Uchaguzi 2020 Upinzani bado wana mentality ya kujaza umati ndiyo kukubalika

Anawaambia watanzania kuwa wanaongozwa na mtu katili na muuaji, ndo maana anakandamiza demokrasia na uhuru wa kujieleza..Kama umefanya mema why uwe muoga?! Yule ni shetani hapaswi kuliongoza hili taifa
 
Lowasa alikuwa anakusanya mara mia ya hao,

Wakati Lowassa akikusanya hao watu alikuta mazingira ya kisiasa mazuri mara 700 ya sasa, hakukuwa na kundi la magu la watu wasiojulikana, alikuta cdm ikiwa imefanya siasa za hamasa kwa miaka mitano mfululizo, alikuwa hajatoka Ubelgiji bila kufanya siasa, hakukuta hii hofu ya kisiasa iliyopo hivi sasa. Kimsingi mlitarajia cdm hii iwe na idadi ya wale watu wanaojitokeza kwenye mikusanyiko ya Hashimu Rungwe.

Na hiki kinachoendelea nina hakika Magu ataiagiza tume ya uchaguzi imtoe huyo game changer, maana roho itakuwa inamuuma sana, watu kwenda kufurika kwa mtu ambaye hajajenga flyover, wala reli.
 
Sasa mbona Meko kapaniki? Anataka vyombo vyote vya habari vimsifie yeye tu!ana kila kitu na ana fanya fitina kibao lakini hajiamini!
 
Hata muwe na tallying center ya NASA. CCM mwaka huu mnapigwa kipigo cha mbwa mwizi na Chadema.

CHADEMA strategy mwaka huu ni simple sana. Kura zinapigwa kituoni, zinalindwa na wananchi kituoni, zinahesabiwa hapohapo kituoni na Matokeo yote yanatangazwa hapohapo kituoni(Udiwani, Ubunge na Urais)

Huko kwenye izo tallying center zenu mpende msipende mtakusanya matokeo yaliyotangazwa na nguvu ya umma vituoni.

Mtajua kuwa hamjui mwaka huu!!
 
Kwani wale wanaosomba watu magari huwa wana mentality gani hata juzi huko Pemba iliandikwa barua kuwataka watumishi waende kumpokea mgombea na wahakikishe wanaandishwa majina kilikuwa kinatafutwa nini kama siyo kuonekana wanapendwa.
 
Page za BBC ambazo Gwajima na polepole wameelekeza watu wakajitoe ufahamu kumtetea magufuli????

Mnafikiri CCM hamjajulikana mbinu zenu mwaka huu???
Mnafikiri hatujui huko pages za VOA na BBC wamejaa wapwa tuinuane???

Hakuna Rangi CCM mtaacha ona mwaka huu. Jiandaeni tu kuwa Chama pinzani baada ya October 2020!
 

Kama hana mtaji mbona vyombo vya habari vinakatazwa kutoa habari zake AZAM hadi walifuta post kuna nini kinaogopwa, watu hawaendi wanakwenda kutokana wavyoona kinachoendele lakini ksma wanakatazwa kuona kinachoendelea watakwendaje
 
Mkuu, Upinzani Bado wanaamini wanaweza kushinda kwa kelele za mashabiki wa Chadema ambao hawana hata uhakika nao Jpm Bado mpinzani kwa Sasa
 
Kuishinda ccm labda uipambanishe na ANC hapo ndiyo kutakuwa na mtifuano wa kufa mtu.Lakini hawa wapinzani wa bongo wanaoangalia mafuriko mhhhhhhhhh

CCM imeshashindwa bado kidogo waanze kugombana wenyewe kwa wenyewe kuwa mwenzao amesababisha hiyo hali siyo kosa la chama we subiri tu wakati utaongea. Haiwezekani watanzania wanaishi maisha ya shida namna hii halafu wanaambiwa uchumi uko vizuri wakati mfukoni hawana kitu.
 
Lisu anatia Huruma sana,amezama mapema sana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Unaongea kwa kukata tamaa sana,,

Lisu ndio huyo anachanja mbuga ila cha ajabu kila anapopata nafasi ya kuhutubia, hotuba nzima ni Magufuli tu,!

Mwambieni wananchi wanataka kusikia kabeba nini kichwani kwake

Sasa yeye amejisifia miaka minne kwanini asijibiwe alichokuwa anajisifia kwa kipindi chote hicho anafanya vizuri kufuta zile propaganda zake kwanza ili zikianza kampeni aende na sera ni strategy nzuri sana
 
Mwambie wananchi wanataka kujua amebeba nini kichwani juu ya tz,

Habari ya Magu kutuma watu wampige tukishasikia miaka 3 iliyopita. Sasa ni wakati wa kusikia ana nini juu ya tz,

Habari za Magu ni useless

Ulisikia kwa aliyepigwa yeye ndiye msemaji kuhusu maisha yake unataka nani aseme zaidi ya yeye ni lazima aseme vyote kuna ubaya gani hakuna anachopoteza kwanza akiwa anaongea unapenda kuendelea kumsikiliza muda wote. Mwaka huu CDM imepata mgombea hasa
 

Chama cha siasa ni watu kama kinafanya mkutano wakuja wengi ndiyo vizuri kiweze kuwashawishi sasa was ipo kuja kitawashawishi vipi tena hata wapiga kura wengi haiwako kwenye vyama vya Siasa kwahiyo kuja wengi ni ishara kwamba wanapenda kuifahamu chama kina offer nini
 
Daah,nikiangalia Kongo..!!Lisu aache ujinga kabisa asee.
 
Msimamo wangu ni uleule toka mwanzo!
Kutokana na Lisu kuwa na ushawishi mdogo tena ndani ya chadeka pekee, basi atapata asilimia 20 tu
17% inajitokeza kwenye taswira yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…