Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Pole kwa hilo tatizo mkuu. Nitakusaidia uache hiyo kitu, ni rahisi sana kuacha brother. Kuna vitu vichache sana nikikuelekeza na ukifanyia kazi utaacha kabisa.

Wengi wanapata taabu kwenye hiyo issue kwa ajiri ya kuwa na oicha kamili ya identity yao... Pole sana brother.

Uje PM kama upo serious
Uje PM kama upo serious kuacha.
Inbox hupokei sms yangu kiongozi
 
Yaani unaangalia x hadi unakojoa mwenyewe???
Umeangalia xvideos hadi umeishiwa cha kuangalia???
Dah japokuwa mi ni mdau nguli kabisa wa xvideos lakini wewe nakupa "asalam aleykum" yaani sikupati hata kidogo binafsi kila nikiingia xvideos huwa naiona mpyaa kabisa na haijawahi nichosha,niliamua kuwa porn iwe ndo ulevi wangu yaani nilikubaliana na hali halisi,
Kinachokuumiza wewe ni umeathirika kisaikolojia,una ile hali ya "denial" ni mbaya sana,ilitakiwa ukubaliane na hali yako kwanza ndipo mambo mengine yafuate
 
Ingawa najisikia aibu na vibaya ku-admit hili, lakini hii linanikuta siku za nyuma nilikuwa nasikia kichefu chefu kuangalia gay porn, au anal sex lakini taratibu nikiaanza kuvutiwa na shemale na sasa gay porn ingawa siwi comfortable ninapoziangalia kama jinsi navyokuwa napokuwa nikiangalia porn nyingine, lkn najua kila kitu kina mwanzo na hapa ndipo nilipopata hofu kuwa napoeleka siko its time for a u-turn in a correct way.

Huwa tunapitia hizi changamoto ili sie tuje kuwa msaada kwa watu wengine pia.. Usijri hiyo issue tunaimaliza Mkuu.
 
punyeto n mbaya sana. Kuacha n ngumu kwa walioathirika ila ukiamua unaweza.
1. Achana na smartphone
2. Usipendi kukaa peke ako muda mwingi
3. Jipe kazi ya kufanya, yaani usiwe bila shughuli
4. Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu, mfanye ngono sana.

Zaidi zidisha sala
 
Achana na Chaputa karibu Ccm
Chaputa kwasasa hawapewi ruzuku tena
Viongozi wake chokambaya
 
Chukua ushauri mkuu, maisha yao hayakuhusu, by the way huna reason yoyote ya kutuaminisha kuwa wako addicted
Kinachokutesa sio punyeto, bali ni hisia zako za kujiona u mdhaifu.
Uzinzi ndio mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii pia.Guilty umejipa ww mwenyewe.
Ili uache cha kwanza ni kujiondoa kwenye hiyo hatia.
Kiuhalisia, karibu 90% ya wanaume wote duniani master B addicted.
Hadi matajiri na watu maarufu hupiga nyeto.
Hata watakaokupa ushauri humu jinsi ya kuacha ni addicted wakubwa
 
Yaani unaangalia x hadi unakojoa mwenyewe???
Umeangalia xvideos hadi umeishiwa cha kuangalia???
Dah japokuwa mi ni mdau nguli kabisa wa xvideos lakini wewe nakupa "asalam aleykum" yaani sikupati hata kidogo binafsi kila nikiingia xvideos huwa naiona mpyaa kabisa na haijawahi nichosha,niliamua kuwa porn iwe ndo ulevi wangu yaani nilikubaliana na hali halisi,
Kinachokuumiza wewe ni umeathirika kisaikolojia,una ile hali ya "denial" ni mbaya sana,ilitakiwa ukubaliane na hali yako kwanza ndipo mambo mengine yafuate
Mkuu binafsi nimeshakubali kuwa ktk hili mimi ni muathirika na ndio sababu kuu ya kuja hapa kutafuta ushauri na miongozo ili hatimaye nitoke kabisa huko.
 
Mimi ninachokushauri ni hiki, kwanza tambua ya kuwa wewe ni wa mhimu sana mbele za Mungu.

Punyeto au utazamaji wa porn ni chukizo kubwa sana mbele za Mungu, kwani unapotazama picha za ngono au kupiga punyeto unakuwa unampa utukufu shetani,na mtu yeyote anayekuwa akitenda dhambi huwa anakuwa mtumwa wa dhambi hiyo, hivyo hawezi kuwa huru hata siku moja.

Picha zote za ngono, majarida au habari za ngono hizo hazipo kwa ajiri ya kukupa burudani, huo ni mtego uliowekwa na mawakala wa shetani ili kuwanasa watu wa Mungu wapate kuanguka. Wacheza sinema za ngono hao huwa wanalaana tangu awali ,kwani wapo tayari kufanya lolote na wakati wowote,ndo mana waweza kuwaona wengine wanafanya ngono,mtu mmoja kwa watu watano au zaidi. Na wengine utawakuta wanafanya ngono na mbwa au na mnyama yeyote, hiyo ni laana.

Kutazama au kupiga punyeto, kunakaribisha pepo wachafu kuweza kumuingia mtu,ndo mana unakuwa na kiu ya kutazama, huwezi kumaliza siku mbili au tatu bila kutazama, mwanamke au mwanaume akinaswa na hizo picha yupo tayari kulala na dada yake au kaka yake. pindi unapotazama picha hizo chafu usizani ya kuwa upo peke ako, hapo unakuwa na pepo wachafu wakikutazama na kushuhudia udhaifu wako.kuna watu unawaona kwenye hizo video clips ,wanawake wazuri na warembo hasa, sio wote ni binadamu, kuna wengine ni pepo wachafu wakiwa wamevaa maumbo ya kibinadamu, wapo tayari kumuangamiza yeyote anae kuja mbele yao.

Na tambua ya kuwa sisi sote tu viumbe vya Mungu na hivyo twatakiwa kuwa safi wakati wote, kiroho na kimwili. Sasa pindi utazamapo picha za ngono au kupiga punyeto roho wa Mungu huwa anaondoka na kukuacha peke yako mana hawezi kuishi katika mwili utendao maovu, kama tunavyojua ya kuwa mwili ni hekalu la roho mtakatifu aliye msaada wetu wakati waote,

Sasa tunapokuwa mbali na roho mtakatifu uwepo wetu umekuwa bure, maana yeye ndio msaada wetu kwa kila jambo,atuepusha kwa ajari, atupatia neema na baraka na ndio mwombezi wetu .

Ushauri wangu, jikane nafsi yako tangu sasa na uamue kuacha mara moja huo mchezo mchafu, jiulize tangu umekuwa ukifanya hayo umefaidika na nini sasa???

Kama sio kupoteza mda, kujitia hatia, kusononesha roho yako, kupata hasara ya bando zako kwenda bure kutokana na kupakua vitu viovu na kuvifuta tena na tena, kuwa chukizo mbele za Mungu.

Kweli Mungu huchukizwa na dhambi, sasa unapenda wewe akuchukie na kukuona wa ovyo ulie kubali kushindwa na mambo ya kidunia?.

Au hujui ya kuwa imeandikwa, "msiifate dunia wala vilivyomo ndani yake,mana dunia imejaa tamaa ya macho, tamaa ya mwili na kiburi cha uzima"

Tena imeandikwa ikimbieni zinaa, tena tumeambiwa tuvitunze viungo vyetu na tuvifanye viwe safi,na tuifanye miili yetu kuwa safi na tayari kwa kumtolea bwana.


Mungu huchukizwa na dhambi. muombe Mungu wa rehema akurehemu,akusamehe na uaachane na uovu huo usio na faida, kwa Mungu yote yawezekana maana yeye ndo muweza wa yote. Ubarikiwe katika kristu bwana
 
if cap fits, Amen.
Asante mkuu kwa ushauri na tayari nimeshaanza kufanyia kazi ushauri na miongozo mbalimbali niliyoipata hapa. Ninaamini na kwa msaada wa Mungu nitafanikiwa ktk hii safari ya mabadiliko.
 
Pole Sana..amua tu na utaacha
Kirahisi hivyo mkuu?

Huyu jamaa katoa ya moyoni na inavyoonekana siyo story ya kutunga anahitaji tiba sahihi kuhusu jambo hili linamtesa
 
Usemacho ni kweli mkuu lakini kwa hiki ambacho kinaendelea kwangu naona kina sifa zote za kuitwa addiction, kama ingekuwa labda ktika miezi 6 napiga kama mara mbili au tatu isingekuwa shida.
Hao unaowatumia elfu tano, hujawahi kuwaomba kukutana nao kuliko kutuma picha?
 
Back
Top Bottom