Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini Bujibuji hamaanishi au hapigii upatu kufa kwa upinzani bali alitaka kuonesha kama Rais wetu hamu yake ni kuona upinzani unakufa basi "aue" upinzani kwa kuwawajibikia wananchi hadi wananchi waone au angalau waamini "CCM inatosha" na sio kutumia mabavu na hila dhidi ya upinzani!!..nadhani tuachane na fikra za "kuua" upinzani, au demokrasia ya vyama vingi vya siasa.
..badala yake tujenge fikra za kuwa demokrasia ya vyama vingi iliyochangamka, na yenye HAKI sawa kwa vyama vyote.
..nadhani harakati za kuua upinzani zina GHARAMA kubwa kwa taifa, wakati mwingine hata DAMU/ROHO za watu.
CCM ina hazina kubwa ya viongozi.
Good explanationNaamini Bujibuji hamaanishi au hapigii upatu kufa kwa upinzani bali alitaka kuonesha kama Rais wetu hamu yake ni kuona upinzani unakufa basi "aue" upinzani kwa kuwawajibikia wananchi hadi wananchi waone au angalau waamini "CCM inatosha" na sio kutumia mabavu na hila dhidi ya upinzani!!
Mtafute mwingine! Tundu Lissu hana hoja, ni majigambo na matusi, mtashindwa tena.Upinzani ni spirit ambayo kamwe haijawahi kuuawa kwa kuwateka wapinzani, kuwatesa, kuwafunga kwa makosa ya kubambikiza etc.
Njia rahisi ya kuua upinzani ni kupitia upendo na kuwaridhisha watu licha ya kwamba hakiwezekani kuwaridhisha watu wote kwa wakati, lakini hili linawezekana akipatikana rais mwenye akili kama Hussein Mwinyi.
Tayari Mwinyi ameshagundua kuwa kodi kubwa kwa wawekezaji ni mzigo, ambao in future, wote tutakuwa losers, muwekezaji atashindwa kufanya biashara, atafunga. Serikali itapate kodi mfanyabiashara akifunga biashara? Mwananchi atapataje bidhaa na huduma supply chain ikikatika?
Pia tunahitaji watu wenye mitaji waje kuwekeza nchini. Nani yuko tayari kuona diaspora wakileta mitaji yao bila kuulizwa umepataje pesa.
Nachelea kusema kwamba Mwinyi Yuko much visionary kuliko kaka Mandege.
Mwinyi alipita nyumba kwa nyumba akiongea na Wanzibari ana kwa ana wakimjulisha shida na dhiki zao.
Huyu mwingine alikuwa ananunua majogoo kwa laki moja, akipita kwenye msururu wa MAVIEIEITE YA KIJANI. Akimwaga tu sera zake kutoka kwenye kauntabuku la kurasa mia tatu na tatu bila kuwasikiliza wananchi wanataka nini.
Mwaka 2025 nadhani mtu sahihi wa kumshindanisha na Tundu Lissu ni Hussein Mwinyi tu.
Kakutukana tusi gani?Mtafute mwingine! Tundu Lissu hana hoja, ni majigambo na matusi, mtashindwa tena.
Upinzani ni spirit ambayo kamwe haijawahi kuuawa kwa kuwateka wapinzani, kuwatesa, kuwafunga kwa makosa ya kubambikiza etc.
Njia rahisi ya kuua upinzani ni kupitia upendo na kuwaridhisha watu licha ya kwamba hakiwezekani kuwaridhisha watu wote kwa wakati, lakini hili linawezekana akipatikana rais mwenye akili kama Hussein Mwinyi.
Tayari Mwinyi ameshagundua kuwa kodi kubwa kwa wawekezaji ni mzigo, ambao in future, wote tutakuwa losers, muwekezaji atashindwa kufanya biashara, atafunga. Serikali itapate kodi mfanyabiashara akifunga biashara? Mwananchi atapataje bidhaa na huduma supply chain ikikatika?
Pia tunahitaji watu wenye mitaji waje kuwekeza nchini. Nani yuko tayari kuona diaspora wakileta mitaji yao bila kuulizwa umepataje pesa.
Nachelea kusema kwamba Mwinyi Yuko much visionary kuliko kaka Mandege.
Mwinyi alipita nyumba kwa nyumba akiongea na Wanzibari ana kwa ana wakimjulisha shida na dhiki zao.
Huyu mwingine alikuwa ananunua majogoo kwa laki moja, akipita kwenye msururu wa MAVIEIEITE YA KIJANI. Akimwaga tu sera zake kutoka kwenye kauntabuku la kurasa mia tatu na tatu bila kuwasikiliza wananchi wanataka nini.
Mwaka 2025 nadhani mtu sahihi wa kumshindanisha na Tundu Lissu ni Hussein Mwinyi tu.
Tangu nizaliwe sijawahi kupanda NDEGE.
Umeona ehhh zaidi ya Boeing 737 The Wings of Kilimanjaro aliyotuachia Nyerere na zile Foker sijawahi kupanda ndege zao Tena nimeoanda Fast Jet, PW na nyingine za nje sio hizi vieiteMzee wa MIDEGE ni bora auze Midege atuwekee MORAMU kwenye barabara zetu za uswahilini na makaravati.....Tangu nizaliwe sijawahi kupanda NDEGE.
Umewahi kupanda punda??!!
Mkuu, Usipowahi kupanda katika awamu hii ya Madege basi tena hupandi tena.
Ndege oyeee.
Hapana Mkuu usafiri wangu Mkuu ni Baiskeli mara chache sana natumia Uchawi wa Kizungu "TOYO".
Wanadhani bunduki itaua demokrasia..nadhani tuachane na fikra za "kuua" upinzani, au demokrasia ya vyama vingi vya siasa.
..badala yake tujenge fikra za kuwa demokrasia ya vyama vingi iliyochangamka, na yenye HAKI sawa kwa vyama vyote.
..nadhani harakati za kuua upinzani zina GHARAMA kubwa kwa taifa, wakati mwingine hata DAMU/ROHO za watu.
Acha ujinga ilikuwepo precession air na fast jetSafi sana endelea hivyohivyo na kupanda uchawi wa kizungu Toyo, sasa ndege ndiyo uchawi mkubwa zaidi wa kizungu subiri ipo siku pia utapanda ndege tu.
Vinchi vidogo vina ndege sisi linchi likubwa hatukwa hata na ndege moja kwanini??!!----ama tupate hasara au faida kuwa na ndege haijalishi ni lazima tuwe na ndege tu ili hivyo vinchi vidogo vitujue sisi ni nani!!!🤣🤣
Acha ujinga ilikuwepo precession air na fast jet
Yote yaliyotokea tangu 2015 mpaka leoHussein Mwinyi wachache sana ndio wanamfahamu kwa undani. Ni mtu mwenye roho ya aina yake. Sidhani kama kuna kiongozi serikalini anafikia hata nusu yake (Wengi wanafanya mambo kujionisha na kutafuta hits/kiki).
NOTE THAT; Hussein Mwinyi wakati waziri wa ulinzi ili kuwahamasisha watendaji wake wa kazi kufanya kazi kwa utulivu na weredi, watendaji ambao waliokua wakipatwa na matatizo/ugomvi kifamilia, ilifikia hatua alikuwa akiwashtukiza majumbani kwao usiku mida ya saa moja/mbili kwenda KUWASULUHISHA UGOMVI WA NDOA (Mke Na Mume).
Tafakari Waziri anakwenda nyumbani kwa mwanajeshi mwenye V 2 au 3 mida ya saa moja au mbili usiku, kusuluhisha ugomvi wa kifamilia ili mtu akirudi kazini siku ya pili asiwe na wenge. Huwezi kusikia katika vyombo vya habari au mitandao ya kijamii mambo aliofanya kipindi waziri.
Ila mzee baba akitoa mchango hata wa buku ya kubeti, lazima kesho asubuhi na mapema BREKINI NYUUZZ vyombo vyote vya habari mpaka vyombo vya jikoni. Sasa ole wako usitangaze hio habari, basi TCRA inakuhusu.
Logically Africa,
Huwa kuna tofauti kubwa sana kati ya watu wawili;
1) Mtu alie cheza na kukulia ikulu, akizungukwa na ulinzi mkali na watu wenye vyeo. = Huwa hawana majivuno wala kiburi (Uhuru Kenyatta, Hussein Mwinyi, Joseph Kabila)
2) Mtu aliekulia katika umasikini na ufukara, akaja akapata utawala kwa kubeti na zali la mentali. = Huwa wana roho mbaya, visasi, chuki (Saddist personality), uongo, ufisadi, majivuno, uzandiki, wanatawaliwa na hofu ya kupoteza madaraka na kuabudiwa. Yani roho mbaya mbaya tu.
Umekariri kwani lazima umma umiliki ndege?Hizo zilikuwa ni mali ya ATCL???, wewe zwazwa kweli.,
Tunazungumzia mali ya UMMA.
Siyo yeye Ni shinikizo toka Dodoma..hata Dr.Shein alikuwa akisifiwa kwa upole,uungwana, na ucha mungu.
..lakini sote tumeshuhudia mambo ya kikatili ktk utawala wake.