Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

punyeto ni starehe we unaifanya kama hobi chukua nzi weka kwenye mfuko wa nailoni funga kwenye dushe raha yake haijawai kutokea
Dah! Mkuu kweli kuna kale karaha ka dk5 lkn tamanio langu ni kupata raha ktk njia na mfumo rasmi na kuondokana na hisia ya hatia nayoisikia kila baada ya kupiga punyeto maana kila nikawaona wanaume wengine ingawa sijui maisha yao kiundani halafu nikitafikiria yote niyafanyayo sirini najiona nina mapungufu na sijakamilika.
 
Pole sana! Tayari umekuwa addicted, ni vema ukawaona watu wa SAIKOLOJIA watakusaidia kupambana na hali yako.
 
Huyo jamaa hafahamu atakuwa alikosea masharti ya upigaji nyeto mana nyeto ni starehe haijalishi umeoa au la! Pia nyeto haina madhara yoyote ni uvumi tu kama umezaliwa upo vizuri hata upige nyeto kila siku utakuwa poa na sio kweli kuwa utawahi kukojoa Mimi binafsi nikiwa nagegeda huwa nachukua dk 20 - 30 ndo nahitimisha round kiufupi sisi wanachama wakongwe Wa nyeto tunasema mwanachama mwenzetu asitupotoshe labda yeye anamsongo wa mawazo mana simnajua wakati tulio nao huu
 
BEHOLD, Amina Kaka, Asante sana Mkuu.

Statement yako ya mwisho imenigusa sana "tumia smartphone yako kukutoa uwanja wa fisi na kukupeleka uwanja wa sifa"
 
Hebu tuanzie hapa
1. Una demu?
2. If no why?
3. If yes ushawahi fanya mapenzi?
4. Unafanya mazoezi?
5. Ukiachana na nyeto nini unapendelea zaidi? Mpira, kazi?
 
Mkuu Kuacha Punyeto Kuna Hitaji Commitment Ya Hali Ya Juu Ya Kuhakikishia Unaamua Kuacha.

Kwa Takwimu Cha Chamani (CHAPUTA) Zinasema Ukiweza Kuacha Ndani Ya Miezi Miwili Basi Umeweza Ila Nakwambia Takribani More Than 4 Ukiweza Kustaimili Basi Tunakupa Saini Kuwa Si Member Wetu Tena Wa CHAPUTA.



1. Mkuu Tuanze Na Mazoezi Huku Ukiwa Serious
Hakikisha Tunaanza Kwa Kukimbia Kama Kuna Uwanja Karibu Basi Anza Hapo Kwa Round Hata 7 Maana Tayari Ni Muanga Wa Punyeto. Ile Hali Ya Uchovu Umalizapo Kupiga Selfie(Punyeto) Ndio Itakayo Onekana Wakati Unaanza Mazoezi Hakikisha Unalazimisha Akili Yako Kushindana Mawazo Na Yale Ya Kupiga Nyeto Wakati Unakimbia.
Sema Moyoni Haya Maneno Pale Unapoanza Kuchoka Ukiwa Mazoezini "Sitaki Tena Punyeto, Nakuwa Mzembe Kwa Sababu Ya Nyeto" Huku Ukiongeza Round Za Kukimbia.

Hakikisha Tunajitahidi Ku-maintain Speed Kama Ulianza Slow Basi Hakikisha Hahishuki Zaidi Ya Hapo.

Nakwambia Ukweli Boss Wangu Hakuna Kitu Kinachosha Kama Punyeto Halafu Uwe Mfanya Mazoezi. Maana Kama Ni Mpiga Nyeto Ukienda Tizi/Mazoezi Unaona Kabisa Pumzi Inawahi Kukata.

Boss Tumia Mazoezi Kama Silaha Yako Namba Moja Kuwa Uwe Na Consistency Ya Kuhakikishia Kama Leo Ulikimbia Round 7 Kesho Pambana Ukimbie 9 Hii Kichwani Mwako Useme Inatawekana Kama Usipopiga Nyeto.

Hakikisha Unakuwa Hukosi Mazoezini Usiupe Mwili Nafasi Ya Kurelax Sana Na Kujikuta Umeangukia Mikononi Mwa Nyeto.

Progress Utayoona Mwanzo Kabisa Hata Week Hahitoisha Ni Mkunyenge/Machine Kuanza Kuwa Ngumu Maana Madhara Mengine Ya Nyeto Ni Kulegea Kwa Mkunyenge.

Hapa Ni Kwa Uchache Nimetumia Kukimbia Kama Pia Wewe Ni Mpenzi Wa Mpira Rudi Kwa Pitch Uanze Kazi Ila Usisahau Kukimbia Ndio Silaha Yetu Namba 1 Tukiwa Tunaanza Na Hii Tiba.
 
Solution ni moja tafuta manzi baaaaasss!!!
Afu unaposema umeangalia kila kitu hafi ukachoka vya kuangalia uache uongo chief mpaka sasa umeangalia cartegory ngapi?
 
AsajizzleDaGreat, Asante sana mkuu kwa ushauri huu na nitaufanyia kazi maana nimedhamiria kubadilika. Na juu ya jukwa la MMU kweli kabisa mkuu, kuna mada kule huanzishwa akili yangu huama kabisa unakuta mtu kaanzisha mada "leo na hamu ya kugegedwa" basi hapo kama niko home kitakachofatia baada ya kusoma na kuimagine then ni kwenye porn
 
Pole ndugu yangu, tatizo hayo mambo huleta roho chafu zinakuvaa na kutake control of ur life ndo mana huwa ngumu kuacha.

Cha kukushauri tu kama wewe ni Mkristo hebu omba tena omba hasa, anza na toba. Uzinzi wa aina yoyote ile unamuaibisha Mungu kumbuka mwili ni hekalu la Bwana, sasa dhambi hii huwa inampa shetani kibali cha kuku control kupitia huo mlango ulimuachia wazi, Mpaka utakapoufunga huo mlango ndipo shetani ataacha kukutesa.

Na Mungu ni wa Rehema ndo mana hata anakupa Neema ya kutambua kwamba unakosea na unataka kutubu ili uache kabisa huo uovu. Kumbuka tukitubu kwa moyo wa kumaanisha yeye hutusafisha kabisa na kututenga mbali na dhambi ''kama mashariki ilivyo mbali na magharibi hivyo ndivyo ataweka dhambi zetu mbali nasi''.

Mwambie Mungu nakuja mbele zako naomba toba na msamaha kwa kukuabisha pale nilipozini kinyume na mpango wako, Mungu nakiri kuwa nimekutenda dhambi naomba Unisamehe, unioshe kabisa uovu wangu, unitakase dhambi zangu, mana nimejua mimi makosa yangu na dhambi yangu i mbele yangu daima, unifutie hatia zangu zote,

Bwana neno lako likae ndani yangu nisije kukutenda dhambi, Yesu wewe hukuja kuwaita wenye haki bali wenye dhambi kama mimi, katika jina la Yesu navunja connection zote za kiroho kati yangu na masturbation, navunja mamlaka niliyompa shetani pale nilipotoa mwili wangu kwake, Navunja soul tie zooote na nguvu zote za giza zilizoingia kwangu kupitia masturbation, naweka msalaba wa Yesu kati yangu na kitendo hiki na naagiza nafsi, roho na mwili kusahau kabisa, najiwekea ukuta wa damu ya Yesu. Asante Yesu kwa kunisamehe, kunikomboa na kunisafisha. Amen

Hii iwe sala yako usiku na mchana, na ukumbuke kufanya mazoezi au kujiweka busy ili usipate nafasi ya kuyawaza mambo yatakayofanya mwili upate udhaifu wa kuwaza ngono.
 
Boss Pole sana kwa tatizo, pia Hongera kwa Uandishi mzuri. Inaonekana wewe ni Mahiri kuandika na Kupiga Nyeto pia. Hongera/ Pole

Mm nikushauri kitu, inaonekana huna mwanamke, na mwili wako hauwezi kuhimili matamanio yako. Sasa Fanya hivi, Tafuta mwanamke. Acha kuangalia Porno kabisa
 
Asante sana mkuu kwa ushauri huu na nitaufanyia kazi maana nimedhamiria kubadilika. Na juu ya jukwa la MMU kweli kabisa mkuu, kuna mada kule huanzishwa akili yangu huama kabisa unakuta mtu kaanzisha mada "leo na hamu ya kugegedwa" basi hapo kama niko home kitakachofatia baada ya kusoma na kuimagine then ni kwenye porn
U see now?
Ukilitambua hilo inaweza kuwa moja ya approach nzur kuacha kutembelea huko.
Unajua ni kwann?
Ni kwasababu kila unachokutana nacho ww unakua unakitafsir kwa reference ya porn video ambazo una stock ya kutosha kwenye ufaham wako.
So kuacha kuangalia porn ni hatua moja ya muhim sana.
Kuepuka kukaa kaa alone alone ukiwa hasa home ni moja ya hatua nyingine ya muhim hasa kama huna kaz ya maana ya kufanya.Kutumia simu au laptop/internet ukiwa alone ni kitu cha kuepuka hasa kama huna kitu cha msingi cha kufanya.Romantic movies pia sio nzuri.
 
Tafuta mademu wakuto....a frequently utaacha nyeto automatical
 
Kinachokutesa sio punyeto, bali ni hisia zako za kujiona u mdhaifu.
Uzinzi ndio mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii pia.Guilty umejipa ww mwenyewe.
Ili uache cha kwanza ni kujiondoa kwenye hiyo hatia.
Kiuhalisia, karibu 90% ya wanaume wote duniani master B addicted.
Hadi matajiri na watu maarufu hupiga nyeto.
Hata watakaokupa ushauri humu jinsi ya kuacha ni addicted wakubwa
 
mrsleo, Asante sana kwa ushauri huu na sala hii na pamoja na mambo mengine sitaacha kusali kama ulivyonishauri naamini Kristo ataniweka huru na siku moja nitarudi hapa kushuhudia uhuru huo. Asante sana Mkuu.
 
Kinachokutesa sio punyeto, bali ni hisia zako za kujiona u mdhaifu.
Uzinzi ndio mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii pia.Guilty umejipa ww mwenyewe.
Ili uache cha kwanza ni kujiondoa kwenye hiyo hatia.
Kiuhalisia, karibu 90% ya wanaume wote duniani master B addicted.
Hadi matajiri na watu maarufu hupiga nyeto.
Hata watakaokupa ushauri humu jinsi ya kuacha ni addicted wakubwa
Nashukuru kwa ushauri ndugu yangu. Naamini kwa mawazo na ushauri naoupata hapa utanisaidia kushinda ktk mambo mengi tu ukiacha porn, punyeto, uzinzi na hata hilo la kujiona na hatia na udhaifu.
 
Dah! Mkuu kweli kuna kale karaha ka dk5 lkn tamanio langu ni kupata raha ktk njia na mfumo rasmi na kuondokana na hisia ya hatia nayoisikia kila baada ya kupiga punyeto maana kila nikawaona wanaume wengine ingawa sijui maisha yao kiundani halafu nikitafikiria yote niyafanyayo sirini najiona nina mapungufu na sijakamilika.
Asilimia kubwa tunapiga punyeto ila tunaifanya Kama starehe kwa wiki mara 1 sio mbaya usifanye kama mbadala wa mpenzi
 
Back
Top Bottom