Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

Mkuu tutakuwa hatujamtendea haki zitto junior kuuhamisha mjadala!. Lakini kifupi moja ni kuhamisha kitu (state), ingine kusafiri kwa nguvu (energy) na ya mwisho ni uwezo wa kuinua kitu(levitation).
Unaonaje wewe hiyo experiment ni kweli au story kama za John Titor!?..
Cc: Mzee wa Torano
John titor yule aliyesema kuwa ame time travel? Kwenda mwaka 2036 mkuu wewe unaonaje kuhusiana na huyu jamaa
 
Baada walirudi na project nyingine waliyoita 'rainbow project', na wakarekebisha makosa ya awali na binadam akaweza safiri bila madhara.
Nimeigusia hapa unaweza icheki kwa kuna salim msangi: JE TUPO WENYEWE KWENYE ULIMWENGU? Season Finale, Ep 3 (Time Reference..)
Mkuu ungefanya kuileta JF kwa faida ya wengi na kuiweka kwenye server zetu!.
Project RAINBOW ilifeli na kuna pilot mmoja alikufa wakati wa testing kutokana na engine kuzimika pamoja na kioo kinachomkinga pilot pale mbele kuchomoka pia ikawa known kwa watu wengi jamaa wakaicancell mwaka 1958.
Wakaswitch kwenda PROJECT GUSTO ambayo hiyo ndio ikatoa ndege za A-2(Archangel 2) ambazo nazo walipozijaribu kwenye vita ya vietnam wakakuta bado zinaonekana kwenye enemy radar!.
Hiyo technology unaongelea ya teleportation sio iliyofanyiwa utafiti kwenye Project Gusto ila Gusto ilihusu kudivert radar za adui. Hiyo ishu ya binadamu alifaulu na kusafiri sijui wapi ni story tu!..
Teleportation haiwezekani kwa sasa labda baadae!..
 
Kwahiyo mwanga wa nyota ule ni wa miaka 400 iliyopita
Inategemea na umbali nyota ilipo kuna ambazo zipo umbali wa miaka ya mwendo wa mwanga 10 zingine 100 na zipo ambazo ni mbali sana hadi mamilioni ya miaka mwendo wa mwanga
Sasa sijajua ulikua unazungumzia nyora ipi
 
John titor yule aliyesema kuwa ame time travel? Kwenda mwaka 2036 mkuu wewe unaonaje kuhusiana na huyu jamaa
Huyo jamaa ni muongo sababu alipredict mwaka 2008 sasa watu tupo 2018 no american civil war wala nini!.. Lakini aliweza fanya challenge kwenye time travel technology kwa kuweza taja technolojia ambayo wakati huo haikuwa public pamoja na kusaidia ishu za Antigravity.
 
Duh hivi wachawi wanatumia teknolojia kama hiyo kwanni hairasimishwi ilo itusaidie kama taifa !! Maana naamini wazungu wanatumia ushirikina sana tu ila wanautumia kuwanufaisha sio kurogana kama sisi huku

Nliwahi ona kuna chuo kabisa wanafundishwa DARK ARTS kabisa ila huku bongo watu wanaoweza hizi mambo wanaishia kuteleport kwenda kuroga watu wakati wazungu wanatumia kubuni silaha za kuwasaidia vitani
Mkuu dark arts hazielezeki kwa physics laws!
 
5

Mkanda wa Hadron Kubwa

The Large Hadron Collider(LHC) ni particle accelerator kubwa zaidi dunianiani na yenye nguvu zaidi. Ilianzishwa tarehe 10 Septemba 2008, LHC ina ring ya kilomita 27 ya sumaku za superconductor na miundo ya kuharakishia ili kuongeza nishati ya particle njiani.

Ndani ya accelerator, two high-energy particle beam inasafiri kwa karibu kulingana kasi ya mwanga kabla ya kuwekwa kwenye collide. beam husafiri kwa njia tofauti katika mabomba ya beam kwenye ultrahigh vacuum . huongozwa kuzunguka ring accelerator kwa nguvu ya magnetic field maintained by superconducting electromagnet . electromagnet hujengwa kutoka kwenye coils ya cable maalum ya umeme ambayo inafanya kazi katika superconducting state, hupitisha umeme bila upinzani au kupoteza nishati. Hii inahitaji kuvuta sumaku kwenye -271.3 ° C –a temperature colder than outer space. Kwa sababu hii, accelerator nyingi hushikamana na mfumo wa helium liquid, ambayo inapooza sumaku.

lhc_long_1.jpg
Collider kubwa ya Hadron ni kasi kubwa zaidi ya dunia na yenye nguvu zaidi ya chembechembe (Image: CERN)

Maelfu ya sumaku za aina tofauti na ukubwa hutumiwa kuelekeza beam around accelerator. Hizi ni pamoja na sumaku za 1232 dipole na urefu wa mita 15 ambazo hupindisha hizo beam, na sumaku 392 za quadrupole, kwa urefu wa mita 5-7 , ambazo zinafocus beam. Kabla ya collision, aina nyingine ya sumaku hutumika "kupunguza" particle ndogo zilizo karibu zaidi ili kuongeza nafasi za migongano

Udhibiti wote wa accelerator, huduma zake na miundombinu ya kiufundi huwekwa chini ya paa moja katika kituo cha CERN cha kudhibiti . Kutoka hapa, beam ndani ya LHC zinafanywa kugonganishwa katika maeneo manne kuzunguka accelerator ring, inayotegemeana na nafasi za detectors nne za chembe - ATLAS , CMS , ALICE na LHCb.

6
LHC High-Luminosity
hi-lumi-main.jpg

The high-luminosity large hadron collider (HL-LHC) project inalenga kuimarisha utendaji wa LHC ili kuongeza uwezekano wa kugundua baada ya 2025. Lengo ni kuongeza ukubwa kwa factor ya 10 zaidi ya LHC’s desgned value.
luminosity ni kiashiria muhimu cha utendaji wa accelerator : ni sawa na idadi ya migongano inayotokea kwa kiasi fulani cha wakati. The higher the luminosity, data zaidi za majaribio zinaweza kukusanywa ili kuwaruhusu kuchunguza process ambazo ni ngumu kuonekana. High-Luminosity LHC,inapaswa kufanya kazi kwa 2025, itawawezesha tafiti sahihi za particle mpya zilizotajwa kwenye LHC, kama vile Higgs bosson . Itawawezesha uchunguzi wa taratibu za nadra ambazo hazipatikani katika ngazi ya sasa ya unyeti wa LHC. Kwa mfano, LHC High-Luminosity itazalisha hadi milioni 15 za Mabango ya Higgs kwa mwaka, ikilinganishwa na milioni 1.2 zinazozalishwa mwaka 2011 na 2012.

Mradi wa Luminous High-Luminous ulitangazwa kama kipaumbele cha juu cha mkakati wa Ulaya kwa ajili ya Fizikia ya Pili mwaka 2013 na ufadhili wake umewekwa katika mpango wa muda mrefu wa CERN.

Uendelezaji wake unategemea ubunifu kadhaa wa teknolojia . Awamu ya kwanza ya mradi ulianza mwaka 2011 na "HiLumi LHC" utafiti wa kubuni, ambayo ilikuwa sehemu ya kifedha kwa mpango wa saba wa Tume ya Ulaya (FP7). Awamu hii ya kwanza ilikusanya maabara mengi kutoka kwa Mataifa ya Wanachama wa CERN, na pia kutoka Russia, Japan na Marekani. Taasisi za Marekani zilishiriki katika mradi huo kwa msaada wa LARP (Programu ya Utafutaji wa Utafiti wa LHC wa Marekani), unafadhiliwa na Idara ya Nishati ya Marekani.

Utafiti wa kubuni ulifikia mnamo tarehe 31 Oktoba 2015 na kuchapishwa kwa ripoti ya kubuni ya kiufundi, kuashiria mwanzo wa awamu ya ujenzi kwa mradi wa CERN na katika sekta.

CERN itawapa CHF milioni 950 ya bajeti yake kwa kipindi cha miaka 10 kwa maendeleo ya LHC ya Juu-Mwangaza.
NADHANI KWA SASA TUTAISHIA HAPO NITAENDELEA KULETA APDATE ZA CERN KADRI WATAKAVYOAPDATE KWENYE SITE YAO COZ UTAFITI BADO UNAENDELEA
ILA LEO NIKIPATA MUDA BAADAE NITAKULETEA POST YA MAELEZO YA BLUE BEAM PROJECT MAEXPERT WA NEW WORLD ORDER HAO NADHANI ITAKUWA POUWA TUTAJUZANA MENGI
 
Naamini ilitokea kweli. Niliwahikusoma kitabu THE PHILADEPHIA EXPERIMENT/EXPERIMENT INVISIBLE. ni maelezo hayohayo uliyoyatoa. Ila Mshana Jr kwenye Hili hatoweza, kwa kwa hii quantum tunnelling physics. Not the dark side of it!
natamani kujua hiyo physics iliyotumika hapo....kichwani nna maswali mengi!
 
Mkuu kuna aina 3 za teleportation (State teleportation, Energy teleportation na Particle teleportation). Kati ya zote hizo unayoongelea ni State teleportation ambayo so far ni kitu impossible!. Haiwezekani kitu kusafiri mwendo zaidi ya mwanga so far!, inawezekana labda walijaribu hiyo experiment yao na outcomes ya kutoweza safiri zaidi ya mwanga ndio hizo disfigurment kikifika kilipotumwa!..
Google kupitia kitengo chake cha Google X waliunda mission wakaiita "project moonshot" ambapo ndani yake waliweka na hiyo project ya 'teleportation' baada ya muda mrefu wa research waliachana nayo walipogundua ni kitu kisichowezekana kinapingana na sheria za physics!.
Hili halimaanishi hiki kitu hakiwezekani, lakini kitahitaji resource nyingi sana ndio maana kukawa na lab kutest mambo kama hayo. Kama experiment ya CERN huko Switzerland.
Hiyo Experiment inawezekana US Govt waliifanya lakini madhara yalowakuta ni makubwa!.
madhara gani hayo chief?
 
CERN ni muunganiko wa nchi za ulaya kwenye tafiti za masuala ya particles ina maana hadi masuala ya anti-matter yanafanyika pale. Masuala yote ya vitu vinavyohusu utafiti mkubwa zaidi wa Particles yanafanyika kwao, wana mtambo mkubwa unatoka Ufaransa hadi Uswiss ndani yake ndio hizo particle zinapotestiwa.
Kuongezea ndipo internet (world wide web) ilipozaliwa.
Kuna baadhi ya conspirancies zinasema kupitia majaribio ya CERN tunaweza fungua mlango wa ulimwengu nyingine ambapo tunaweza leta demons na viumbe vingine kuharibu ulimwengu wetu!. Pia wanasema ndio Teknolojia ya Time travel inapoweza kuja tokea!.
Lakini kubwa ni hilo la utafiti wao wa Anti-matter kuweza sababisha madhara kwa dunia yetu!.
Hizi chumvi za teleportation ni kama kiki zetu bongo tu; Tukitaka divert kitu tunatoa jambo lingine!.. Lakini wao wameweza kuziweka kiki zao zikakaa kwenye mainstream.
Aisee
 
Hii hapa Chief

CERN
Kiufupi CERN ni Conseil Européen pour la Recherche Nucléaire au European Organization for Nuclear Research. CERN inahusika na particle physics experiments ambapo ndo the largest machine in the world ambayo imejengwa underground kwa mzunguko wa 4700 miles imejengwa uswisi na kupitia katika mpaka wa ufaransa na uswisi.

CERN wamejenga Large Hadron Collider (LHC) kwa dhumuni la ku discover "GOD'S PARTICLES" au "Higg Boson". Kwa lugha nyepesi wanataka kujua particle inayo hold everything together (like atom ina neutron, electron na proton ambazo nazo zina subatomic zake kila moja, hivyo wanataka kujua the tiniest or smallest particle that is invisible but do exist, ambayo ndo higg boson experiment)
Kuielewa zaid CERN, yenyewe ndo ya kwanza kuanzisha world wide web "www", wao ilikuwa kwa ajili ya ma researchers kuwasiliana na bbade wakaitoa kwa public.
Turudi katika mada yetu, CERN wanafanya experiment za kugonganisha proton kwa proton ili kupata other particles katika detectors zao.

Wao CERN wanadai kwamba wakifanikiwa kupata God particles wataweza ku discover the door or a gateway ambayo wataweza ku discover vitu kutoka huko au kutuma kitu kwenda huko.

WHAT IS A GATEWAY OR A DOOR THAT CERN EXPECT TO DISCOVER?
Nikikurudisha nyuma kidogo kuhusu CERN, kuna kitu kinaitwa ANTIMATTER ambayo CERN imetengeneza LHC ili iweze ku discover ku hold na ku control anti matter. Inasemekana kuwa antimatter is very unstable so inaweza ikaleta destruction duniani. Hivyo kupitia antimatter wataeza kupata God's particle.
Hili ndo linalowaogopesha wengi kwa wanaofatilia kila wanachokifanya CERN, kwamba they want to create a portal au vortex ambayo ita link parallel universes.
Parallel universe kama inavotamkika ni universes ambazo hazikutani kabisa. Mfano sisi Binadamu ni certain dimension (to be exact 3rd Dimension beings) hivyo kuna Dimensions zingine ambazo hatuwez ku interact nazo. So mlango (a gateway) utakaopatika CERN utakuwa umeanzisha inter-dimension between different universes.

WHY IT BECAME A CONSPIRACY THEORY?
Kwanza kabisa CERN wameuita mwaka 2015 kuwa "INTERNATIONAL YEAR OF LIGHT". Kwamba lile swali tulilokuwa tunajiuliza kuhusu BIG BANG THEORY liko karibu kujibiwa maana pindi LHC ikiwashwa kwa energy kubwa ambayo ni 13 TERA ELECTRO VOLTAGE (13TeV) ambayo haijawahi kufanya kazi kwa nguvu hiyo ambapo itakuwa na uwezo wa kuzungusha proton kwa speed nearly speed ya mwaga (speed of light) ili kufanikisha collision kubwa haijawai tokea ili wapate God's particles ndipo watajua kuwa origin ya universe ni nini.

Pili kuna sanamu la Mungu wa Kihindi (SHIVA) katika Headquarter yake. Ukifatilia SANA kuhusu God Shiva ni Mungu wa kihindi mwenye maana ya "The Distroyer". Swali ni kwanini wameamua kumweka Shiva, Hivyo imebaki kuwa na majibu mengi ila majibu machache ni kwamba endapo watakapoweza kufungua huo mlango " a gateway" Shiva ambaye ndo the Distoryer ambaye pia anaaminika kuwa ndo Lucifer atatoka. Jibu lingine kwamba watatoka spritual beings ambazo ni demons ambapo watakufa watu wengi sana maana the only energy ya ku fungua mlango huo people's souls, jibu jengine ni kutoka kwa Antichrist ambaye atafanya wonders na watu kumfata, na la mwisho ni kukutana kwa mara ya kwanza na extraterrestrial beings.

MAWAZO MENGINE
Nikiingia katika iman ya kikristo yenye maelezo ambayo yanaweza kuipa mada hii changamoto ni Mnara wa babeli. Wengi tunajua habari ya mnara wa babeli ambao watu wa kale walijenga mnara ili kilele chake kifike mbinguni ili wasipate kutawanyika uson mwa dunia na wajiapatie jina kupitia hapo.
Mwanzo 11:1 Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
2 Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
3 Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
4 Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
5 Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
6 Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
7 Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
8 Basi Bwana akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote; wakaacha kuujenga ule mji.


Kwanza tupate kujua kuwa nia yao ilikuwa kufika Mbinguni na Bwana akasema hawa hawatazuiliwa kwa neno lolote ikimaanisha hawashindwi kitu kwa watakachoamua kukifanya hivyo akawabadili lugha.

Sasa waliwezaje kutaka kufanya mnara ufike Mbinguni wakati Mbinguni ni other than spiritual world? Na ukiangalia kwa sasa hivi ni ngumu kujenga mnara ambao utakaoweza fika mawinguni, sasa hao waliwezaje kutaka kujenga mnara ufike Mbinguni!!??

Well kwa mtazamo mwengine walikuwa wanajenga mlango wa kwenda mbiguni (walikuwa wanajenga kitu ambacho kina link different dimensions "a gateway" ) kama wanavyofanya CERN kwa sasa.
Hivyo Hii ya CERN ikifanikiwa na atakayetoka katika huo mlango ndo atakuwa the new Messiah ambaye ni Antichrist ambaye pia ni Nephilim (other claims that) - Nephilim ni offspring kati ya mwanadamu na fallen angels [DNA crossover].

Lakini ili uielewe zaidi hii kitu lazima uijue kwanza Project Blue Beam ila kwa kuwa uliitaka Cern ndio hivyo ilivyo japo ukisoma sana kuihusu utapata mkanganyiko mkubwa sana kuhusu malengo yao na nini taget yao

Kuhusu hiyo teleportation nadhani wamarekan wanatafuta kiki tu ili nao tujue wamo maana hata kama mwanzo iliua watu wengi wasingrshindwa kuendelea kuifanyia utafiti kwa kina zaidi hadi sasa hivyo wasitudanganye kabisa
aiseee!

kitu kimoja nazidi kujifunza ni kwamba binadamu baada ya kupewa ufahamu tu we are unstoppable, binadamu ni wabishi sana.

Ila hatutaweza kushindana na MUNGU.

ngoja tuone mwisho wake....wasituletee mabalaa tu ya hayo maNefili.
 
madhara gani hayo chief?
Tuchukulie mfano simple unataka kutoa mdomo wako umpe jirani yako, kinachotakiwa wewe usicheze wala jirani yako asitikisike, mkikosea mdomo utatokea kwenye paji, kifua au popote badala ya eneo lake!. Pia kufanikisha upoteaji ni jambo linalohitaji nguvu kubwa sana mtambo kufanikisha.
 
Dunia ina mengi ya kutisha na kushangaza pengine kutuacha midomo wazi siku moja nilikuwa na Professor wa Canada tunajadiliana kuhusu uwezekano wa mwanadamu kusafiri katika sipidi ya mwanga kama itawezekana alichoniambia ni kuwa hivi vitu vitawezekana na kuna inchi zimeendelea sana kuna mifumo inafanya kazi kwa sipidi kubwa ni mda tu mambo mengi yatakuwa wazi akanipa mfano wa Operation Gothic ya Israel inaweza kushambulia popote katika Dunia kwa mda wa saa unaofanana bila kuona chanzo cha shambulio na umbali mkubwa hata katika mabara yote 7 kwa sekunde moja unafikiri hii technology ni ya aina gani?
Akanipa mfano Israel imewahi kushambulia karibu mataifa yote ya mashariki ya kati na inchi za kiarabu kwa mda mmoja na ilisimamisha kila kitu ktk anga ya mashariki ya kati na inchi zote za kiarabu.

Kuna mambo mengi tukiweza kuyataftia ufumbuzi tunaweza kushi umri wa miaka million kwa mfano tufanye uwezo wa kusafiri mara 2 kasi ya mwanga tutaenda kwenye jua kwa dakika .3⅔ . ukienda na kurudi utakuwa umetumia dakika 7 na ndani ya mda huu utarudi duniani utawakuta uliowaacha wote ni marehemu kwa vizazi 2 na vijana wa kizazi cha 5 na 4.
Lakini wewe umri wako ni dakika 7 ukiweka na mshangao wa kuikuta Dodoma ni jiji kama Beijing labda utumie dakika 30 itakubidi uende century A. nyota ya karibu utumie siku nzima 24masaa x 60dakika =1440dakika

1440dakika/7dakika = 205.714 x 70= 1439.99miaka ukirudi utumie 1439.99

=2879.998 miaka ya kwenda na kurudi Duniani
Kizazi chote ulichoacha hautakikuta kitakuwa kimetoweka lakini wewe umri wako itakuwa SAA 24+24+7dakika+30dakika

= 2 siku na dakika 37 ndio utakuwa umri wako sasa ili ufikishe miaka 70 utaishi mamilioni ya miaka mpaka kufa.

YAJAYO YANAFURAHISHA
Kusafiri kwa kasi ya mwanga na mwili huu huu wa nyama au in other form?
 
John titor yule aliyesema kuwa ame time travel? Kwenda mwaka 2036 mkuu wewe unaonaje kuhusiana na huyu jamaa
Hizi story zitakuwa za kweli mkuu,kutime travel??if it's true then hawa jamaa wanaakili ambayo si ya kibinadamu.
 
UMENIKUMBUSHA SERIES YA "THE EVENT" ilibanwa ikafutwa katikati ilikuwa na scenario kama hizo.
Wenzetu hawakuonyeshi kitu kama hawaja kifanyia majaribio so na uhakika hata kama hakijawahi kufanyika basi soon watafanya.
 
Back
Top Bottom