Upi ni ukweli kuhusu bara la Atlantis

Upi ni ukweli kuhusu bara la Atlantis

Hapana muafrika anayejikweza ila huo ndio ukweli hta misri wanafaham wao ni wababa wa civilization na wamisri wa kale walikuwa purely blacks wakitokea kwa mizraim mwana wa HAM na hta historical paintings za misri zinaconfrim kuwa walikuwa watu weusi kabisa ila hao waarab wamekuja baadae sana so binti hemed hajajikweza ila anaongea uhalisia

Hata ethiopia na misri kwa wakristo wao ndio wa kwanza kuwa kuwa na makanisa hasa egypt kanisa la coptic limekuwepo miaka na miaka hta kabla wazungu hawajawa na makanisa na hta ethiopia ndio wana biblia ya kwanza kabisa duniani ya kanisa la Tawahedo-orthdox miaka mingi hta kabla wazungu hawajaja na biblia ya kilatin.... Hivyo unaweza ona role ya watu weusi kwenye civilization

Na hata ukisema turudi nyuma sana kwa kina gilgamesh/Nimrod ambao ndio waasisi wa sumeria kwa ushahidi wa kimaandiko na kihistoria ni watu weusi walioongea semitic language...... ndio utaona walibuni maandishi,vifaa vingi vya ujenzi,mashine ndogondogo,silaha n.k nyingi sana na kihistoria ni uzao wa CUSH aliyekuwa muasisi wa ufalme wa kush uliotawala kuanzia uarabuni mpaka sudan hadi somalia mpka afrika mashariki

Hyo ndio fact mkuu

Yaani umetoa maelezo mafupi yenye vitu adimu na yenye kueleweka. Heko iwe juu yako.
 
Hapana muafrika anayejikweza ila huo ndio ukweli hta misri wanafaham wao ni wababa wa civilization na wamisri wa kale walikuwa purely blacks wakitokea kwa mizraim mwana wa HAM na hta historical paintings za misri zinaconfrim kuwa walikuwa watu weusi kabisa ila hao waarab wamekuja baadae sana so binti hemed hajajikweza ila anaongea uhalisia

Hata ethiopia na misri kwa wakristo wao ndio wa kwanza kuwa kuwa na makanisa hasa egypt kanisa la coptic limekuwepo miaka na miaka hta kabla wazungu hawajawa na makanisa na hta ethiopia ndio wana biblia ya kwanza kabisa duniani ya kanisa la Tawahedo-orthdox miaka mingi hta kabla wazungu hawajaja na biblia ya kilatin.... Hivyo unaweza ona role ya watu weusi kwenye civilization

Na hata ukisema turudi nyuma sana kwa kina gilgamesh/Nimrod ambao ndio waasisi wa sumeria kwa ushahidi wa kimaandiko na kihistoria ni watu weusi walioongea semitic language...... ndio utaona walibuni maandishi,vifaa vingi vya ujenzi,mashine ndogondogo,silaha n.k nyingi sana na kihistoria ni uzao wa CUSH aliyekuwa muasisi wa ufalme wa kush uliotawala kuanzia uarabuni mpaka sudan hadi somalia mpka afrika mashariki

Hyo ndio fact mkuu

Ila wazungu ni makanjanja sana. Inasemwa ukitaka kuwavuruga watu wasipate kujielewa, basi vuruga historia yao. Baada ya sarafu ya utawala kuangukia mikononi mwao, wazungu wamebadilisha yote. Wamefika pahala wakaandika kwenye maandishi yao, kabla ya watu wao kupata maarifa kipindi hicho walimwengu walikuwa hawajielewi. Ilikuwa ni dark ages, kwa ghafla baada ya wao kupata maarifa wao ndiyo wakautoa ulimwengu kwenye dark ages wakauleta mpaka hapa ulipofikia. Hawataki kuelezea waanzilishi wa hayo maarifa ni nani.
 
Ila Nimrod alikuwa black mkuu sababu ndio mtoto wa CUSH founder of kingdom of KUSH/ ethiopia..... So tunarudi kulekule ikimaanisha ancient sumerians were semitic-speaking negroids akiwemo Nimrod ama Enmekar kwa kisumeria
Big problems hapa ni colour,nimrod hakuwa black real,kuna wakush was gold colour,ambazo ni adim kuzikuta kwa sasa na ndizo zilizokuwako katk miili ya watu wa kale like nimrod....ila hakuwa mweusi tii.
 
Big problems hapa ni colour,nimrod hakuwa black real,kuna wakush was gold colour,ambazo ni adim kuzikuta kwa sasa na ndizo zilizokuwako katk miili ya watu wa kale like nimrod....ila hakuwa mweusi tii.
Unaweza ukawa sahihi hakuwa mweusi as in mweusi kma mpoki ila nlichotaka ufaham ni kwamba alikuwa NEGROID race sio race za wazungu au weupe wengine kama CAUCASOIDS au SEMITES!!

Unajua hta kikwete ni mweupe ila ni NEGROID so tusichanganye rangi ya ngozi na RACE.... Nimrod angeweza kuwa mweupe pee kama kina nape nnauye au mnyika ila haibadilishi ukweli kuwa ni NEGROID so hilo ndio nilitaka niliweke sawa ili usione kma tunajikweza but ndio uhalisia
 
Unaweza ukawa sahihi hakuwa mweusi as in mweusi kma mpoki ila nlichotaka ufaham ni kwamba alikuwa NEGROID race sio race za wazungu au weupe wengine kama CAUCASOIDS au SEMITES!!

Unajua hta kikwete ni mweupe ila ni NEGROID so tusichanganye rangi ya ngozi na RACE.... Nimrod angeweza kuwa mweupe pee kama kina nape nnauye au mnyika ila haibadilishi ukweli kuwa ni NEGROID so hilo ndio nilitaka niliweke sawa ili usione kma tunajikweza but ndio uhalisia
Nakupata mkuu...ila tusijikweze sana hatuna jipya,kwa maana pia kuna wanaoishi future time tulioko past tunajisumbua sana...
 
Big problems hapa ni colour,nimrod hakuwa black real,kuna wakush was gold colour,ambazo ni adim kuzikuta kwa sasa na ndizo zilizokuwako katk miili ya watu wa kale like nimrod....ila hakuwa mweusi tii.
what is black????
the mother gene with variation of all genetically codes, the source...tusemeje mtuelewe????
 
Unajua hta kikwete ni mweupe ila ni NEGROID so tusichanganye rangi ya ngozi na RACE.... Nimrod angeweza kuwa mweupe pee kama kina nape nnauye au mnyika ila haibadilishi ukweli kuwa ni NEGROID so hilo ndio nilitaka niliweke sawa ili usione kma tunajikweza but ndio uhalisia
Asante
 
834203eeeb753a7089b9f0ea2b87be02.jpg
wenyeji asilia wa india, tena mchanganyiko na Wayahudi
 
Back
Top Bottom