fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
kwenye suala la mapenzi,woga wako mkuu ni upi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hi ya kupata magonjwa kuna siri gani kwani..Kupata magonjwa, naogopa sana hii kitu ndio maana kinga kwangu ni chaguo la kwanza hasa kwa kizazi hiki cha azuma.
Hata mimi sijawahi kupata ugonjwa wowote na nimewalala hawana idadiMkuu hi ya kupata magonjwa kuna siri gani kwani..
Maana kuna mimi sijawahi waza kutumia condom na sijawahi gumia hata STDs moja
Natumiaga condom kipindi naanza najua pale friction ni kubwa ila baada ya hapo situmii an ni kuteleza tuHata mimi sijawahi kupata ugonjwa wowote na nimewalala hawana idadi
Mbona kuna mahali niliona ulisema ulipata GONO?Mkuu hi ya kupata magonjwa kuna siri gani kwani..
Maana kuna mimi sijawahi waza kutumia condom na sijawahi gumia hata STDs moja
Kipindi kile nilijichanganya nilikua nakojoa 🔥 🔥 sio kama nilipata gonoMbona kuna mahali niliona ulisema ulipata GONO?
Magonjwa ya ngono yanatisha sana, 2018 nilimuona jamaa fulani hivi ni ndugu yake na mshkaji wangu, dhakari ilipitiwa na pangusa ikapukutika yote na alikua anaficha, yalipomzidia akasema ndio kumpeleka hospital wakachonga nyama ya paja kidogo ikawekwa kwenye eneo lililopukutika nyama. From there nikaunganisha na wanaoteseka na HIV ndio nilijua kuwa utam umekaa pabaya sana napaswa kuwa makini zaidi ya jana.
kukojoa moto sio gono ni nini?Kipindi kile nilijichanganya nilikua nakojoa 🔥 🔥 sio kama nilipata gono
😂😂😂😂😂😂
Sema mkuu kweli utamu upo pabaya sana daaah mungu atusaidie sisi ma hustler aiseee mtaji wetu ni afya
kuwekewa kilevi afu njemba ndo ininyanyue🥲
Acha wogakuwekewa kilevi afu njemba ndo ininyanyue🥲
unaumwa wewe🤣Acha woga
Acha wogaunaumwa wewe🤣
nikiwa mwoga,marinda yangu yataishi mileleAcha woga
Unawaza marinda tunikiwa mwoga,marinda yangu yataishi milele
Nayapenda piaUnawaza marinda tu
Namimi je?Nayapenda pia
Nakutaka piaNamimi je?
Unanitaka au unanipenda kama uyapendavyo marinda yako?Nakutaka pia