Mavubaa
Member
- Sep 2, 2019
- 63
- 95
Hahahahaha kweli mkuuNyeto haijawahi kuachwa kwa watu ambao wameshakuwa waraibu utapumzika tu ila chamani hutoki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha kweli mkuuNyeto haijawahi kuachwa kwa watu ambao wameshakuwa waraibu utapumzika tu ila chamani hutoki
Aiiiseee! HAIJAWAHI TOKEA IN CAPITAL LETTERS. Utawala was awamu hii ni raaanaaaaaaHongera endela kupiga punyeto kwa maendeleo ya viwanda na uchumi ili tuenzi sera ya serikali ya awamu ya tano!
Chama kinakuhitaji sana rudi harakaPole sana, utaacha tu sababu unania ila lini ndio haijulikani. Haka kamtego ni balaa mi pia kalinisumbuaga sana ikawa kila new yeat naweka resolution ya kuacha ila kesho yake tu narudia. Nlipofika form three nikajikuta tu nimeacha maana nilianzaga std 7 baada ya kuangaliaga jarida la ngono
unafanyaje mkuuDawa hipo kama upo serious nitafute unaacha ndani ya siku tatu
Mkuu weka hapa kila kitu. Mimi pia nataka kuacha hiki kifungoPole kwa hilo tatizo mkuu. Nitakusaidia uache hiyo kitu, ni rahisi sana kuacha brother. Kuna vitu vichache sana nikikuelekeza na ukifanyia kazi utaacha kabisa.
Wengi wanapata taabu kwenye hiyo issue kwa ajiri ya kuwa na oicha kamili ya identity yao... Pole sana brother.
Uje PM kama upo serious
Uje PM kama upo serious kuacha.
Mkuu weka hapa kila kitu. Mimi pia nataka kuacha hiki kifungo
Mkuu hata ukiweka viapo ni bure tuu. Mi nakumbuka nilishaapa nakusema ( kuanzia leo naacha nyeto na siku nikipiga nife, lakini huwezi amini baada ya masaa mawili niliungurumisha punyeto balaaa. Yani yani yaniiii!!!!DAAH MKUU POLE SANA NASIKIA NI NGUMU SANA KUACHA ILA UKIWEKA NIA NA KIAPO THABITI UTAFANIKIWA
Unasema umeombewa ila tatizo halijaisha basi habari njema inakufikia siku ya leo, wiki iliyopita nikiwa natembea nyikani nikasikia sauti ikisema, "Jipu tazama mbele yako kuna nini?" Nikajibu fimbo, sauti ikasema, "iokote fimbo iyo, nawe utaenda nayo popote ukihubiri neno langu, na kwa fimbo hii wote utakao wachapa viboko kwa fimbo hii watapata wokovu."
Leo ni siku ya sita watu wanapata wokovu, nimechapa viboko vya upako wezi, majambazi, walevi, wazinzi, wagonjwa na wote wamepata uponyaji. Nakusihi njoo na wewe nikutandike viboko vitano vya upako tatizo lako litaisha.
Asante sana mkuu.Kila ukijihisi unataka kufanya jiulize haya maswali;
1) What for?
2) Kama sio leo nitaacha lini?
Halafu jiambie; Mimi sio dhaifu kiasi hiki.
Kwangu imenisaidia, nilikua muhanga ila nikaacha. Kila la heri mkuu.
rafiki haujawahi kutoa ushauri mbaya toka mwaka juzu uliponishauri kuhusu betting leo tena nimekuona japo kwa ID tofauti leo tumekutana.Funga,sali mlilie Mungu wako akutoe katika hili janga maana litakupeleka shimoni.Kuna hatari kubwa hata ya kujikaribishia majini mahaba pasipo kujua.Na majini mahaba yanapomuingia mtu kumtoka si kazi rahisi aisee.Alafu kingine upende kufanya mazoezi yatakuweka busy na kukufanya usifikirie kujichua kila mara.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂AWOL, mbona ulivyoingia hukutuambia