instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Sawa.Skiza mdogo, yaani we bado mdogo sana, na bado upo kwenye kipindi cha baleghe, utakapofika kwenye 30 huko. Hizo lugha si nzuri kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Skiza mdogo, yaani we bado mdogo sana, na bado upo kwenye kipindi cha baleghe, utakapofika kwenye 30 huko. Hizo lugha si nzuri kwako.
[emoji120][emoji120][emoji120]Sawa.
Dawa sahihi na iliyo bora huwa ni kuachaThere is a man affected with masturbations for a long time about 6yrs both physically and mentally
How can he totally get recovered
Ulifanyaje??Mmh nilifanikishwa acha hiyo kitu sitarudia tena ingawa bado sina mpenzi
Asanteh sana nitajitaidi kabisa kukaa mbali na hivyo vitu japo mimi sio mpz wa kuangalia picha za ngonoHuwezi acha Chaputa kaa hujakua na nia ya dhati kutoka moyoni.
Ila mbona inaachika tu
1-amua kwa dhati
2-jitenge na mazingira yanayokupelea kupiga puchu
3-acha kuangalia pilau au picha za kutamanisha
4- unaweza tafuta ushauri wa kisaikolojia pia.
Kila la kheri
Yaan naichukia sana hasa ninapo maliza kufanya ila nikikaa siku tatu nne najikuta tayar hamu inanishika kwa kiasi kikubwa sana hata kama nipo barabaran mashine inasimama mpaka nifanye ndio akili ukaa sawaPunyeto ni ngumu sana kuacha ila kama unaamua kwa dhati kuiacha hakikisha unamshirikisha Mungu kwanza cha pili ichukie , namaanisha ichukie haswa yan kutoka moyoni vingnevo n ngumu sana kuacha
Hahaha ebu niambie je mpaka sasa unampigia nyeto na kama umeacha umetumia mbinu ganiMimi kuna dem nilimpigia nyeto toka dalasa/darasa la kwanza mpaka form 4 hata siku hizi bado huyo demu ananifata fata kwenye hisia sura yake niliitengeneza kwenye hisia zangu
Kila la kheri.Asanteh sana nitajitaidi kabisa kukaa mbali na hivyo vitu japo mimi sio mpz wa kuangalia picha za ngono