Upi Uoga wako Mkubwa kwenye mapenzi?

Mkuu, tuongeze kashata
 
Chancroid a.k.a kadi ya njano [emoji119]
 
Ahahahahah mkuu nimecheka na kusikitika pia.
Ila kadir unavyokua mtu mzima hasa sisi wenye familia na kadiri wanao wnavyokua ndio unakuja kuelewa ni kwasababu gani wanaume kuna time huwa wana telekeza watoto au hawana kabisa habar na familia.

Kiukwel watoto ni advantage ya wanawake. Kwenye ndoa, mwanaume kunufaika na watoto ni asilimia chache sanaaaaaa so watu wanaamua kula tu maisha yao.
 
wewe jamaa wewe loooh, my ribs pls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…