zanzibakwetu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 618
- 377
Haya Ndg hakuna shida tumewazoea mashabiki wa Simba mna maneno na kujiamini sana mwisho wa siku mnakimbia maneno yenu.Muda utasemaWasio na amani hawajui mpira. Onyango amekuja Simba akiwa MVP wa ligi ya Kenya (kama alivyokuwa Chama kwenye ligi ya Bara). Bado akiwa Simba amethibitisha hilo na hakuna beki bora hadi sasa kuliko ya Simba hapa Bara. Bado kuna Wawa, Nyoni, Kennedy, Ame, halafu mtu anakurupuka kusema mahitaji ya Simba ni beki, hivi watu huwa mnaangalia mpira kweli?
Sawa tusubiri tuone kila Mchezaji mnayesajiri mnasifia hivyo hivyo mwisho wa siku mnahaibika.Muda utasema,ngoja tusubiriAme anatosha sana kama beki namba nne. Chikwende ni usajili bora kabisa. Huyu anailazimisha timu pinzani kujihami muda wote so mabeki wake hawatakua na wakati mgumu.
Huyu wa Yanga toka Burundi ni mtoto wa dada Caze kaja kula na mjomba Kama Maximo na Jaja.
Baada ya kuwasumbua Simba ndiyo kipimo Cha ubora wa chikwendeWw ulimuona wapi chikwende akicheza hadi unasema mzuri?
CEO BarbaraAbdoul razak kasajiliwa kwa mapendekezo ya kocha kaze,chikwende kasajiliwa kwa mapendekezo ya nani? Maana simba haina kocha
Shibobo na KolibaliFraga bado yupo Simba au kasha ondoka?
Umeimarika kwenye backline ulikutana na Nani?Simba ya mwaka huu beki imeimarika na ugenini tumepoteza Basi si zaidi ya goli 2
akikutana na ihefu ,wakikutana na yanga shughuli ya kisinda anaijuaUmeimarika kwenye backline ulikutana na Nani?