hahahahahaha sema wewe uliogopa tu, lile ni wenge pia ulikula maharage mabaya siku hiyohahaha siku moja nikiwa advance usiku nilibanwa sana na genye nikapiga ponyeto usiku huo, nilivomaliza tu tumbo likaanza kuniuma balaa baada ya masaa kadhaa nikaanza kuhara usiku ule niliharisha kama mtu mwenye HIV, yaani ilikuwa mharo na mimi, mimi na mharo... hii hali ilienda kama siku2 hivi then ikakataka.... ikawa mwanzo na mwisho kupiga punyeto
ukiamua utaweza kuanza maisha mapya
Nimeikopi hii! Barikiwa sana mkuu!Kila ukijihisi unataka kufanya jiulize haya maswali;
1) What for?
2) Kama sio leo nitaacha lini?
Halafu jiambie; Mimi sio dhaifu kiasi hiki.
Kwangu imenisaidia, nilikua muhanga ila nikaacha. Kila la heri mkuu.
Pamoja sana mkuu.Nimeikopi hii! Barikiwa sana mkuu!
Mkuu anza kufanya mazoez kila siku mda unaokuwa free hlo waz ulipotezee ukiskia tu mzuka wa kujichua piga tizi push up, jogging, kuruka kamba... Ukiona uzalendo umekushinda kanunue mraka town au tongoza mtaani upate kidada
Dirisha la Jirani Usiogope wala usichanganyikiwe.. hiyo changamoto ni ndogo sana brother. Tofauti na watu wana vyo ikuza na kuifanya ionekane ni ngumu kuishinda, huo ni uongo kabisa. Unaweza iacha ndani ya siku moja na usirudiw tena
hahaha siku moja nikiwa advance usiku nilibanwa sana na genye nikapiga ponyeto usiku huo, nilivomaliza tu tumbo likaanza kuniuma balaa baada ya masaa kadhaa nikaanza kuhara usiku ule niliharisha kama mtu mwenye HIV, yaani ilikuwa mharo na mimi, mimi na mharo... hii hali ilienda kama siku2 hivi then ikakataka.... ikawa mwanzo na mwisho kupiga punyeto
ukiamua utaweza kuanza maisha mapya
Achana naye hawezi kukusaidia huyo amefungiwa sababu ya utapeliNimekucheck pm lakini naambiwa siwezi kukutumia ujumbe
Aisee miaka 16 umenyetukaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2955][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mimi niliacha kwa muujiza tu. Sasa hivi nina Mwaka na mwezi wa tisa sijawahi! Ila tangu 2002 mpaka mwaka jana 2018 ilikuwa ni given . sasa hivi nina uwezo wa kuangalia XXXvideos na nisipige puli
Wewe sio mabaharia walizibua tope kweli? Kuhara ni dalili ya choo kutibuliwahahaha siku moja nikiwa advance usiku nilibanwa sana na genye nikapiga ponyeto usiku huo, nilivomaliza tu tumbo likaanza kuniuma balaa baada ya masaa kadhaa nikaanza kuhara usiku ule niliharisha kama mtu mwenye HIV, yaani ilikuwa mharo na mimi, mimi na mharo... hii hali ilienda kama siku2 hivi then ikakataka.... ikawa mwanzo na mwisho kupiga punyeto
ukiamua utaweza kuanza maisha mapya
Mimi niliacha kwa muujiza tu. Sasa hivi nina Mwaka na mwezi wa tisa sijawahi! Ila tangu 2002 mpaka mwaka jana 2018 ilikuwa ni given . sasa hivi nina uwezo wa kuangalia XXXvideos na nisipige puli
Weka hapa pm ajekufanya nini unataka kumuibia pesa yake wewePole kwa hilo tatizo mkuu. Nitakusaidia uache hiyo kitu, ni rahisi sana kuacha brother. Kuna vitu vichache sana nikikuelekeza na ukifanyia kazi utaacha kabisa.
Wengi wanapata taabu kwenye hiyo issue kwa ajiri ya kuwa na oicha kamili ya identity yao... Pole sana brother.
Uje PM kama upo serious
Uje PM kama upo serious kuacha.
Weka hapa pm ajekufanya nini unataka kumuibia pesa yake wewe
Nimecheka mpaka machozi watu mna utani sana yani umtandike bakora aise hiiiiiiiiii hiiiiiiii hoooooooo duhuuuuuuUnasema umeombewa ila tatizo halijaisha basi habari njema inakufikia siku ya leo, wiki iliyopita nikiwa natembea nyikani nikasikia sauti ikisema, "Jipu tazama mbele yako kuna nini?" Nikajibu fimbo, sauti ikasema, "iokote fimbo iyo, nawe utaenda nayo popote ukihubiri neno langu, na kwa fimbo hii wote utakao wachapa viboko kwa fimbo hii watapata wokovu."
Leo ni siku ya sita watu wanapata wokovu, nimechapa viboko vya upako wezi, majambazi, walevi, wazinzi, wagonjwa na wote wamepata uponyaji. Nakusihi njoo na wewe nikutandike viboko vitano vya upako tatizo lako litaisha.
Waliotoa comment wengi wao humu ni wapiga nyeto.sema jamaa ameamua tu kujiweka hadharani.ila wengi wenu mna tatizo kama la huyo jamaa hapo.[emoji2222][emoji2222][emoji2222]