coco bella
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 305
- 315
Katibu mwenezi hahaaaaaa umeniua mbavuWeek na nusu sasa ..
Katibu muenezi wa chaputa nimetimiza..
Nataka kujipa likizo ya mwezi au miezi miwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katibu mwenezi hahaaaaaa umeniua mbavuWeek na nusu sasa ..
Katibu muenezi wa chaputa nimetimiza..
Nataka kujipa likizo ya mwezi au miezi miwili
Hizi tafiti sijui zinafanyika wapi na kwa watu gani!!
Mbaya zaidi unakuwa sio rafiki wa MUNGU..HUWEZI KUWA MCHA MUNGU NA HUKU UNAPIGA PUNYETO
Kiongozi wa kile chama chetu pendwa aje mara moja alitolee tamko hili bandiko na nia yake kwa wanachama... Popote ulipo kiongozi kauli yako inahitajika
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kutisha watu. Nimepiga punyeto kwa miaka 10+ na sasa nimeoa na kugegeda vizuri tu...
Alaaaaaa kumbeee
[emoji23][emoji23][emoji23]umetishaMbaya zaidi unakuwa sio rafiki wa MUNGU..HUWEZI KUWA MCHA MUNGU NA HUKU UNAPIGA PUNYETO
Kwani wewe umeshasikia mtu kafa kwa kupiga nyeto mkuu?
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Dah unajua nyie wanachama wa CHAPUTA ni wabishi sana ktk hili hasa mkiambiwa kuna madhara yake bas huwa mnatafuta sababu tu hata za ovyo ovyo ili kuupindisha ukweli mkuu[emoji16] ila kwa thread km hii lazima mbadilike bhana msituletee watoto goi goi bureee hapo bdae