Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Mnyika huwezi kumsikia anamsema vibaya hayat ata Msigwa anajitahidi sana kujizuia ila Mwenyekiti, na hawa wengine ndio mmmhh achaMbona Mnyika hajamzungumzia Kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyika huwezi kumsikia anamsema vibaya hayat ata Msigwa anajitahidi sana kujizuia ila Mwenyekiti, na hawa wengine ndio mmmhh achaMbona Mnyika hajamzungumzia Kabisa?
Mkuu tulikubalianaje humu? Marehem aachwe apumzike!! Legacy legacy legacy.. mwalim ametuachia legacy Tanzania na Africa in reality!!Hii ni shariti kubwa kabisa na lenye nguvu kabisa katika serikali ya awamu ya sita ambapo upinzani kazi moja waliyopewa ni kusifia maridhiano huku wakichafua uongozi wote wa JPM.
Tayari maelekezo hayo yameshaanza kufanyiwa kazi katika mkutano wa chadema uliofanyika jijini Mwanza. Hata ACT-Wazalendo wameelekezwa hivo ingawa siyo wote wanaokubali shariti hilo la mikutano ya siasa hata CUF na wao wamepewa maelekezo hayo lakini miongoni mwao wanapinga maelekezo hayo kwa kuwa kazi za JPM zinaonekana kwa wananchi.
Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Nawatakiwa jumapili njema.
Mbona Mnyika hajamzungumzia Kabisa?
Hali ni teteLissu na Lema hawajapost chochote kuhusu mkutano wa MWANZA. Kuna kitu
Usirukie hoja ndio maana tunazungumzia Uwezo wa kiakili elewa andiko alafu challenge.nadhani huelewi ndio maana unasema nawaza kitoto na nadhani ww humu you are not among the great thinkers,kazi ya kufikiri tuachie ss tunaojua siasa za nchi hii.Tulia elewa maandishi itakusaidia ili usinekane ww ni kituko,tumesema muda ni mwalimu mzuri ss waona mbali.Unawaza kitoto sana. Yaani CDM leo imekuwa ya kupewa hoja ya kutembea nayo? Utapata pressure tu bure. Wana haki ya kuhoji na kueleza hisia zao mradi tu hawavunji sheria. Kama kwa kufanya hivyo wanajimaliza, nadhani hiyo ni fursa yako kufurahi.
Tetesi we umezitoa wapi, nyooka usiogope sema wewe unavyoona. Acha kuzunguka mbuyuHii ni shariti kubwa kabisa na lenye nguvu kabisa katika serikali ya awamu ya sita ambapo upinzani kazi moja waliyopewa ni kusifia maridhiano huku wakichafua uongozi wote wa JPM.
Tayari maelekezo hayo yameshaanza kufanyiwa kazi katika mkutano wa chadema uliofanyika jijini Mwanza. Hata ACT-Wazalendo wameelekezwa hivo ingawa siyo wote wanaokubali shariti hilo la mikutano ya siasa hata CUF na wao wamepewa maelekezo hayo lakini miongoni mwao wanapinga maelekezo hayo kwa kuwa kazi za JPM zinaonekana kwa wananchi.
Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Nawatakiwa jumapili njema.
Siamini maana chama chochote kinakuja na ajenda ya kumponda magufuli watasema uongo mtupu huku wananchi wameona kwa macho uongozi wa magufuli. Itakua sawa na kujizika tu kwa yeyote anayepambana na magufuli..Hii ni shariti kubwa kabisa na lenye nguvu kabisa katika serikali ya awamu ya sita ambapo upinzani kazi moja waliyopewa ni kusifia maridhiano huku wakichafua uongozi wote wa JPM.
Tayari maelekezo hayo yameshaanza kufanyiwa kazi katika mkutano wa chadema uliofanyika jijini Mwanza. Hata ACT-Wazalendo wameelekezwa hivo ingawa siyo wote wanaokubali shariti hilo la mikutano ya siasa hata CUF na wao wamepewa maelekezo hayo lakini miongoni mwao wanapinga maelekezo hayo kwa kuwa kazi za JPM zinaonekana kwa wananchi.
Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Nawatakiwa jumapili njema.
Na ni bora wanasiasa wajue mapema ili leo na kesho wasijilaumu.Siamini maana chama chochote kinakuja na ajenda ya kumponda magufuli watasema uongo mtupu huku wananchi wameona kwa macho uongozi wa magufuli. Itakua dawa na kujizika tu.
Wewe ni mjinga haswaHii ni shariti kubwa kabisa na lenye nguvu kabisa katika serikali ya awamu ya sita ambapo upinzani kazi moja waliyopewa ni kusifia maridhiano huku wakichafua uongozi wote wa JPM.
Tayari maelekezo hayo yameshaanza kufanyiwa kazi katika mkutano wa chadema uliofanyika jijini Mwanza. Hata ACT-Wazalendo wameelekezwa hivo ingawa siyo wote wanaokubali shariti hilo la mikutano ya siasa hata CUF na wao wamepewa maelekezo hayo lakini miongoni mwao wanapinga maelekezo hayo kwa kuwa kazi za JPM zinaonekana kwa wananchi.
Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Nawatakiwa jumapili njema.
Thibitisha unachosema mwamba, Chadema iko imara aisee, acha kuwalisha raia matango pori.Lissu na Lema hawajapost chochote kuhusu mkutano wa MWANZA. Kuna kitu
Hivi wewe mtu aliyekuwa anasema hadharani kuwa mtu ambaye anapinga kile alichokiita vita yake ya uchumi, hastahili kuishi, dakika chache baadaye Tundu Lissu anapigwa risasi Kwa lengo la kumuua!Hii ni shariti kubwa kabisa na lenye nguvu kabisa katika serikali ya awamu ya sita ambapo upinzani kazi moja waliyopewa ni kusifia maridhiano huku wakichafua uongozi wote wa JPM.
Tayari maelekezo hayo yameshaanza kufanyiwa kazi katika mkutano wa chadema uliofanyika jijini Mwanza. Hata ACT-Wazalendo wameelekezwa hivo ingawa siyo wote wanaokubali shariti hilo la mikutano ya siasa hata CUF na wao wamepewa maelekezo hayo lakini miongoni mwao wanapinga maelekezo hayo kwa kuwa kazi za JPM zinaonekana kwa wananchi.
Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Nawatakiwa jumapili njema.
Lema jioni hii ndio kapost picha za musoma kwa shingo upande itakuwa Mwenyekiti kampigia simu. Haiwezekani masaa 24 Lema hakuingia twiraa 😂😂Hali ni tete
Sasa kama alizuia kufanyika kwa mikutano, kwa nini asipopolewe kwa maneno? Istoshe wale aliyowafunga magereza unatarajia wakateme wapi nyongo zaoHii ni shariti kubwa kabisa na lenye nguvu kabisa katika serikali ya awamu ya sita ambapo upinzani kazi moja waliyopewa ni kusifia maridhiano huku wakichafua uongozi wote wa JPM.
Tayari maelekezo hayo yameshaanza kufanyiwa kazi katika mkutano wa chadema uliofanyika jijini Mwanza. Hata ACT-Wazalendo wameelekezwa hivo ingawa siyo wote wanaokubali shariti hilo la mikutano ya siasa hata CUF na wao wamepewa maelekezo hayo lakini miongoni mwao wanapinga maelekezo hayo kwa kuwa kazi za JPM zinaonekana kwa wananchi.
Upinzani kama wamechukuwa kama agenda yao kuu ya kutukana uongozi uliopita wa JPM wajue kuwa wapo ambao hawatawaelewa labda wavuta bhangi ambao hawafatilii mambo ya nchi.
Nawatakiwa jumapili njema.