Upinzani hauuliwi kwa mabavu, udikteta, vitisho na ukatili, ukitaka kuua upinzani mpe Hussein Mwinyi nchi aufute upinzani

Kwani Tundu Lissu atagombea tena!! Kwa mawazo yangu aache tu kwani itakuwa anapoteza wakati. Watanzania tayati wamemjua na kimdharau. Hakuna ubishi kuwa Lissu ni kibalaka wa mabeberu.

Akipata uraisi ataishi Tanzania lkn akikosa uraisi anawakimbia watanzania. Tena kwa visingizio vya kijinga vya kuichafua nchi. Eti na Lema anatishiwa kuuawa. Bora mzee wa Faru John hana makuu na nchi yake
 
Upinzani ni zaidi ya hayo. Mwenza mwenye kupewa kila kitu anaweza asiridhike na tabia ya mwenziwe.
Mwenye kuleta hayo ana behave vipi kwa critics wake? Hilo ndilo tatizo
 
Umekariri kwani lazima umma umiliki ndege?
Nini maana ya secta binafsi au ppp.


Mimi sijakariri, mimi nilimnukuu The Big boss wa ndege aliposema: "Tunashindwa na Vinchi vidogo vina ndege sisi hatuna hata moja". Sasa huyo the Big boss aliposema maneno hayo hakujua kama kuna Precision air na fast jet nk,???.

Kwanza Vinchi vidogo unavijua??, hivyo vinchi vinazo public airliners (mashirika yao ya ndege ni ya umma) sio ya binafsi.

Mimi naunga mkono kwamba huduma za ndege ziwe private na serikali ikusanye kodi ya viwanja nk. Serikali iachane kabisa na biashara, lakini the big boss hataki na anataka tuwe kama hivyo vinchi vidogo.
 
Ile biashara pasua kichwa
 
Tatizo la Mandege ni roho, ana roho mbaya aliyozaliwa nayo ukichanganya na ushamba aliousema Nnape inakuwa balaa.
 
Mkuu maendeleo ya mtu huletwa mtu mwenyewe. Hakuna serikali Duniani inamletea mtu maendeleo bali serikali inaandaa miundombinu ya kukuwezesha ww kupata maendeleo. Kama barabara nzr, tiba ya uhakika, elimu nzuri nk

Lakini wanasiasa wetu hawawafumbui macho wananchi wao waliyowachagua matokeo yake wanawaongopea kuwa serikali inaleta maendeleo kwa mtu. Nao watu wa aina yako bado mnawaongopea watu kuwa serikali inamletea mtu maendeleo.
 
Mwaka 2025 nadhani mtu sahihi wa kumshindanisha na @Tundu Lissu ni Hussein Mwinyi tu.
Mmeanza kumrukia mwinyi sasa
Ndio maana ccm tunaamini tutatawala milele
Mfuasi wa chadema anatutafutia mgonbea mzuri kwa ajili ya 2025
Tundu lissu ameshaomba uraia wa ubelgiji,hiyo 2025 labda agombee umeya Genk
 
Tanzania hakuna tena uchaguzi labda Magufuli afe kabla ya 2025 kitu ambacho pia kinawezekana maanake yeye sio malaika.

Upinzani hauwezi kamwe kufa kisa fulani ndio rais kwani hata nchi zilizoendelea zinazotupa "Handouts" zote zina upinzani.
 
Maendeleo makubwa kuliko yote ni kugawa elimu iliyo bora na viwango, serikali pamoja na wawakilishi wao imewanyima/inawanyima kwa makusudi
iendelee kuwalaghai wananchi wake.
 
Mmeanza kumrukia mwinyi sasa
Ndio maana ccm tunaamini tutatawala milele
Mfuasi wa chadema anatutafutia mgonbea mzuri kwa ajili ya 2025
Tundu lissu ameshaomba uraia wa ubelgiji,hiyo 2025 labda agombee umeya Genk
Kutawala milele pasipo na utawala bora ni jehanamu.
 
Bila kuisimamia upande wowote kisiasa. Rais Dr. Hussein Mwingi is the best president. Ataibadilisha Zanzibar kiuchumi, kijamii na Kisiasa. Ataimarisha umoja Zanzibar mpaka tushangae. Ukweli sijui Wazanzibar walimuombaje Mungu akasikia kiluo chao. Nanikuhakikishie 2025 Hussein Mwinyi atashindakwa kura nyingi mno ambazo haxitakuwa na kumwaga damu wala mitutu kuwahofisha wananchi. Hongereni zenu Zanzibar.
 

Tza anaestahili kuabudiwa ni mmoja tu msianze kumchongoea ya Robert Ouko yakamfika.
Mawe ni hatari Sana kwa ujenzi wa nyumba bora
 
Hingereni wa Zanzibar kwa kumchagua rais makini ambae sasa hadi Bavicha wanamuona ni mtu makini mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…