Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Fanya mazoezi kuepusha vishawishi. Mbinu tunayoitumia masinia bachela hadi wakati wa kikunio ufike.

Kasie.
Ni kweli lakini tatizo simu zetu ukigusa neno TU mipono inakuja fasta kukunyegesha
 
Leo ni mwendo huu[emoji116][emoji116][emoji116]Money talks
images.jpeg



ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
 
Hello! Bila shaka hamjambo wana jamvi!

Je wewe ni mhanga wa kujichua ? Je umepoteza mvuto na hisia dhidi ya jinsia nyingine? Je umepoteza nguvu za kiume sababu ya kujichua ? Unahitaji msaada wa kuacha? Karibu upone! Hatutumii dawa, tunatumia ushauri nasaha kisaikolojia.

Kwa muathirika wa punyeto au kujichua (masturbation) anajuwa adha anayopata, hivo sitazungumzia sana jinsi gani na kwa kiwango gani mwathirika wa jambo hili alivyo halibika katika nguvu za kiume na kisaikolojia yake!

Umewahi kufanya hivi ukafanikiwa au ni 0?

Umewahi kuwaza kwamba unataka kuacha ? Lakini unadhani huwezi ? Umejitahidi kufikiria umeshindwa ? Umegundua kuacha inawezekana na inaweza kuongeza uwezo wako wa nguvu za kiume, umeacha baadae ukarudia ? Hujafanikiwa ?

Je umewahi kufanya hivi au ni 0?

Anza mpango sasa, weka malengo punguza speed, punguza muda wa kukaa karibu na vishawishi, kumbuka unaharibu akili na uwezo wa nguvu zako za kiume au za kike. Umeelewa ? Unajimaliza. Unajitesa. Ni dhambi pia. Umeshindwa ?

Hivi je ? au ni 0?

Punguza muda wa kukaa kitandani muda usiofaa kuwepo hapo. Tumia kitu kupumzika kaa pamoja na watu ukiona uko pakee yako. Jichanganye na watu salama.

Bado umekwama ?

Ukiona hali ya mihemko ya kihisia inakunyemelea chukua maji ya baridi oga maji mengi kadri uwezavyo. Hii haipunguzi tu mchecheto wa kihisia bali ina faida nyinginezo hasa kuweka akili yako kuwaza upya.

Umejaribu na hii au bado 0?

Ukihisi mihemko pia unaweza kutoka na kufanya mazoezi mepesi kama kukimbia, kuruka kamba kucheza mpira, na michezo mingine. Hii hufanya mwili na akili kuwa imara hata kusaidia kufanya maamuzi sahihi!

Umefanikiwa ? Au bado 0?

Kama unatumia muda wa kuoga ili kujichua ebu fanya hivi ! Hakikisha una set muda wa kuoga ulio mfinyu zaidi yaani kama kawaida unatumia dkk 7 kuoga tenga dkk 3 uwe umemaliza kuoga na kutoka bafuni haraka sana kumbuka usioge maji ya moto au uvuguvugu.

Hujafanikiwa ? Ebu fanya hivi !!!

Ikiwa wengi wao wanapenda kujichua nyakati za usk wamelala Fanya mazoezi kila siku jioni, hii itakufanya ulale mchovu. Hii itakufanya kipaumbele chako kiwe kulala badala ya kuwaza punyeto.

Pengine bado unahangaika sana !! Fanya hivi

Jaribu kufunga kula (fasting.) Kitendo cha kufunga kula na kunywa kwa masaa kadhaa kwa siku hufanya akili ipoteze nguvu ya kuwazia mambo unayoamini sio mhimu kwako pia huleta uchovu fulani. Pia kufunga kunakuwa kama maombi dhidi ya kujutia aina hiyo ya dhambi au uovu.

Pengine hiii nayo hujafanikiwa nayo?

Ikiwa mawazo ya kujichua yanakuja akilini haraka jaribu kuwaza kufanya au kuona vitu mbadala unavyopenda hasa mfano labda unapenda michezo,movie au kukaa na wenzio kupiga story.

Bado ?

Sasa ni rahisi zaidi kuacha kwa wale walio na wapenzi. It's unaweza kumshirikisha mpenzi wako tatizo lako akusaidie unapohitaji kujihudumia. Kuwa karibu na mpenzi wako itakufanya akili yako kuthamini jinsia tofauti na yako na kuona umhimu wa yeye kuliko kiganja na sabuni.

Inawezekana umefanya yote lakini bado?

Acha kabisa kuangalia picha, video, michezo na tamthilia zenye kuonyesha maungo na utupu wa watu. Moja ya sababu kubwa inayopelekea zaidi mihemko na kuamusha hisia za watu zilizo lala za ngono ni kuangalia picha na video za namna hiyo.

Hellow! Yawezekana una pata shida sana kukabiliana na hali hiyo huwenda umeshakuwa uraibu. Chukua hatua kwa wataalam kwa msaada zaidi bado hujachelewa.

Ahsante !
 
Ni madhara yapi ya kujichua yaliyothibitishwa kisayansi?
Scientifically haijawa proved kwamba kuna madhara, japo yapo miongoni mwa watu.

But nitasemea kisaikolojia, zaidi ina sababisha Sexual disfunction hii athari huanzia akilini na akili huathiri mfumo wa hisia na kuzigeuza kwenye system nyingine ambapo matatizo mengi yanayowapata watu cause root yake ni hiyo sababu tajwa.
 
Scientifically haijawa proved kwamba kuna madhara, japo yapo miongoni mwa watu.

But nitasemea kisaikolojia, zaidi ina sababisha Sexual disfunction hii athari huanzia akilini na akili huathiri mfumo wa hisia na kuzigeuza kwenye system nyingine ambapo matatizo mengi yanayowapata watu cause root yake ni hiyo sababu tajwa.
Sidhani kama ina madhara
 
Je mnaweza kumsaidia mtu alieathirika na Punyeto (Selfie) kwa zaidi ya miaka 22 kuweza kuacha?!!
 
Ingekuwa na madhara kama tunavyoaminishwa ingekua hatari sana
 
Hata kama inaharibu nguvu za kiume sasa nizitunze za nini. Ili nisifiwe na mademu kitandani sifa za mafichoni hizo zitanisaidia nini? Kwani wasiponisifia nitadhurika nini.
 
napanda kuandaa shindano la chaputa mshindi ni yule anayenza kufikia mshindo
 
  • Difficulty in performing real sexual intercourse because of a weak erection
  • Premature ejaculation
  • Semen leakage
 
Scientifically haijawa proved kwamba kuna madhara, japo yapo miongoni mwa watu.

But nitasemea kisaikolojia, zaidi ina sababisha Sexual disfunction hii athari huanzia akilini na akili huathiri mfumo wa hisia na kuzigeuza kwenye system nyingine ambapo matatizo mengi yanayowapata watu cause root yake ni hiyo sababu tajwa.
Kukaa muda mrefu Bila ejaculation kuna madhara pia.. una ushauri gani kwa ME single, afanyeje kama mbadala wa punyeto??
 
Back
Top Bottom