Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Hahahaha 😂😂 tutafukuzwa humu sio mdaUnanitaka au unanipenda kama uyapendavyo marinda yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 😂😂 tutafukuzwa humu sio mdaUnanitaka au unanipenda kama uyapendavyo marinda yako?
Acha janja janja weweHahahaha 😂😂 tutafukuzwa humu sio mda
tutaambiwa si mahala pakeAcha janja janja wewe
tutaambiwa si mahala pake
Chitchat hukooo....Mahaala pake ni wap?
TwendekoChitchat hukooo....
Mkuu, tuongeze kashataMbona kuna mahali niliona ulisema ulipata GONO?
Magonjwa ya ngono yanatisha sana, 2018 nilimuona jamaa fulani hivi ni ndugu yake na mshkaji wangu, dhakari ilipitiwa na pangusa ikapukutika yote na alikua anaficha, yalipomzidia akasema ndio kumpeleka hospital wakachonga nyama ya paja kidogo ikawekwa kwenye eneo lililopukutika nyama. From there nikaunganisha na wanaoteseka na HIV ndio nilijua kuwa utam umekaa pabaya sana napaswa kuwa makini zaidi ya jana.
Ongeza mkuuMkuu, tuongeze kashata
Kula jicho la tatukwenye suala la mapenzi,woga wako mkuu ni upi?
Kwa maelezo zaidi endelea kuzagamuana bila KingaMkuu hi ya kupata magonjwa kuna siri gani kwani..
Maana kuna mimi sijawahi waza kutumia condom na sijawahi gumia hata STDs moja
Chancroid a.k.a kadi ya njano [emoji119]Mbona kuna mahali niliona ulisema ulipata GONO?
Magonjwa ya ngono yanatisha sana, 2018 nilimuona jamaa fulani hivi ni ndugu yake na mshkaji wangu, dhakari ilipitiwa na pangusa ikapukutika yote na alikua anaficha, yalipomzidia akasema ndio kumpeleka hospital wakachonga nyama ya paja kidogo ikawekwa kwenye eneo lililopukutika nyama. From there nikaunganisha na wanaoteseka na HIV ndio nilijua kuwa utam umekaa pabaya sana napaswa kuwa makini zaidi ya jana.
Ndio nnChancroid a.k.a kadi ya njano [emoji119]
Ahahahahah mkuu nimecheka na kusikitika pia.Uoga wangu ni kuishi na jambazi anaitwa mke kwa miaka zaidi ya thelathini halafu tunapata vibaka fulani waitwe watoto.Halafu,naamua kupumzika ila huyo jambazi/mke anaanzisha vurugu akishirikiana na vibaka/watoto wanidhulumu mali zote na kugawana wakisaidiwa na sheria kandamizi waniache nimezubaa kama mbu mgane.Ooh...man,it's horrible!
okKupata magonjwa, naogopa sana hii kitu ndio maana kinga kwangu ni chaguo la kwanza hasa kwa kizazi hiki cha azuma.
kwani jicho sio tamu?Kula jicho la tatu
wewe jamaa wewe loooh, my ribs plsUoga wangu ni kuishi na jambazi anaitwa mke kwa miaka zaidi ya thelathini halafu tunapata vibaka fulani waitwe watoto.Halafu,naamua kupumzika ila huyo jambazi/mke anaanzisha vurugu akishirikiana na vibaka/watoto wanidhulumu mali zote na kugawana wakisaidiwa na sheria kandamizi waniache nimezubaa kama mbu mgane.Ooh...man,it's horrible!
Wewe unaonaje hiyo,ni uongo?wewe jamaa wewe loooh, my ribs pls