Clever505
JF-Expert Member
- Jul 27, 2020
- 1,183
- 2,256
- Thread starter
- #21
Maelezo yako mazuri ila zingatia ushauri nilioutoa, kwamba ikiwezekana aje na huku maana sisi tunamuona mitandaoni tu, sasa vijana walio kwenye mitandao ni wachache sana.Kijana Clever505, ngoja nikupe ushauri kidogo nikianzia na kaswali kadogo kuhusu neno clever ulilolitumia kwenye avatar yako hapo juu, je unajua tafsiri sahihi ya neno hilo? Mh. Tundu Antiphas Lissu kabla ya kurejea nyumbani, dhihaka dhidi yake ziliendeshwa hivyo hivyo kwa dhana potofu kuwa mashabiki wake ni wa mtandaoni tu...