Upimaji wa utendaji kazi kwa kutumia OPRAS hauna tija!

Dah!...
 
Opras haiwezi kuwa na tija hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kutoa fedha kwa mujibu wa mipango na bajeti.
 
Opras haiwezi kuwa na tija hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kutoa fedha kwa mujibu wa mipango na bajeti.
Na vile vile kuwapa haki zao wafanyakazi ili na wao wawe watumishi.

Sasa hivi serikali inatumia vitisho, Kwasababu inajua kabisa kiuhalisia matokeo waayotaka hayaendani na uwekezaji wao.
 
Waombe radhi walimu na ma Dr tafadhali, hata hao wanaofanyiwa interview Wana tofauti Gani na uliowataja?

Binafsi naona ma Dr ni group lenye watu wenye uwezo mkubwa sana kiakili japo vipato vyao ni vidogo.
 
Jana nimeona kwenye taarifa ya habari OPRAS imefutwa na wanakuja na mfumo mwingine unaoonesha mtumishi kafanya nini daily....hii ina maana mtumishi atajaza alichofanya Kila siku? Sijui ngoja tuone itakua hatari kama ni kujaza daily
 
Jana nimeona kwenye taarifa ya habari OPRAS imefutwa na wanakuja na mfumo mwingine unaoonesha mtumishi kafanya nini daily....hii ina maana mtumishi atajaza alichofanya Kila siku? Sijui ngoja tuone itakua hatari kama ni kujaza daily
Uliona au kusikia hii taarifa wapi na lini? Huku tunateseka tu.Hapa naambiwa niandae OPRAS za miaka 4 .
 
Waombe radhi walimu na ma Dr tafadhali, hata hao wanaofanyiwa interview Wana tofauti Gani na uliowataja?

Binafsi naona ma Dr ni group lenye watu wenye uwezo mkubwa sana kiakili japo vipato vyao ni vidogo.
Daktari ana akili ukimkuta Agakhan, Kairuki na Hospital nyingine zenye usimamizi thabiti. Nje ya hapo wengine wote hawajitambui na hawajijui thamani yao kwa jamii.
Nenda tu Amana, au nenda huko Wilayani ndio utajua hiyo kada hakuna kitu. Hawathamini wagonjwa, hawathamini muda wa kazi na mbaya zaidi hawaheshimu viapo vyao.
 
Jaza form upande daraja mkuu. Funika kombe mwanaharam apite.
 
Opras haiwezi kuwa na tija hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kutoa fedha kwa mujibu wa mipango na bajeti.
Hahaha idara nzima printer moja, karatasi hakuna na kila mtu anatumia devices zake binafsi including airtime. No target budget na vipaumbele wanapanga wachache bila kuwashirikisha implementers . Kifupi the concept of performance management is poorly implemented
 
Daktari ana akili ukimkuta Agakhan,
Aga Khan kule ukiona mtu mweusi anafanya kazi ujue aidha ni kibarua au msukule. Ndio maana wanakimbia kila siku.
Kairuki na Hospital nyingine zenye usimamizi thabiti.
Ukilinganisha huduma za serikali na sekta binafsi utajua JUHA.

Kwasababu hata gharama za matibabu ni tofauti.

Ninyi wenyewe mkienda kwenye vituo vya serikali mkaambiwa lipeni consultation fee, Tsh 5,000 mnabweka Kama mbweha. Mtatafuna mpaka madiwani, wenyeviti wa vijiji, CCM mpaka za Wizara ya Afya mtapiga kulalamikia.

Vituo vya Afya vya serikali watumishi hawatoshi, mtu anafanya kazi masaa 12 hakuna extra duty, wewe unadhani huyo mtu ni roboti?
Nje ya hapo wengine wote hawajitambui na hawajijui thamani yao kwa jamii.
Nenda tu Amana, au nenda huko Wilayani ndio utajua hiyo kada hakuna kitu. Hawathamini wagonjwa, hawathamini muda wa kazi na mbaya zaidi hawaheshimu viapo vyao.
Mtumishi wa serikali HANA NYUMBA - Amepanga.

Anafanya kazi zaidi ya muda wa kazi - HALIPWI.

Anatumia pesa zake za Mshahara huo huo kufanya kazi za serikali tena.

Na Bado hicho hicho kimshahara chenyewe anachopewa bado kinawindwa na MICHANGO YA MWENGE, VYAMA VYA WAFANYAKAZI na KODI.


Halafu huyo mtu utegemee awe na morale ya kazi kweli??



Hata robot linachoka.

 
Kwahiyo suluhisho la malalamiko yako ni kuwaonea Wagonjwa kwa kuwapa huduma mbovu ikiwemo kuwapasua kichwa badala ya mguu, kuwachoma sindano zisizostahili, kuwashona mishono ya kikatili nk?
Na ukishamfanyia ukatili huo mgonjwa Malalamiko na shida zako zitaisha??? MMMMELAAANIWA shit
Hauko vzuri upstair mkuu
 
Kwahiyo unafananisha Kairuki, Aghakan na hospitali za wilayani ? Pamoja na changamoto za miundombinu wanazokutana nazo kwenye hizo hospitali lakin bado wanapambana kuokoa maisha unatakiwa kuwaheshimu.

Ukimtoa MD Kairuki ukamleta Dispensary atakuwa hana tofauti na Clinical officer nadhani umenielewa.
 
Wewe ni mpumbavu.

Suala la matibabu mazuri halina mahusiano na serikali Wala sekta binafsi.

Na Wala hapa sizungumzii kutibiwa vibaya.

Nazungumzia ukubwa wa kazi.



Kama Daktari ana uwezo wa KUHUDUMIA wagonjwa 6 kwa masaa 8. Inatosha.

Siyo Kwasababu Yuko pekeyake, ulazimishe hata usiku wa manane amelala amepumzika baada ya kufanya kazi kutwa nzima, aamke kukuhudumia kwa viwango VILE VILE.


Kama unategemea mtu afanye hivyo Kwasababu tu anafanya kazi serikalini, wewe ni ZUZU
 
Opras haiwezi kuwa na tija hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kutoa fedha kwa mujibu wa mipango na bajeti.
Mkuu kama watu wangekuwa waelewa thread hii ilibidi comment Yako ifunge mjadala huu. Ipo wazi kbsa unajaza nitafanya Mambo kadhaa ila mahitaji yangu ni pikipiki, mafuta, stationary, allowance alafu vyote hivyo hupewi Sasa walitakaje opras iwe na tija
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…