Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikubali kuwa chawa na wachukie chawa hao ndio wanachelewesha maendeleo ya taifa hili.mimi ni dissector tu wa kisiasa humu nchini na si vinginevyo muungwana 🐒
we km si mwehu basi unaumwaTanzania hakuna uchaguzi Bali Kuna maonyesho ya ujinga ww mtu mweusi kwenye box la kura. Chama la majuzi mmeshurutisha kukaa madarakani bila ridhaa ya wananchi, kisha wa,nanchi wakiambiwa ukweli kuhusu chama la majizi mnasema wanapandikiziwa chuki.
Ukitaka kujua watu wamechoka na hilo chama la majizi subiri hao viongozi walioingia madarakani kwa chaguzi za kishenzi waitishe mikutano, bila vitisho na kuhonga watu hawajitokezi kabisa. Na ukitaka kujua watu wamechoka na hilo chama la majizi na chaguzi za kishenzi, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo. Mwezi ujao wanaanzia kuboresha daftari la wapiga kura, ngoja uone kama kutakuwa na idadi ya kuridhisha kwenye huo utopolo.
Lazima ili uziibe vizuri,zitoshe au🤣TZ Hakuna wapinzani wa kisiasa wapo wanasiasa uchwara wenye maslahi yao
tume huru ya uchaguzi ni muhimu kuwepo na ifikie wakati kupiga kura iwe ni lazma kisheria kwa wale wanaojiandikisha
kwani wakuu wa shule si wanapigwa biti waende kwenye ziara za katibu mkuu wa ccm yaani wanatishiwa kabisa eti wasipoenda watajieleza😂😂😂😂 ilimradi paonekane pamejaa...Tanzania hakuna uchaguzi Bali Kuna maonyesho ya ujinga ww mtu mweusi kwenye box la kura. Chama la majuzi mmeshurutisha kukaa madarakani bila ridhaa ya wananchi, kisha wa,nanchi wakiambiwa ukweli kuhusu chama la majizi mnasema wanapandikiziwa chuki.
Ukitaka kujua watu wamechoka na hilo chama la majizi subiri hao viongozi walioingia madarakani kwa chaguzi za kishenzi waitishe mikutano, bila vitisho na kuhonga watu hawajitokezi kabisa. Na ukitaka kujua watu wamechoka na hilo chama la majizi na chaguzi za kishenzi, subiri uone idadi ya wapiga kura itakavyokuwa ndogo. Mwezi ujao wanaanzia kuboresha daftari la wapiga kura, ngoja uone kama kutakuwa na idadi ya kuridhisha kwenye huo utopolo.
wewe ni mjinga usiyejielewa ile mikutano inayofanyika kule mikoani ninini sasa? kuishiwa pumzi unapimaje wakati kuna baadhi ya maeneo wanakatazwa viwanja vya kufanyia mikutano? unamkataza mtu aliyeishiwa pumzi?Dalili na ishara ni za wazi na bayana kabisa, kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024 na ule uchaguzi mkuu mapema oct.2025, itakua na miongoni mwa chaguzi za wazi sana, huru sana na za haki mno, ambazo pia ni rahisi sana kuwahi kufanyika nchini Tanazania, katika mazingira rafiki, huru, sawa na ya wazi kwa vyama vyote vya kisiasa kufanya kazi zao nchini.
Cha kushangaza hawafanyi chochote ukilinganisha na shauku ya kudai mazingira ya kuadai mikutano walokua nayo kabla hapo nyuma kidogo.
Ushindi wa wa wazi na wa kishindo unanukia kwa chama tawala.
Uanadhani vyama vya siasa upinzani vinakwama wapi au vimeridhishwa na uongozi madhubiti wa serikali sikivu ya CCM chini ya mwana mama shupavu sana, rais Dr.Samia Suluhu Hassan?![]()
SASAHIVI HAWAPO KWENYE SIASA TENA WAPO KUGAWANA FITO TU HAODalili na ishara ni za wazi na bayana kabisa, kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024 na ule uchaguzi mkuu mapema oct.2025, itakua na miongoni mwa chaguzi za wazi sana, huru sana na za haki mno, ambazo pia ni rahisi sana kuwahi kufanyika nchini Tanazania, katika mazingira rafiki, huru, sawa na ya wazi kwa vyama vyote vya kisiasa kufanya kazi zao nchini.
Cha kushangaza hawafanyi chochote ukilinganisha na shauku ya kudai mazingira ya kuadai mikutano walokua nayo kabla hapo nyuma kidogo.
Ushindi wa wa wazi na wa kishindo unanukia kwa chama tawala.
Uanadhani vyama vya siasa upinzani vinakwama wapi au vimeridhishwa na uongozi madhubiti wa serikali sikivu ya CCM chini ya mwana mama shupavu sana, rais Dr.Samia Suluhu Hassan?![]()
njia nzur ya kutoa maoni vizur kwa usahihi ukaeleweka vizur ni kujiepusha na ghadhabu na mihemko isiyo na tija wala maana yoyote 🐒wewe ni mjinga usiyejielewa ile mikutano inayofanyika kule mikoani ninini sasa? kuishiwa pumzi unapimaje wakati kuna baadhi ya maeneo wanakatazwa viwanja vya kufanyia mikutano? unamkataza mtu aliyeishiwa pumzi?
ukute na wewe ni wale mnaotaka mtandao wa x ufungwe? bila kuangalia mapato yatokanayo, ajira nk
nchi ina watu wa hovyo sana hii? lakini hatuwalaumu haya ni matokeo ya
BETTING
CCM milele, wanajua kucheza mchezo wa siasa "divide and rule ". All the best CCM, keep it up!Dalili na ishara ni za wazi na bayana kabisa, kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024 na ule uchaguzi mkuu mapema oct.2025, itakua na miongoni mwa chaguzi za wazi sana, huru sana na za haki mno, ambazo pia ni rahisi sana kuwahi kufanyika nchini Tanazania, katika mazingira rafiki, huru, sawa na ya wazi kwa vyama vyote vya kisiasa kufanya kazi zao nchini.
Cha kushangaza hawafanyi chochote ukilinganisha na shauku ya kudai mazingira ya kuadai mikutano walokua nayo kabla hapo nyuma kidogo.
Ushindi wa wa wazi na wa kishindo unanukia kwa chama tawala.
Uanadhani vyama vya siasa upinzani vinakwama wapi au vimeridhishwa na uongozi madhubiti wa serikali sikivu ya CCM chini ya mwana mama shupavu sana, rais Dr.Samia Suluhu Hassan?![]()
Wanajua hivyo sana tu tangu enzi za JK.Kuna siku CCM watagundua Wapinzani sio Chadema bali ni wananchi wenyewe. Watakuwa wamechelewa sana.
kwahiyo wanakatimia kachadema sio, eti ee 🤣Wanajua hivyo sana tu tangu enzi za JK.
Tena ukisema wananchi jua ni pamoja na walio ndani ya CCM, serikalini hata katika vyombo vya dola lakini hawana ujasiri wa kujitokeza kwa kuogopa madhara na kupoteza fursa.
Wanaitumia CHADEMA kama nyenzo ya kupenyezea kero zao anonymously kama ilivyo JF. Ndio sababu ya nguvu kubwa inayotumika kutaka kuiua CHADEMA na baadhi ya makada wake kwa kila namna. Bahati mbaya CHADEMA sasa ni kubwa zaidi ya mtu mmoja mmoja. It has outgrown its founders.
Mkuu wasaidie wanaojibu mada zako wakuelewe wewe ni nani. Wengi wanafikiri uko nao kwenye kutafuta uongozi bora wa nchi - good governance kumbe sivyo kabisa!wengineo wamekwamia wap unadhani 🐒
Wanaobwekabweka na kulia lia pembeni pembeni umewasikiaje? Mko pamoja huko pembeni? Mimi niliowasikia nimesikia wakiongea hadharani kwenye media na mikutanoni.kwahiyo wanakatimia kachadema sio, eti ee 🤣
kwamba chadema sio mtu moja 🤣
hawa wengine wanabwekabweka na kulia lia nini sasa pembeni pembeni kana si kitu ya mtu moja 🐒
Ujinga wa watanzania ni kudhani viongozi wa upinzani ndio wataleta mabadiliko wananchi tukiwa watazamaji, wakati wenzetu wananchi kwa umoja wao huleta mageuzi.Dalili na ishara ni za wazi na bayana kabisa, kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024 na ule uchaguzi mkuu mapema oct.2025, itakua na miongoni mwa chaguzi za wazi sana, huru sana na za haki mno, ambazo pia ni rahisi sana kuwahi kufanyika nchini Tanazania, katika mazingira rafiki, huru, sawa na ya wazi kwa vyama vyote vya kisiasa kufanya kazi zao nchini.
Cha kushangaza hawafanyi chochote ukilinganisha na shauku ya kudai mazingira ya kuadai mikutano walokua nayo kabla hapo nyuma kidogo.
Ushindi wa wa wazi na wa kishindo unanukia kwa chama tawala.
Uanadhani vyama vya siasa upinzani vinakwama wapi au vimeridhishwa na uongozi madhubiti wa serikali sikivu ya CCM chini ya mwana mama shupavu sana, rais Dr.Samia Suluhu Hassan?![]()
ni kama wewe tu na avatar yako, maoni, mtazamo, michango na hata mada zako zinaendana kabisa na ulivyo kiuhalisia, yani ni pete na chanda chake kabisa na huyo kiongozi wangu mwandamizi 🐒Ila wewe Tlaatlaah hiyo avata yako na aina ya michango yako hapa jukwaani ni mbingu na ardhi. Huyo jamaa kwenye avata yako alikuwa mtu haswa na inaonekana ulimkubali ndio maana ukatumia picha yake.
Ila wewe ni mburura.