Upinzani acheni agenda ya Urais: Jitahidini kupata viti vingi vya wabunge. Wingi wa wabunge bungeni, wewe ni "RAIS", maamuzi ya ndiooooooooo yatakoma

Kwan CCM hawalujui hilo upinzan kuwa na wabunge wengi hilo haliwezekan narudia tena hilo haliwezekan
 
Wapinzani wao kwa wao wanapingana chama kwa chama na viongozi kwa viongozi ndani ya chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…