Upigaji, utapeli, uliojifichika kwenye kofia ya Kampuni Binafsi za Ulinzi

=WALINZI KAMPUN BINAFSI
=WAFANYAKAZ VIWANDANI

Aise Hawa watu wanaishi kama wakimbizi kwenye nchi yao, na serikal ipo kimya
Ni kweli kabisa, utumwa bado upo hapa nchini kwetu na makundi haya mawili ni watumwa ktk nchi yao wenyewe
 
Taasisi yoyote nchini ina vimelea vya wizi na upigaji.

Ila ukiona taasisi yoyote imehusisha wizara ya mambo ya ndani,kama unaweza ikimbie kabisa,huko kuna watu ni matapeli na serikali haijawahi kujua nini cha kuwafanya.

Taasisi zote za ulinzi ni za wastaafu wa ngazi za juu polisi,wachache sana jeshini,utapeli kwao ni jambo lili damuni,hawajui dhambi wala hawana huruma.
 
Kampuni za Ulinzi ni Tatu tu...Hizo nyingine zote ni wajasiriamali wa mambo ya Ulinzi na utapeli tu.
 
Maslahi sio kwa walinzi tu bali ni kwa kada zote za ajira yena hali mbaya kwenye ajira za sekta binafsi wanatumia mwanya wa ukosefu wa ajira kutesa wenye ajira
 
Kuna kampuni X hao hata likizo mlinzi hapati wanalazimisha kuuza likizo zao.Mshahara unaingia tarehe 10 Walinzi wanatishia kulalamika tu hamna wa kuwasaidia. Hizo kampuni za ulinzi za wazawa zina shida sana Bora kidogo hizi wa watu wa nj'e
 
Bear it in your mind. Let it sink deeply into core of your being at every part of your body,fiber, DNA, hair,nails,ears,eyes,toes,fingers etc as long they're part of you who are.

THIS IS WORLD OF ONE DOG EATS ANOTHER DOG WETHER YOU LIKE/ACCEPT OR NOT LOOK FROM RELIGION, POLITICAL , GOOD SAMARITAN, PHARMACISTS ETC ARE EATING YOU.
IT'S UP TO YOU WAKE UP AND SEE BY BRAIN EYES TO SEE WHERE/HOW ARE EATING AND ESCAPE BEING GAZELLE AND BECOME CHEETAH. IT'S HARD TO SHIFT FROM PREY TO PREDATOR GROUP IT'S POSSIBLE BUT IT'S HARD BOTH MENTALLY, EMOTIONALLY, SPIRITUALLY AND PHYSICALLY.

NONE LOVE/LIKE YOU , NOTHING IS FREE EVEN THESE SOCIAL MEDIA IS EATING YOU BUT YOU DON'T KNOW HOW THEY'RE EATING YOU. SOMEONE IS MAKING MONEY AS LONG YOU'RE SCROLLING ON REEL,TIKTKOT,JF, ETC.
IF YOU DON'T PAY FOR THEM THEN THEY'RE PAYING TO GET YOU.
 
Kuna kampuni X hao hata likizo mlinzi hapati wanalazimisha kuuza likizo zao.Mshahara unaingia tarehe 10 Walinzi wanatishia kulalamika tu hamna wa kuwasaidia. Hizo kampuni za ulinzi za wazawa zina shida sana Bora kidogo hizi wa watu wa nj'e
umeambiwa kampuni za ulinzi zipo 3 tuu hao wengine wote ni wapigajii..!
 
Nashangaa Sana Kuna tapeli moja sugu mjini hapa eti nalo Lina kampuni ya Ulinzi haya ni maajabu ya dunia
 
kuna ile akili yakawaida tuu binadamu timamu inatakiwa uwe nayo.haihitaji kufundishwa.

ukishaona mtu miezi miwlili hakulipi mshahara wako huyo mkimbie tafuta sehemu nyingine siohadi uambiwe
 
Katiba mpya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…