Upinzani nchini umekata tamaa, umeishiwa pumzi, au umeridhika na uongozi uliopo nchini

Upinzani nchini umekata tamaa, umeishiwa pumzi, au umeridhika na uongozi uliopo nchini

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Dalili na ishara ni za wazi na bayana kabisa, kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024 na ule uchaguzi mkuu mapema oct.2025, itakua na miongoni mwa chaguzi za wazi sana, huru sana na za haki mno, ambazo pia ni rahisi sana kuwahi kufanyika nchini Tanazania, katika mazingira rafiki, huru, sawa na ya wazi kwa vyama vyote vya kisiasa kufanya kazi zao nchini.

Cha kushangaza hawafanyi chochote ukilinganisha na shauku ya kudai mazingira ya kuadai mikutano walokua nayo kabla hapo nyuma kidogo.

Ushindi wa wa wazi na wa kishindo unanukia kwa chama tawala.

Uanadhani vyama vya siasa upinzani vinakwama wapi au vimeridhishwa na uongozi madhubiti wa serikali sikivu ya CCM chini ya mwana mama shupavu sana, rais Dr.Samia Suluhu Hassan? :pulpTRAVOLTA:
 
Mimi nasema acha visambaratike kabisa,ili kama kuja vije vyama vingine vyenye dhamira ya dhati kuliko upinzani wa sasa wa kueneza chuki, ubaguzi na kuchochea kuvunja Muungano. Upinzani na wapinzani wa sasa ni wasaka Tonge na wachumia tumbo tu. Ndio maana unaona uchaguzi wa ndani ya vyama vyao unawagawa na kuwapasua vipande vipande.
 
CCM bwana kumejaa wajinga wa hatari. Mahali wanapaswa kuwa na wapiga kura 500+, wanajitokeza wapiga kura chini ya mia, wao wanapata kura chini ya 40, kisha wanajitokeza wanashangilia kuwa wameshinda kwa kishindo! Ni sawa na mwanafunzi ajisifie ana akili sana kisa kapata division IV kwa mitihani ya wizi, huku akiwa wa kwanza mbele ya hao wajinga.

Mtu mjinga tu ndio ataendelea kushiriki kwenye hizi chaguzi za kipuuzi.
 
Mimi nasema acha visambaratike kabisa,ili kama kuja vije vyama vingine vyenye dhamira ya dhati kuliko upinzani wa sasa wa kueneza chuki,ubaguzi na kuchochea kuvunja Muungano. Upinzani na wapinzani wa sasa ni wasaka Tonge na wachumia tumbo tu. Ndio maana unaona uchaguzi wa ndani ya vyama vyao unawagawa na kuwapasua vipande vipande.
Tanzania hakuna uchaguzi Bali Kuna maonyesho ya ujinga ww mtu mweusi kwenye box la kura. Chama la majuzi mmeshurutisha kukaa madarakani bila ridhaa ya wananchi, kisha wa,nanchi wakiambiwa ukweli kuhusu chama la majizi mnasema wanapandikiziwa chuki.

Ukitaka kujua watu wamechoka na hilo chama la majizi subiri hao viongozi walioingia madarakani kwa chaguzi za kishenzi waitishe mikutano, bila vitisho na kuhonga watu hawajitokezi kabisa. Na ukitaka kujua watu wamechoka na hilo chama la majizi na chaguzi za kishenzi, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo. Mwezi ujao wanaanzia kuboresha daftari la wapiga kura, ngoja uone kama kutakuwa na idadi ya kuridhisha kwenye huo utopolo.
 
Dalili na ishara ni za wazi na bayana kabisa, kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024 na ule uchaguzi mkuu mapema oct.2025, itakua na miongoni mwa chaguzi za wazi sana, huru sana na za haki mno, ambazo pia ni rahisi sana kuwahi kufanyika nchini Tanazania, katika mazingira rafiki:pulpTRAVOLTA:
Wakiitaka kufanya mikutano wanaingiliwa ratiba yao na ma ccm,

Wakiikosa serikarili wanaambiwa wanatukana

Wakilalamika wanaambiwa wanapiga kelele

Pamoja na figisu za ccm yupo kamanda Tundu lissue anaendelea na mikutano nchi nzima
 
CCM bwana kumejaa wajinga wa hatari. Mahali wanapaswa kuwa na wapiga kura 500+, wanajitokeza wapiga kura chini ya mia, wao wanapata kura chini ya 40, kisha wanajitokeza wanashangilia kuwa wameshinda kwa kishindo! Ni sawa na mwanafunzi ajisifie ana akili sana kisa kapata division IV kwa mitihani ya wizi, huku akiwa wa kwanza mbele ya hao wajinga.

Mtu mjinga tu ndio ataendelea kushiriki kwenye hizi chaguzi za kipuuzi.
umeelewa au umekurupuka tu na mihemko yako kama kawaida yako 🐒
 
Wakiitaka kufanya mikutano wanaingiliwa ratiba yao na ma ccm,

Wakiikosa serikarili wanaambiwa wanatukana

Wakilalamika wanaambiwa wanapiga kelele

Pamoja na figisu za ccm yupo kamanda Tundu lissue anaendelea na mikutano nchi nzima
kwa visingizio hivi dhaifu na duni sana, ni dhahiri kukata tamaa pamechukua nafasi kubwa sana 🐒
 

a very healthier political advice kwamba wajikite na 2030 tu...

ila kushupaza shingo kwao Lazima patawagawanya zaidi..

kwa mfano chadema saivi hata mwenyekiti wao kiutendaji haijulikani ni nani, mtu moja anaamua na kufanya mambo binafsi kwa platform ya chama na anaachwa, anatizamwa tu. Taasisi dhaifu huwa saa zingine ni kituko 🐒
 
Dalili na ishara ni za wazi na bayana kabisa, kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024 na ule uchaguzi mkuu mapema oct.2025, itakua na miongoni mwa chaguzi za wazi sana, huru sana na za haki mno, ambazo pia ni rahisi sana kuwahi kufanyika nchini Tanazania, katika mazingira rafiki, huru, sawa na ya wazi kwa vyama vyote vya kisiasa kufanya kazi zao nchini.

Cha kushangaza hawafanyi chochote ukilinganisha na shauku ya kudai mazingira ya kuadai mikutano walokua nayo kabla hapo nyuma kidogo.

Ushindi wa wa wazi na wa kishindo unanukia kwa chama tawala.

Uanadhani vyama vya siasa upinzani vinakwama wapi au vimeridhishwa na uongozi madhubiti wa serikali sikivu ya CCM chini ya mwana mama shupavu sana, rais Dr.Samia Suluhu Hassan? :pulpTRAVOLTA:
Rubbish..akili za 🐷🐷
 
Mimi nasema acha visambaratike kabisa,ili kama kuja vije vyama vingine vyenye dhamira ya dhati kuliko upinzani wa sasa wa kueneza chuki, ubaguzi na kuchochea kuvunja Muungano. Upinzani na wapinzani wa sasa ni wasaka Tonge na wachumia tumbo tu. Ndio maana unaona uchaguzi wa ndani ya vyama vyao unawagawa na kuwapasua vipande vipande.
Hata CCM uchaguzi unawagawa hata maji Huwa hawaombani. Au uongo?
 
Kuna siku CCM watagundua Wapinzani sio Chadema bali ni wananchi wenyewe. Watakuwa wamechelewa sana.
ni vizuri kuepuka kujidanganya kwamba eti Chadema ni upinzani 🐒

nadhani mwenyekiti na makamu wake ndio wapinzani wakuu ndani ya Chadema.

Nje ya hapo Chadema ni dhaifu sana haina sifa wala vigezo vya kuwa mpinzani wa CCM, ispokua labda wakuingana wapinzani katika ujumla wao kama ambavyo hoja yangu inalenga 🐒
 
Dalili na ishara ni za wazi na bayana kabisa, kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024 na ule uchaguzi mkuu mapema oct.2025, itakua na miongoni mwa chaguzi za wazi sana, huru sana na za haki mno, ambazo pia ni rahisi sana kuwahi kufanyika nchini Tanazania, katika mazingira rafiki, huru, sawa na ya wazi kwa vyama vyote vya kisiasa kufanya kazi zao nchini.

Cha kushangaza hawafanyi chochote ukilinganisha na shauku ya kudai mazingira ya kuadai mikutano walokua nayo kabla hapo nyuma kidogo.

Ushindi wa wa wazi na wa kishindo unanukia kwa chama tawala.

Uanadhani vyama vya siasa upinzani vinakwama wapi au vimeridhishwa na uongozi madhubiti wa serikali sikivu ya CCM chini ya mwana mama shupavu sana, rais Dr.Samia Suluhu Hassan? :pulpTRAVOLTA:
Wewe ndiye msemaji wao tangu lini🤔
 
Back
Top Bottom