Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuu nitakucheckPole kwa hilo tatizo mkuu. Nitakusaidia uache hiyo kitu, ni rahisi sana kuacha brother. Kuna vitu vichache sana nikikuelekeza na ukifanyia kazi utaacha kabisa.
Wengi wanapata taabu kwenye hiyo issue kwa ajiri ya kuwa na oicha kamili ya identity yao... Pole sana brother.
Uje PM kama upo serious
Uje PM kama upo serious kuacha.
Nimekucheck pm lakini naambiwa siwezi kukutumia ujumbeDirisha la Jirani Usiogope wala usichanganyikiwe.. hiyo changamoto ni ndogo sana brother. Tofauti na watu wana vyo ikuza na kuifanya ionekane ni ngumu kuishinda, huo ni uongo kabisa. Unaweza iacha ndani ya siku moja na usirudiw tena
Ndio maana mkuu napambana kubadilika.soon unafikisha miaka 40 na bado huja oaaaa ...... unaonekana wewe mwoga wa kutongoza HATA BEKI 3!!
Mkuu, hili ni ombi langu kwa Mungu kila siku anibadilishe, ndio najitafuta nakosea wapi mbona sipati matokeo.Dawa iliyopo ni kutubu na kusali haswaa
Lazima utaacha
Mwanamke ninaye sasa kinachotokea ni kuwa kuna siku naweza kufanya naye mapenzi nikaenda hata dk 30 bila kukojoa kabisa na yy akawa amekojoa mara kadhaa mm mkavu kabisa, siku nyingine hata dk 2 haziishi nakojoa faster. Baada ya hapo hata kesho yake mawazo ya porn na punyeto yanarudi tenaKwenye story yako yote sijaona sehemu ya mahusiano... je una demu au mke??
Kama unae je hata ukitoka kula mgegedo bado unawaza porn na punyeto??