Upi Uoga wako Mkubwa kwenye mapenzi?

Upi Uoga wako Mkubwa kwenye mapenzi?

Mbona kuna mahali niliona ulisema ulipata GONO?

Magonjwa ya ngono yanatisha sana, 2018 nilimuona jamaa fulani hivi ni ndugu yake na mshkaji wangu, dhakari ilipitiwa na pangusa ikapukutika yote na alikua anaficha, yalipomzidia akasema ndio kumpeleka hospital wakachonga nyama ya paja kidogo ikawekwa kwenye eneo lililopukutika nyama. From there nikaunganisha na wanaoteseka na HIV ndio nilijua kuwa utam umekaa pabaya sana napaswa kuwa makini zaidi ya jana.
Mkuu, tuongeze kashata
 
Mbona kuna mahali niliona ulisema ulipata GONO?

Magonjwa ya ngono yanatisha sana, 2018 nilimuona jamaa fulani hivi ni ndugu yake na mshkaji wangu, dhakari ilipitiwa na pangusa ikapukutika yote na alikua anaficha, yalipomzidia akasema ndio kumpeleka hospital wakachonga nyama ya paja kidogo ikawekwa kwenye eneo lililopukutika nyama. From there nikaunganisha na wanaoteseka na HIV ndio nilijua kuwa utam umekaa pabaya sana napaswa kuwa makini zaidi ya jana.
Chancroid a.k.a kadi ya njano [emoji119]
 
Uoga wangu ni kuishi na jambazi anaitwa mke kwa miaka zaidi ya thelathini halafu tunapata vibaka fulani waitwe watoto.Halafu,naamua kupumzika ila huyo jambazi/mke anaanzisha vurugu akishirikiana na vibaka/watoto wanidhulumu mali zote na kugawana wakisaidiwa na sheria kandamizi waniache nimezubaa kama mbu mgane.Ooh...man,it's horrible!
Ahahahahah mkuu nimecheka na kusikitika pia.
Ila kadir unavyokua mtu mzima hasa sisi wenye familia na kadiri wanao wnavyokua ndio unakuja kuelewa ni kwasababu gani wanaume kuna time huwa wana telekeza watoto au hawana kabisa habar na familia.

Kiukwel watoto ni advantage ya wanawake. Kwenye ndoa, mwanaume kunufaika na watoto ni asilimia chache sanaaaaaa so watu wanaamua kula tu maisha yao.
 
Uoga wangu ni kuishi na jambazi anaitwa mke kwa miaka zaidi ya thelathini halafu tunapata vibaka fulani waitwe watoto.Halafu,naamua kupumzika ila huyo jambazi/mke anaanzisha vurugu akishirikiana na vibaka/watoto wanidhulumu mali zote na kugawana wakisaidiwa na sheria kandamizi waniache nimezubaa kama mbu mgane.Ooh...man,it's horrible!
wewe jamaa wewe loooh, my ribs pls
 
Back
Top Bottom