Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Duuuh hii post imeshiba haswaaaa ila kwa faida ya sisi wasomaji je mtu akiweza kwenda kwa spidi zaidi ya mwanga ina affect Vipi muda??

Yaani kwanni utumie dakika 7 pekee alafu ukirudi Duniani eti ukute miaka million imepita!! Kuna effect gani hapo kati ya SPACE and TIME utujuze

Kingine kuna majini wachawi n.k wanaoweza kutoka nje ya anga na kurudi ina maana nao wakiweza kwenda jua na kurudi watakuta miaka imesogea?? Au hizi ni scenario mbili tofauti

Karibu
Kwa faida ya kujifunza itabidi tutumie tafsiri nyepesi na kwa mifano jinsi kasi na anga inayoathiri muda.

Mfano1: Ukiona nyota angani muonekano huu ni miaka mamilioni iliyopita mpaka mwanga umetoka huko kutufikia Duniani sasa hii nguvu ya kasi ya mwendo wa mwanga sasa leo nyota ya ukubwa wa jua ikiumbika leo katika umbali kama lilipo Jua ikalipua mwanga katika kiini chake huo mwanga utatufikia takribani miaka milioni 3 hapa tulipo.

Sasa hapa ikatokea chombo kinasafiri kwa kasi ya Mara 2 ya mwanga kinaweza kutumia

Miaka 3,000,000/466,666.666 sekunde itakuwa ameona huo mwanga kwa sekunde 6.5 hapa kilicho athiri muda ni kasi ya kusafiri na akifika huko akarudi duniani mda atakuta ni miaka million 3 inawezekana akakuta hakuna watu Yesu alishawachukua wote itabidi utafte walikoelekea uwafuate na kama wanasafiri kwa mwendo wa kasi ya mwanga Mara moja unaweza ukawakuta ½ ya safari ukawapita wakakukuta ulishafika kwa mda kitambo.

Kama sitaeleweka nitatafta kiswahili fasaha ili niitendee haki hii mada
View attachment 758038
 
Duuuh hii post imeshiba haswaaaa ila kwa faida ya sisi wasomaji je mtu akiweza kwenda kwa spidi zaidi ya mwanga ina affect Vipi muda??

Yaani kwanni utumie dakika 7 pekee alafu ukirudi Duniani eti ukute miaka million imepita!! Kuna effect gani hapo kati ya SPACE and TIME utujuze

Kingine kuna majini wachawi n.k wanaoweza kutoka nje ya anga na kurudi ina maana nao wakiweza kwenda jua na kurudi watakuta miaka imesogea?? Au hizi ni scenario mbili tofauti

Karibu
Kwa faida ya kujifunza itabidi tutumie tafsiri nyepesi na kwa mifano jinsi kasi na anga inayoathiri muda.

Mfano1: Ukiona nyota angani muonekano huu ni miaka mamilioni iliyopita mpaka mwanga umetoka huko kutufikia Duniani sasa hii nguvu ya kasi ya mwendo wa mwanga sasa leo nyota ya ukubwa wa jua ikiumbika leo katika umbali kama lilipo Jua ikalipua mwanga katika kiini chake huo mwanga utatufikia takribani miaka milioni 3 hapa tulipo.

Sasa hapa ikatokea chombo kinasafiri kwa kasi ya Mara 2 ya mwanga kinaweza kutumia

Miaka 3,000,000/466,666.666 sekunde itakuwa ameona huo mwanga kwa sekunde 6.5 hapa kilicho athiri muda ni kasi ya kusafiri na akifika huko akarudi duniani mda atakuta ni miaka million 3 inawezekana akakuta hakuna watu Yesu alishawachukua wote itabidi utafte walikoelekea uwafuate na kama wanasafiri kwa mwendo wa kasi ya mwanga Mara moja unaweza ukawakuta ½ ya safari ukawapita wakakukuta ulishafika kwa mda kitambo.

Kama sitaeleweka nitatafta kiswahili fasaha ili niitendee haki hii mada
View attachment 758038
 
Uzi bila picha haunogi[emoji3][emoji3][emoji3]

CERN
01_ma27836-edit.jpg
cern-lhc-map.jpg
55e4853dc4618865708b4577.jpg
55e485f5c3618824358b456a.jpg
 
Najaribu ku connect the dots.
Sheikh yahya hussein katika mojawapo ya vipindi vyake alizungumzia aina ya majini na kazi zake, sasa kuna jini mmoja jina sikumbuki alisema anauwezo wakuhamisha nyumba kutoka location moja kwenda lingine kufumba na kufumbua, yaani within a second.
 
Kwa faida ya kujifunza itabidi tutumie tafsiri nyepesi na kwa mifano jinsi kasi na anga inayoathiri muda.

Mfano1: Ukiona nyota angani muonekano huu ni miaka mamilioni iliyopita mpaka mwanga umetoka huko kutufikia Duniani sasa hii nguvu ya kasi ya mwendo wa mwanga sasa leo nyota ya ukubwa wa jua ikiumbika leo katika umbali kama lilipo Jua ikalipua mwanga katika kiini chake huo mwanga utatufikia takribani miaka milioni 3 hapa tulipo.

Sasa hapa ikatokea chombo kinasafiri kwa kasi ya Mara 2 ya mwanga kinaweza kutumia

Miaka 3,000,000/466,666.666 sekunde itakuwa ameona huo mwanga kwa sekunde 6.5 hapa kilicho athiri muda ni kasi ya kusafiri na akifika huko akarudi duniani mda atakuta ni miaka million 3 inawezekana akakuta hakuna watu Yesu alishawachukua wote itabidi utafte walikoelekea uwafuate na kama wanasafiri kwa mwendo wa kasi ya mwanga Mara moja unaweza ukawakuta ½ ya safari ukawapita wakakukuta ulishafika kwa mda kitambo.

Kama sitaeleweka nitatafta kiswahili fasaha ili niitendee haki hii mada
View attachment 758038
Duh nmekuelewa kabisa mkuu ila changamoto ni kupata hiyo speed of light je kuna uwezekano kikabuniwa chombo Chenye spidi zaidi ya mwanga au itabakia kwenye nadharia tu!!!

Endelea kutupa darasa kwenye tasnia hii
 
Kwa faida ya kujifunza itabidi tutumie tafsiri nyepesi na kwa mifano jinsi kasi na anga inayoathiri muda.

Mfano1: Ukiona nyota angani muonekano huu ni miaka mamilioni iliyopita mpaka mwanga umetoka huko kutufikia Duniani sasa hii nguvu ya kasi ya mwendo wa mwanga sasa leo nyota ya ukubwa wa jua ikiumbika leo katika umbali kama lilipo Jua ikalipua mwanga katika kiini chake huo mwanga utatufikia takribani miaka milioni 3 hapa tulipo.

Sasa hapa ikatokea chombo kinasafiri kwa kasi ya Mara 2 ya mwanga kinaweza kutumia

Miaka 3,000,000/466,666.666 sekunde itakuwa ameona huo mwanga kwa sekunde 6.5 hapa kilicho athiri muda ni kasi ya kusafiri na akifika huko akarudi duniani mda atakuta ni miaka million 3 inawezekana akakuta hakuna watu Yesu alishawachukua wote itabidi utafte walikoelekea uwafuate na kama wanasafiri kwa mwendo wa kasi ya mwanga Mara moja unaweza ukawakuta ½ ya safari ukawapita wakakukuta ulishafika kwa mda kitambo.

Kama sitaeleweka nitatafta kiswahili fasaha ili niitendee haki hii mada
View attachment 758038
sasa na huu mwanga unaokuja usiku na mchana inakuaje?
inamaana mwanga tuliouona mchana wa leo wa jua ni wa miaka mil3 iliyopita?
 
Najaribu ku connect the dots.
Sheikh yahya hussein katika mojawapo ya vipindi vyake alizungumzia aina ya majini na kazi zake, sasa kuna jini mmoja jina sikumbuki alisema anauwezo wakuhamisha nyumba kutoka location moja kwenda lingine kufumba na kufumbua, yaani within a second.
Sheikhe yahaya alikuwa na mambo mengi ya mambo ya Giza lakini ukiweza kuyaweka katika sayansi ya fizikia yatakuletea mambo makubwa sema yeye alijiweka katika uchawi wa kijinga usio na faida kwa jamii labda kwake
 
Haya mambo ni makubwa mno,tafadhali msiendelee wengine tunahisi vichwa kuungua!
Tunatakiwa kutumia akili alizotupa Mungu maana tumeshindwa kabisa kutumia hata 15 ya akili zetu ndiyo maana watu wengine ni masikini wa kutupwa huku wengine wakiwa matajiri wasiohesabika tatizo ni upungufu wa akili kwa sababu Mungu ameumba Dunia ni Mali yetu sote haikupasa kuwe na masikini wala tajiri ilitakiwa tuwe sawa tatizo ni Babeli kutuchanganya lugha ili mnara usiendelee
 
Kwa hili Hollywood wamefanikiwa. tusubiri in reality
Mkuu binadamu tukiweza kutumia ubongo kwa 60% haya yote yatawezekana lakini 80% ya binadamu hutumia chini ya 5% na wengine 16% hutumia 5%-11% na asilimia 4% ya binadamu wote ndio hutumia 11%-15

Tukiweza kuliwekea umhimu bila kupotoshana duniani inawezekana watu wote kuhama na kufanya maisha kuwa marefu yasiyo koma
 
View attachment 755707 WanaJF intelligence habari za asbuhi.... Bila kupoteza muda ningependa kwenda mojamoja kwenye mada ...... Je upi ni ukweli kuhusu philadelphia experiment?

View attachment 755709 Inasemekana mnamo october 28, 1943 meli vita ya marekani USS Eldridge huko philadelphia jimbo la Pennsylvania marekani ilitumika kufanya majaribio ya formula za Albert Einstein kuhusu TELEPORTATION yaani kuhamisha kitu kutoka point A kwenda point B kwa kukitowesha kutoka point A alafu ikajiumba upya point B mfano ikulu ya magogoni uamue kuihamisha dodoma kwa sekunde chache tu yaani kwa spidi ya mwanga wa radi hivyo unaitowesha hapo Dar alafu inatokea huko dodoma!!

Sasa hiyo USS eldridge kutokana na vita kuchachamaa kipindi hicho wamarekani wakawa wanatafuta silaha za kila aina kummaliza adui sasa wanadai kabla mbinu hii haijatumika vitani ilibidi ifanyiwe majaribio ndani kwa ndani ndio yakafanyika majaribio haya mawili

La kwanza lilikuwa july 1943 ambapo meli hiyo hiyo USS Eldridge iliweza kufanywa majaribio ya kisayansi na isionekane kwa macho... kwa ufupi ikayayushwa!! (Wavuvi waliona meli ikitoweka ikabaki moshi wa kijani tu )

Sasa walipoona wamefanikiwa kufanya meli iyayuke/isionekane ili adui asiione kwenye uwanja wa vita wakajaribu kufanya majaribio ya kuiteleport kwa kuihamisha kutoka eneo A kwenda eneo B kwa kutumia hizo sheria za kisayansi za QUANTUM TELEPORTATION (unified field theories) zilizoimarishwa na Albert Einstein

Kuendana na maelezo ya morris jessup mtu aliyeiibua SIRI hii na kuuawa miaka michache baadae meli hiyo ilitoweka kweli kutoka philadelphia na baada ya sekunde chache ikatokea upande wa New york yaani meli iyayuke pale bandari Dar alafu ionekane mpendae huko pemba sekunde chache baadae!!!!

Mwandishi anasema licha ya jaribio hili kufanikiwa ila wanajeshi waliokuwepo kwenye meli wengi walipata madhara mfano kuna watu walikutwa wamebanwa katikati ya vyuma.... Wengine wamekufa, wengine meli ilipoyeyuka hawakurudi, wengine waliopona walirukwa na akili na baadae wengi wao kufa vifo vya kiutatanishi (inasemekana walifuatiliwa na kuuawa ili wasitoe siri)
View attachment 755714
Story hii ilivuja kupitia mmoja wa wanajeshi aliyeitwa miguel ailende aliepona kwenye tukio hilo ambaye kabla naye hajasakwa alitoa siri zote alizoziona kwenye meli kwa mwandishi huyu morris Jessup ambaye naye kwa kuandika makala hii na kutoa kitabu aliishia kufa kifo cha kutatanisha!!!

Sasa nimeleta kisa hiki kwa wana JF ili wajuvi wa mambo mtusaidie je upi ni ukweli kuhusu the philadelphia experiment??

Je tukio hili ni la kweli au limeongezwa chumvi na wamarekani ili waoagopeke??

Je kweli waliweza kuiteleport meli??

Je huenda bado wanayo hyo teknolojia au waliachana nayo baada ya kufeli vibaya??

Je kama teknolojia hiyo ikiwepo sahvi itabadilishaje mambo kwenye uwanja wa kivita??

NB: Teleportation sio jambo la kufikirika linawezekana sema kwa vitu vidogo na iko proven na wanasayansi kuwa unaweza ukakihamisha kitu dar ukakifikisha morogoro bila kusafirisha physically.... Na wanasayansi wa japan wameweza kuteleport element chache kutoka ardhini zikatokea upya huko kwenye satellite yao angani!!

Naomba kuwasilisha



CC Malcom Lumumba Elungata Kiranga hearly Mshana Jr Habibu B. Anga Palantir Da'Vinci Kudo900 Kipanga boy izzo Eiyer Ziroseventytwo na wanajukwaa wote

NB: uzi niliupost JF intelligence ila baada ya mods kuushikilia kwa "miaka" kadhaa nimeona nikubali yaishe niulete huku jukwaa pendwa
Daah! Kweli uchawi upo....!
 
Duh nmekuelewa kabisa mkuu ila changamoto ni kupata hiyo speed of light je kuna uwezekano kikabuniwa chombo Chenye spidi zaidi ya mwanga au itabakia kwenye nadharia tu!!!

Endelea kutupa darasa kwenye tasnia hii
Inawezekana chombo kikatengenezwa maana kila kukicha wenzetu wanatafiti kupata mabadiriko ya mbadala mpya na kuachana na mambo ya zamani mfano;

Russia ametengeneza makombora yanayoweza kushambulia sehemu yeyote hapa duniani inaonekana yanasafiri kwa kasi ya 99.567sk inamaana ukiwa DSM kulipua mwanza utatumia 15.6sk
Ukiwa DSM kulipua Kampala utatumia sekunde km 1950 utatumia 24sk sasa ikiwezekana yakaboreshwa Mara 1000 ya kasi hii tayali unaikaribia kasi ya mwanga 92%

Inawezekana lakini kiumbe kitakachosafiri kwa hali ya kawaida itabidi kiwe kama kimekufa ili kitakapo fika kinakoelekea ndio kifanyiwe uponyaji kurudi hai lakini uwwzekano 99.9% KUFA kiumbe kitakacho safiri kwa kasi uwezekano wa kuishi ni 0.01%

Au kama tutatengeneza roboti ambazo tunaweza kuhamishia uhai hapo uwezekano wa kusafiri 100% maana miili tutakuwa tumeiacha Duniani
 
sasa na huu mwanga unaokuja usiku na mchana inakuaje?
inamaana mwanga tuliouona mchana wa leo wa jua ni wa miaka mil3 iliyopita?
Ndio na mianga mingine katika Nyota imesafiri mabilioni ya miaka ndio mwanga tunaoona leo hii kwa mfano nyota hii imekuwa (red giant) nyota nyekundu na kutanuka kumeza sayari zake miaka kama billion 1.5 iliyopita lakini leo tunaiona hivi na huenda ilisharipuka lakini itatuchukua miaka million 100 kuona kutoweka kwake lakini je kuna mwanadamu anaweza kufika miaka milioni 100 haiwezekani lakini ukisafiri Mara 2 ya kasi ya mwanga utaiona mapema
220px-Aldebaran-Sun_comparison-en.svg-1.jpg
 
Duh!
Wabongo kuna baadhi ya mambo yapo yametokea Na yataendelea kutokea!
Cern Na hiyo theory ya time hata hiyo experiment ni vitu vipo wazi!

Ukigeuza uchawi wa ki Africa unapata uchawi wa malaika wasi ambao uitwa uchawi wa kifizikia aka uchawi wa kisayansi
 
Ndio na mianga mingine katika Nyota imesafiri mabilioni ya miaka ndio mwanga tunaoona leo hii kwa mfano nyota hii imekuwa (red giant) nyota nyekundu na kutanuka kumeza sayari zake miaka kama billion 1.5 iliyopita lakini leo tunaiona hivi na huenda ilisharipuka lakini itatuchukua miaka million 100 kuona kutoweka kwake lakini je kuna mwanadamu anaweza kufika miaka milioni 100 haiwezekani lakini ukisafiri Mara 2 ya kasi ya mwanga utaiona mapema
View attachment 758328
Daaah mada moto sana hii!! Hongereni wakuu!!
 
Inawezekana chombo kikatengenezwa maana kila kukicha wenzetu wanatafiti kupata mabadiriko ya mbadala mpya na kuachana na mambo ya zamani mfano;

Russia ametengeneza makombora yanayoweza kushambulia sehemu yeyote hapa duniani inaonekana yanasafiri kwa kasi ya 99.567sk inamaana ukiwa DSM kulipua mwanza utatumia 15.6sk
Ukiwa DSM kulipua Kampala utatumia sekunde km 1950 utatumia 24sk sasa ikiwezekana yakaboreshwa Mara 1000 ya kasi hii tayali unaikaribia kasi ya mwanga 92%

Inawezekana lakini kiumbe kitakachosafiri kwa hali ya kawaida itabidi kiwe kama kimekufa ili kitakapo fika kinakoelekea ndio kifanyiwe uponyaji kurudi hai lakini uwwzekano 99.9% KUFA kiumbe kitakacho safiri kwa kasi uwezekano wa kuishi ni 0.01%

Au kama tutatengeneza roboti ambazo tunaweza kuhamishia uhai hapo uwezekano wa kusafiri 100% maana miili tutakuwa tumeiacha Duniani
Mkuu umenifungua vitu vingi sana leo kwenye sayansi za universe yetu..... Tukibakia kwenye mada ya teleportation hivi wormhole haiwezi kutumika kupunguza distance za hizo sayari na galaxy zingine na kuwezesha kufikika kirahisi bila kutumia miaka mingi kusafiri hata kma bila spidi ya mwanga au wormhole ipo kimakaratasi tu

images (20).jpg
 
Back
Top Bottom