Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

hahaha siku moja nikiwa advance usiku nilibanwa sana na genye nikapiga ponyeto usiku huo, nilivomaliza tu tumbo likaanza kuniuma balaa baada ya masaa kadhaa nikaanza kuhara usiku ule niliharisha kama mtu mwenye HIV, yaani ilikuwa mharo na mimi, mimi na mharo... hii hali ilienda kama siku2 hivi then ikakataka.... ikawa mwanzo na mwisho kupiga punyeto
ukiamua utaweza kuanza maisha mapya
hahahahahaha sema wewe uliogopa tu, lile ni wenge pia ulikula maharage mabaya siku hiyo
 
Ila hii kitu ina Ubora wake sometimes
1 dem akusumbui akleta poz tu unakula mkono
2 UTI GONO na mengneyo kwako inakua kama mbingu na ardhi uwez kukutana nazo
3 inacho niuzi hii kitu kutokuachika na kudumaza Ak47 bac

#na kauli mbiu yetu mwanaume wa kweli abaki bali anapiga nyeto
 
Wewe hujapiga punyeto ndo maana unampa huo ushauri, mimi hayo yote nimefanya, tena ukifanya mazoezi nguvu ya kupiga punyeto nayo inaongezeka. Nilivyooa ndo nimeacha, na sijui nimeachaje. Lakini mimi ni Master wa kupiga puli.
Mkuu anza kufanya mazoez kila siku mda unaokuwa free hlo waz ulipotezee ukiskia tu mzuka wa kujichua piga tizi push up, jogging, kuruka kamba... Ukiona uzalendo umekushinda kanunue mraka town au tongoza mtaani upate kidada
 
Sio kweli mkuu, wewe hujawahi kuwa mtumwa wa punyeto. Acha kabisa, kuacha punyeto hadi uwe na mwanamke ambaye upo naye muda wote.
Dirisha la Jirani Usiogope wala usichanganyikiwe.. hiyo changamoto ni ndogo sana brother. Tofauti na watu wana vyo ikuza na kuifanya ionekane ni ngumu kuishinda, huo ni uongo kabisa. Unaweza iacha ndani ya siku moja na usirudiw tena
 
Hukuwa na utaalamu wa kupiga puli wewe, hiyo huwa haina madhara, ni vi uchovu tu ndo madhara yake
hahaha siku moja nikiwa advance usiku nilibanwa sana na genye nikapiga ponyeto usiku huo, nilivomaliza tu tumbo likaanza kuniuma balaa baada ya masaa kadhaa nikaanza kuhara usiku ule niliharisha kama mtu mwenye HIV, yaani ilikuwa mharo na mimi, mimi na mharo... hii hali ilienda kama siku2 hivi then ikakataka.... ikawa mwanzo na mwisho kupiga punyeto
ukiamua utaweza kuanza maisha mapya
 
Mimi niliacha kwa muujiza tu. Sasa hivi nina Mwaka na mwezi wa tisa sijawahi! Ila tangu 2002 mpaka mwaka jana 2018 ilikuwa ni given . sasa hivi nina uwezo wa kuangalia XXXvideos na nisipige puli
 
Mimi niliacha kwa muujiza tu. Sasa hivi nina Mwaka na mwezi wa tisa sijawahi! Ila tangu 2002 mpaka mwaka jana 2018 ilikuwa ni given . sasa hivi nina uwezo wa kuangalia XXXvideos na nisipige puli
Aisee miaka 16 umenyetukaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2955][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
hahaha siku moja nikiwa advance usiku nilibanwa sana na genye nikapiga ponyeto usiku huo, nilivomaliza tu tumbo likaanza kuniuma balaa baada ya masaa kadhaa nikaanza kuhara usiku ule niliharisha kama mtu mwenye HIV, yaani ilikuwa mharo na mimi, mimi na mharo... hii hali ilienda kama siku2 hivi then ikakataka.... ikawa mwanzo na mwisho kupiga punyeto
ukiamua utaweza kuanza maisha mapya
Wewe sio mabaharia walizibua tope kweli? Kuhara ni dalili ya choo kutibuliwa
 
Hongera
Mimi niliacha kwa muujiza tu. Sasa hivi nina Mwaka na mwezi wa tisa sijawahi! Ila tangu 2002 mpaka mwaka jana 2018 ilikuwa ni given . sasa hivi nina uwezo wa kuangalia XXXvideos na nisipige puli
 
Pole kwa hilo tatizo mkuu. Nitakusaidia uache hiyo kitu, ni rahisi sana kuacha brother. Kuna vitu vichache sana nikikuelekeza na ukifanyia kazi utaacha kabisa.

Wengi wanapata taabu kwenye hiyo issue kwa ajiri ya kuwa na oicha kamili ya identity yao... Pole sana brother.

Uje PM kama upo serious
Uje PM kama upo serious kuacha.
Weka hapa pm ajekufanya nini unataka kumuibia pesa yake wewe
 
kama haijaleta madhra yoyote kwako unaweza kuendelea tu, utaweza kuacha pindi utakapoona madhara yake.

kipindi cha intaneti bila kikomo kwa tshs 200 usiku kucha NILIKUA NANGALIA SANA XX, NILIKU NAPIGA SANA NYETO, siku nilipata demu bikra, nilizama na kutoa si zaidi ya mara 5 chaliiii, ule ndio ukawa mwazo wa kuacha nyeto, japo sikuacha paaap, mpaka sasa hata nikipiga basi ni mara moja kwa mwaka.

ili ufanikiwe kuacha ni kuwa na demu/ mke ambaye akshi ikikushika tu unakutana naye kimwili.
punguza muda wa kukaa peke yako, jitahidi muda mwingi uwe karibu na marafiki hii itakunyima muda wa kunyetuka kwa kiasi fulani.
 
Unasema umeombewa ila tatizo halijaisha basi habari njema inakufikia siku ya leo, wiki iliyopita nikiwa natembea nyikani nikasikia sauti ikisema, "Jipu tazama mbele yako kuna nini?" Nikajibu fimbo, sauti ikasema, "iokote fimbo iyo, nawe utaenda nayo popote ukihubiri neno langu, na kwa fimbo hii wote utakao wachapa viboko kwa fimbo hii watapata wokovu."
Leo ni siku ya sita watu wanapata wokovu, nimechapa viboko vya upako wezi, majambazi, walevi, wazinzi, wagonjwa na wote wamepata uponyaji. Nakusihi njoo na wewe nikutandike viboko vitano vya upako tatizo lako litaisha.
Nimecheka mpaka machozi watu mna utani sana yani umtandike bakora aise hiiiiiiiiii hiiiiiiii hoooooooo duhuuuuuu
 
Mkuu punyeto haichwi kama umeme unavyokatika ni process cha msingi tambua hiyo ni addiction unachotakiwa kufanya mzee hakikisha taratibu unapunguza kiwango cha ufanyaji at the end taraibu mwili wako utatambua kuwa sio muhimu utaacha
 
Waliotoa comment wengi wao humu ni wapiga nyeto.sema jamaa ameamua tu kujiweka hadharani.ila wengi wenu mna tatizo kama la huyo jamaa hapo.[emoji2222][emoji2222][emoji2222]

Kwa hyo umesahau kwamba ata wewe ume comment moja kati ya dalili za mpiga punyeto mzuri ni USAHAULIFU[emoji23][emoji23]
 
Dawa ya ya kuacha zingatia yafuatayo

1. angalia mda gani huwa unapiga zaidi nyeto yani ukiwa mpiga nyeto lazma kuna kipindi katika masaa 24 yale ya siku ndio unakua mda wako wa kuharibu...

2. Baada ya kujua namba moja hapo basi hakikisha huo mda haupo peke yako yani hii ndio dawa usikae peke yako narudia usikae peke yako utaacha..

BY RETIRED CHAPUTA SUPERSTAR
 
Back
Top Bottom