna miungu, ni majini yana danganya watu na yote kwa sababu wamepewa uwezo, mfano hakuna miungu ya upepo, moto sijui etc hayo ni majini tuh.
 
huo Uzi wote nimeshaupitia...so nilikuwa nataka " hints za kumuhusu muhhamad "" maana " Binti hemedi alisema kuwa ..muhhamad alikuwa ni mtu mweusi"" nilikuwa naomba kufahamishwa katika hilo
Hujapitia mada za Fatima, ungepitia usingeuliza ....huku ni uzi wa bara antlantis
Hata Mimi siwezi kuchanganya mada
 
Hujapitia mada za Fatima, ungepitia usingeuliza ....huku ni uzi wa bara antlantis
Hata Mimi siwezi kuchanganya mada
Lol...mkuu bint hemedi namfuatilia mnooo "" na emkotho wesizwe " katika thrds zake sijawahi kuona sehemu ambayo alikuw anamzungumzia muhamadi..."" na Nina zielewa/nazipenda harakati zake ...so alipaswa kunijuza tu "" halafu akaacha huu Uzi uendelee ktika maudhui Yke ""
 
navyo jua sio bara la atlanta, ni mji wa atlantis ulikua mjii ukazamishwa chini ya bahari kwa usiku mmoja basi kama jiji la dar es salaam lote lipotezwe na bahari pap. ndo hivyo.
Nini kilisababisha uzame mkuu unaweza tupa mwanga kidogo na je ni kweli walikuwa na maendeleo kubwa sana ya kiteknolojia
 
Umemaliza kila kitu.... Alafu hiyo KUSH ilikuwa si mchezo enzi hizo ilishafka kutawala mpaka mashariki ya kati na maeneo ya jirani..... Hata kuna kipindi alexander the great alitaka kuivamia ila alipokea kipigo cha mbwa mwizi kutoka kwa Mwanamama shujaa wa kiafrika Queen Candice Amanirenas ama KENDAKE kwa kiafrika zaidi but huwa inafanywa siri sana ili kumfichia aibu Alexander the great kwamba aliwahi zuiwa na mtu mweusi



Cc Fatima binti hemedi
 
Mbona kwenye hiyo Biblia kuna maandiko yanasema kabisa hao malaika waasi walitembea na wanadamu ?

Dini moja inasema malaika walitembea na binadamu ,nyingine inasema malaika waliumbwa kwa nuru hawana jinsia

Shetani ni nani kama malaika hawajawahi kumuasi Mungu ?

Kazi kweli kweli
shetani ni jinn sio malaika japo mwenyezi mungu alimuweka awe ni miongoni mwa malaika......rudi hapa.."alikataa kumsujudia adam kutokana na kuwa yeye alijiona bora kuliko mwanadamu yeye akiwa ameumbwa na moto na adam udongo.....rudi tena hapa.."malaika wameumbwa kwa nuru,majini kwa moto,na binadamu kwa udongo"
 
Zito Africa kaskazini na Pembe ya Africa yote ni Africa, usiwe mmojawapo wa wale waliorogwa akili na ubaguzi wa rangi kututenganisha, usichokijua ni historia ya kale ya bara hili
zitto waarabu ni wageni bara la Africa, na wala uislamu hauijui historia ya bara la Africa, Wala Africa haikuumbwa na Muhammad, alipozaliwa Muhammad Wa Africa weusi walikuwa watawala wa Arabian peninsula, aidha Muhammad' mwenyewe alikuwa kizazi cha watu weusi, alikuwa mweusi tii
Sudani kusini ndio kitovu cha bara la Africa
MUHAMMAD hakuwa mtu mweusi.....PROVE ME WRONG......katika siirah ya mtume..inaonesha ya kuwa nchi zilizokuwa zinaendelea kusambaziwa somo juu ya uislamu walikua wakidai ya kuwa dini ya kiislamu ni ya waarabu tu na siyo ya ulimwengu mzima na ilishushushwa kwa MUHAMMAD MUARABU kwa ajili ya waarabu.....JE VIPI LEO HII MUHAMMAD AWE MTU MWEUSI?....acha kudanganya ummah
hearly
 
MUHAMMAD hakuwa mtu mweusi.....PROVE ME WRONG......katika siirah ya mtume..inaonesha ya kuwa nchi zilizokuwa zinaendelea kusambaziwa somo juu ya uislamu walikua wakidai ya kuwa dini ya kiislamu ni ya waarabu tu na siyo ya ulimwengu mzima na ilishushushwa kwa MUHAMMAD MUARABU kwa ajili ya waarabu.....JE VIPI LEO HII MUHAMMAD AWE MTU MWEUSI?....acha kudanganya ummah
hearly
muarabu asilia ni mtu mweusi, vivyo hivyo binadamu na ndivyo alivyokuwa Muhammad, hao waarabu feki weupe unaowajua wewe, na Wayahudi feki ndio vivuruge wa dunia, ndio waliotuchukueni utumwani, hata wazungu asilia ni wat u weusi, ndugu utalala had lini???
The Arabs prided themselves on being black, is conscious contrast to the pale-skinned non-Arabs. Al-JaÈií

could still claim in the 9th century:

العرب تفخر بسواد اللون

al-arab tafkhar bi-sawad al-lawn

“The Arabs pride themselves in (their) black color”35

These noble Black Arabs even detested pale skin. Al-Mubarrad (d. 898), the leading figure in the Basran

grammatical tradition, is quoted as saying: “The Arabs used to take pride in their darkness and blackness

and they had a distaste for a light complexion and they used to say that a light complexion was the

complexion of the non-Arabs”. Part of the reason for this distaste is that the slaves at the time were largely

from pale-skinned peoples, such that aÈmar “red” came to mean “slave” back then, just as abid

“servant/slave” means black today in the now white Muslim world. As Dana Marniche observes:

Anyone familiar with the Arabic writings of the Syrian, Iraqi and Iranian historians up until the 14th century

knows that this is also their description of the early ‘pure’ Arab clans of the Arabian peninsula… [i.e. “blacker

than the blackest ink – no shred of white on them except their teeth.”]…The irony of history is that early

Arabic-speaking historians and linguists made a distinction between the Arabs in Arabia and the fair-skinned

peoples to the north; and contrary to what may be fact in our day, in the days of early Islam, those called

‘Arabs’ looked down condescendingly on fair-skinned populations and commonly used the phrase ‘fairskinned

as a slave’ when describing individuals in tribes in the peninsula that were pale in complexion…Of

course, today due mainly to slavery and conversion of peoples to the ‘Arab’ nationality, the opposite is

thought to be true by many in the West.

A red or pale-skinned Muhammad would thus have been a profound oddity in 7th century Arabia and

would have had little chance of success amongst the proud, black Meccans and Medinese. The Meccan

objectors to his message accused of some of everything, but never of being a non-Arab! There is absolutely no

reason to believe he was pale-skinned other than much later representations that coincide with a major

demographic change it the Muslim world, a change that brought with it a strong anti-black ideology.36

We thus have every reason to accept the truth of Anas b. Malik’s description of the prophet as dark

brown (asmar) and to conclude that, as his black cousins Alī and al-Fa∙l resembled their black fathers (his

black uncles), he resembled his black father, especially since his mother’s side was black as well
 
Back
Top Bottom