Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Mimi ni shuhuda wa hili,nilipata tatizo la mood oscillation a.k.a depression kutokana na kujichua kwa muda mrefu nikiwa skuli.Haikuthibitishwa na daktari bali mimi mwenyewe nilifanya self diagnosis.

Uwezo wangu wa kukumbuka umepungua sana kiasi kwamba nilisahau hata Password ya akaunti yangu ya JF.
Yaani namlaumu bro wa A-level aliyenifundisha hii tabia kipindi nipo kidato cha 1
Sent using Jamii Forums mobile appq0

Dahh pole sana mkuu ila km umeacha bas itakua vema pia jarib kutumia matunda ya kurudisha kumbukumbu itakusaidia sana
 
Dahh pole sana mkuu ila km umeacha bas itakua vema pia jarib kutumia matunda ya kurudisha kumbukumbu itakusaidia sana
Mfano matunda yapi mkuu,nimejaribu sana kufanya mambo ya meditation lakini wapi,ni kama ubongo umeweka cloud fulani.Asikudanganye mtu kuwa Masturbation has no harm,acha kabisa.

Mbali na kushawishiwa na bro huyo wa A-level,pia kuna jarida moja lilijulikana kwa jina la FEMINA HIP nililisoma na kuona wameandika PUNYETO HAINA MADHARA kumbe uongo mtupu,lilinifanya niendelee na hii tabia for almost 7+ years mpaka nilipokuja gundua athari zake.I sometimes started feeling suicidal and homicidal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano matunda yapi mkuu,nimejaribu sana kufanya mambo ya meditation lakini wapi,ni kama ubongo umeweka cloud fulani.Asikudanganye mtu kuwa Masturbation has no harm,acha kabisa...
Miongoni mwa mboga zenye kiasi kikubwa cha virutubisho vinavyoongeza kumbukumbu ni pamoja na kabichi na maua ya maboga. Zingine ni mboga za kijani kama vile mchicha, majani ya maboga, nk.

Kwa upande wa matunda, aina zote za ‘beri’, zabibu za rangi ya papo (Purple Grapes), tufaha nyekundu (Red Apples) na matunda yanayojulikana kama vitunguu vyekundu (Red Onions).

Halikadhalika vyakula vyenye kiwango kikubwa cha Folic Acid, husaidia sana katika kuongeza kumbukumbu. Mfano wa vyakula hivyo ni pamoja na nafaka zisizo kobolewa, maharagwe meusi, brokoli, ngano, machungwa, n.k.

Cheusi_Dawa[emoji276]
 
Dah yaan nimeona had kwenye bible tu inasema na alaamiwe mpiga nyeto[emoji16][emoji16]ila wazee wa chaputa ukiwaambia hiv hawakuelew kabisaaa
ntajie ni kitabu gani na mstari......hii ni changamoto
 
ntajie ni kitabu gani na mstari......hii ni changamoto

Soma hapa na uchanganue km ww ni mkristo...

Wakolosai 3:5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;

Cheusi_Dawa[emoji276]
 
Dah unajua nyie wanachama wa CHAPUTA ni wabishi sana ktk hili hasa mkiambiwa kuna madhara yake bas huwa mnatafuta sababu tu hata za ovyo ovyo ili kuupindisha ukweli mkuu[emoji16] ila kwa thread km hii lazima mbadilike bhana msituletee watoto goi goi bureee hapo bdae
Mkuu watu kama nyie nimewachapia sana madem wenu..
Nyie mnaojifanya mnatoa ushauri.

Kuna jamaa mmoja alikua hivyo hivyo kwenye group moja la whatsapp kila siku yeye ni ushauri tu.
Sasa mzee nikamtokea manzi wake akaingia kingi..
Mpaka leo huyo manzi hajarudi kwa jamaa na ushauri wake..

...swala la nguvu za kiume ni tatizo binafsi na halihusiani na CHAPUTA..


MWENYEKITI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
carcinoma,

Mwenyekiti naona umekuja na nguvu ya hatari aseeee[emoji16][emoji16] dem wang anaanzaje kuwa na kivulana mkuu anatosheka na dume la mbegu bhanaaa ulimuotea huyoo zoba alaf ukute ulipata kopo mwenzako ni km ulimpungzia mzigo[emoji196][emoji196]


__Cheusi_Dawa__[emoji276]
 
Soma hapa na uchanganue km ww ni mkristo...

Wakolosai 3:5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;
__Cheusi_Dawa__[emoji276]
Ila sijaona neno "PUNYETO " mzee baba........ukinionyesha ntakuelewa.....
 
Serious punyeto inaleta mikosi uamini usiamini, kama hujapata kazi utapata taabu, kama una kazi pesa zako zitaishia kusikojulikana na kama mfanya biashara zitayumba mpaka ushangae, au mtu anakuwa mlevi maendeleo ndiyo basi.

Kila unalofanya linaenda kwashida au haliendi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mbona kama unayasoma maisha yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah! Haya mambo ni ya kiroho zaidi ila amua na ufanye maamuzi magumu ingawa siyo rahisi ila ukihusianisha na maisha ya kipuuzi unayoishi utaacha, nakwambia maana nimepitia huku ila sasa nimeamua kusema kweli sirudii upuuzi huu, shetani atakutumikisha mpaka ushangae.

Alafu unapatwa na regression sana, utajitaa na kukata tamaa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mnapenda sana kumtushia mafurushi ya makosa yenu shetani, punyeto upige wewe then uje kusema shetani anakutumikisha kweli


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kujichua kunasababisha mtu uwe na KIBAMIA...hiyo ni ukweli kabisa

Sent usingJamii Forums mobile app
 
Na haka kabaridi baridi Cha mvua Hali ya hewa inaruhusu kuji selfie bao 3-5.chaputa wameelewa.bao ngapi huko mpaka Sasa hivi?
 
Fanya mazoezi kuepusha vishawishi. Mbinu tunayoitumia masinia bachela hadi wakati wa kikunio ufike.

Kasie.
 
Back
Top Bottom