Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

..... Umesahau sisi viongozi wa dini huwa hatuangalii na ndiyo maana style zetu ni zile zile za kukunjana
Tana nyie watumishi ndio mtakuwa mkaa kabisa...hivi unaanzaje kucheki porn then baadae unaenda mashabahuni kuhubiri.. seriously
 
[emoji1][emoji1][emoji1]ndomana umejiita dirisha la jirani , haha ila umeniua sana mkuu , kila mtu ni mchafu mzee , siku itokee kila mtu matatizo yake na uovu wake uwekwe kila mtu aone , utakumbilia tu matatizo yako maana ya wengine ni baalaaa zaidi , nyeto unaweza acha ukiepuka kuwa idle , try to make yourself busy ukiwa umekaa bure tu , ukiona upo mwenyewe geto we toka nje katembee hata , usiku we kunywa maji na kusali weka simu pembeni maana hiyo ndo inasababisha ugonge nyeto
 
mkuu uwe na demu anayoweza kukupa mzigo muda wowote mpaka ukifiwe papuchi.huwezi waza mambo ya porno wala nyeto bali utajuta muda na nguvu uliyopoteza hapo mbeleni.
 
Mbunge Zouheir Makhlouf wa Tunisia amefikishwa mahakamani akidaiwa kupiga punyeto mbele ya shule.

Kiongozi huyo aliyechaguliwa Oktoba 6 ameshtakiwa kwa unyanyasaji wa kingono, na ukiukaji wa maadili.

Mbunge huyo amesema alikuwa hapigi punyeto bali alikuwa anakojoa kwa sababu ana ugonjwa wa kisukari unaomfanya awe anakojoa mara kwa mara.

=======

Zouheir-Makhlouf-730x414.jpg

Mbunge Zouheir Makhlouf wa Tunisia amefikishwa mahakamani akidaiwa kupiga punyeto mbele ya shule.

Kiongozi huyo aliyechaguliwa Oktoba 6 ameshtakiwa kwa unyanyasaji wa kingono, na ukiukaji wa maadili.

Mbunge huyo amesema alikuwa hapigi punyeto bali alikuwa anakojoa kwa sababu ana ugonjwa wa kisukari unaomfanya awe anakojoa mara kwa mara.

Zouheir Makhlouf ni mwanachama wa Qalb Tounes ambacho kiongozi wake alishindwa katika Uchaguzi Mkuu wa urais, anawakilisha jimbo la mji wa pwani wa Nabeul.

Video hiyo iliyosamabazwa kataika mitandao mbalimbali ya kijamii iliwasababisha wanawake kutoa shuhuda za unyanyasaji wa kijinsia kupitia ‘hastag’ ya Ena-Zeda yenye maana 'Me Too' katika lugha ya Kitunisia.

Chanzo: K24 TV
 
Maelezo hayajitishelezi ! Kwani Tunisia kukojoa ni jambo la ajabu mapaka lifananishwe na punyeto ?

Je alipiga mbele ya wanafunzi au mbele ya shule ?
 
Back
Top Bottom