Mmejifungia lumumba mnajindanganyaUpinzani Tanzania umejifia kutokana na:
1. Elimu bure msingi mpaka sekondari
2. Umeme kila kijiji..
Kwani Tundu Lissu atagombea tena!! Kwa mawazo yangu aache tu kwani itakuwa anapoteza wakati. Watanzania tayati wamemjua na kimdharau. Hakuna ubishi kuwa Lissu ni kibalaka wa mabeberu.Upinzani ni spirit ambayo kamwe haijawahi kuuawa kwa kuwateka wapinzani, kuwatesa, kuwafunga kwa makosa ya kubambikiza etc.
Njia rahisi ya kuua upinzani ni kupitia upendo na kuwaridhisha watu licha ya kwamba hakiwezekani kuwaridhisha watu wote kwa wakati, lakini hili linawezekana akipatikana rais mwenye akili kama Hussein Mwinyi.
Tayari Mwinyi ameshagundua kuwa kodi kubwa kwa wawekezaji ni mzigo, ambao in future, wote tutakuwa losers, muwekezaji atashindwa kufanya biashara, atafunga. Serikali itapate kodi mfanyabiashara akifunga biashara? Mwananchi atapataje bidhaa na huduma supply chain ikikatika?
Pia tunahitaji watu wenye mitaji waje kuwekeza nchini. Nani yuko tayari kuona diaspora wakileta mitaji yao bila kuulizwa umepataje pesa.
Nachelea kusema kwamba Mwinyi Yuko much visionary kuliko kaka Mandege.
Mwinyi alipita nyumba kwa nyumba akiongea na Wanzibari ana kwa ana wakimjulisha shida na dhiki zao.
Huyu mwingine alikuwa ananunua majogoo kwa laki moja, akipita kwenye msururu wa MAVIEIEITE YA KIJANI. Akimwaga tu sera zake kutoka kwenye kauntabuku la kurasa mia tatu na tatu bila kuwasikiliza wananchi wanataka nini.
Mwaka 2025 nadhani mtu sahihi wa kumshindanisha na Tundu Lissu ni Hussein Mwinyi tu.
True, anaweza kuleta mapinduzi chanya ya kifikra.Dr H. Mwinyi ni very smart, hana ushamba, he's cool na itoshe kusema ni civilized
Upinzani ni zaidi ya hayo. Mwenza mwenye kupewa kila kitu anaweza asiridhike na tabia ya mwenziwe.Upinzani Tanzania umejifia kutokana na:
1. Elimu bure msingi mpaka sekondari
2. Umeme kila kijiji
3. Vituo vya afya kila kijiji
4. Miradi ya maji kila mahali
5. Kukomesha wizi na ufisadi
6. Vita dhidi ya rushwa
7. Nidhamu utumishi wa umma
8. Wanyonge kwanza
9. Kufufua huduma za reli
10. Ujenzi wa meli maziwa makuu
11. Kudhibiti utoroshaji madini
12. Kufufua shirika la ndege
13. Ujenzi wa reli
14. Ujenzi bwawa la kufua umeme
15. Kutokomeza korona
16. Kuingia uchumi wa kati
17. Maendeleo bila kujali chama
18. Upinzani kwenda chama tawala ruksa
19. Muda wa kazi, Muda wa siasa
20. Kufanyia kazi hoja za upinzani
21. Kudhibiti ujangili na ujambazi
22. Endelea na wewe......
23.
24.
25.
Umekariri kwani lazima umma umiliki ndege?
Nini maana ya secta binafsi au ppp.
Ile biashara pasua kichwaMimi sijakariri, mimi nilimnukuu The Big boss wa ndege aliposema: "Tunashindwa na Vinchi vidogo vina ndege sisi hatuna hata moja". Sasa huyo the Big boss aliposema maneno hayo hakujua kama kuna Precision air na fast jet nk,???.
Kwanza Vinchi vidogo unavijua??, hivyo vinchi vinazo public airliners (mashirika yao ya ndege ni ya umma) sio ya binafsi.
Mimi naunga mkono kwamba huduma za ndege ziwe private na serikali ikusanye kodi ya viwanja nk. Serikali iachane kabisa na biashara, lakini the big boss hataki na anataka tuwe kama hivyo vinchi vidogo.
Mkuu maendeleo ya mtu huletwa mtu mwenyewe. Hakuna serikali Duniani inamletea mtu maendeleo bali serikali inaandaa miundombinu ya kukuwezesha ww kupata maendeleo. Kama barabara nzr, tiba ya uhakika, elimu nzuri nkKuua upinzani ni kauli za mzee dingi, anawachukia, anawasingizia.
Hivi kama wilaya ya Kisarawe haina maendeleo kabisa, haijawahi kuwa na mwakilishi yeyote wa upinzani, lakini lawama za Kisarawe kukosa maendeleo wanapewa wapinzani, ETI WAMETUCHEREWESHA.
Hivi wakati wenzako wanasoma, hadi wanaongea Kingereza kilichonyooka, wapinzani walikuwa wamekuficha wapi?
Mmeanza kumrukia mwinyi sasaMwaka 2025 nadhani mtu sahihi wa kumshindanisha na @Tundu Lissu ni Hussein Mwinyi tu.
Maendeleo makubwa kuliko yote ni kugawa elimu iliyo bora na viwango, serikali pamoja na wawakilishi wao imewanyima/inawanyima kwa makusudiMkuu maendeleo ya mtu huletwa mtu mwenyewe. Hakuna serikali Duniani inamletea mtu maendeleo bali serikali inaandaa miundombinu ya kukuwezesha ww kupata maendeleo. Kama barabara nzr, tiba ya uhakika, elimu nzuri nk
Lakini wanasiasa wetu hawawafumbui macho wananchi wao waliyowachagua matokeo yake wanawaongopea kuwa serikali inaleta maendeleo kwa mtu. Nao watu wa aina yako bado mnawaongopea watu kuwa serikali inamletea mtu maendeleo.
Kutawala milele pasipo na utawala bora ni jehanamu.Mmeanza kumrukia mwinyi sasa
Ndio maana ccm tunaamini tutatawala milele
Mfuasi wa chadema anatutafutia mgonbea mzuri kwa ajili ya 2025
Tundu lissu ameshaomba uraia wa ubelgiji,hiyo 2025 labda agombee umeya Genk
Bila kuisimamia upande wowote kisiasa. Rais Dr. Hussein Mwingi is the best president. Ataibadilisha Zanzibar kiuchumi, kijamii na Kisiasa. Ataimarisha umoja Zanzibar mpaka tushangae. Ukweli sijui Wazanzibar walimuombaje Mungu akasikia kiluo chao. Nanikuhakikishie 2025 Hussein Mwinyi atashindakwa kura nyingi mno ambazo haxitakuwa na kumwaga damu wala mitutu kuwahofisha wananchi. Hongereni zenu Zanzibar.
Mazuri yapi aliyofanya mwanzoni?Mpe muda. Hata huyu alifanya vizuri mwanzoni
Kwahiyo point yenu ni nini? Na ile kesi yenu ya icc vipi?Dr H. Mwinyi ni very smart, hana ushamba, he's cool na itoshe kusema ni civilized