Uchaguzi 2020 Upinzani twende na Membe 2020!

Uchaguzi 2020 Upinzani twende na Membe 2020!

Yule Jamaa huwa anajiona ni MKubwa kuliko Tz na wote ni wajinga ye ndo mwenye akili,kumbe watu wametulia wanamchora tu atachexewa mchezo atoamini,ogopa sana watu wakimya.
Ina Maana yeye mpaka sasa hajang'amua kuwa kuna jamaa wanataka kumchezea game?
 
Alafu ww unaonekana upo jikoni huko, hebu tudadavulie bhasi tujue kila kitu.
Ni Ngumu Lakini Ni opt iliyosalia.
lakini c "kf" unachofikiri Ni "Spirtuality"
Mwisho anaachia.

Kwan "Mshua" Round ya pili alifanyaje?

hahaha Mengi hamyafahamu
 
Mbona anaangalia chini kama mtu ambaye hajiamini au aliyelazimishwa kusema hayo anayoyasema
Sio wote wanao angalia chini hawajiamini, wengine wanaakili nyingi, wanafikiria sana kabla ya kuongea, kuinua kichwa kunawatoa kwenye mstari kwa yale wanayoyafikiria kuongea.
 
Hivi kwani katiba ya ccm haisemi mtu akipitishwa na chama kugombea urais miaka mitano ni lazima asubiriwe hadi ahudumu kwa season zote mbili kabla ya kuitisha uchaguzi mwingine ndani ya chama kupata mgombea mwingine?
 
"JokaKuu, post: 31481348, member: 221"]
..jiwe angekuwa serious dhidi ya ufisadi asingekubali kuungana na watu kama rostam azizi,babu seya, madabida,.
Nisichokielewa ni kuwa, kuwaita mafisadi ni kwasababu ya ukata katika chama au sababu za kukwamua biashara za nchi! Sijui
Kitendo cha kukaa nao tu kimepunguza kama si kuondoa hoja ya mapambano ya ufisadi
..kinachowaponza maraisi wetu ni kofia ya uenyekiti wa ccm.
Hii ni kwasababu wanataka kuwa ''secured'' dhidi ya yaliyomkuta Mbeki. Makundi ndani ya CCM yana nguvu sana kiasi kwamba ni tishio. Hata kama hayaonekani bado yanabaki kuwa na nguvu
..hiki chama hakiwezi kujiendesha bila nguvu na rasilimali za MAFISADI.
Na ndicho kilichopora mali zilizojengwa kwa nguvu ya umma na kusema ni za CCM
Inawezakanaje chama cha miaka 50 kilicho na mtandao bado kinategemea ''bakuli''
..Utakuta Raisi anaingia na spidi ya kupambana na ufisadi lakini spidi hiyo inaishia njiani...Kila Raisi alikuja na moto wake ambao ulizimika miaka 2 au 3 wakiwa madarakani.
Ni kwasababu hakuna mwongozo. Mapambano yanabaki kuwa utashi wa mtu na si utaratibu wa kisheria.Laiti vyombo kama Polisi vingekuwa huru kazi ya kupambana na ufisadi ingekuwa rahisi sana. Kwasasa ni ngumu kwasababu vyombo vyote vinawajibika kwa Rais
Usalama, PCCB, Polisi hata watendaji kama DPP na DCI. Hapa ndipo hoja ya vyombo huru inapokuwa na nguvu dhidi ya utashi wa mtu
..Mzee Mkapa [ ripoti ya Warioba / kumshtaki Nalaila Kiula na Dr.Mlingwa]
Ilikuwa moto tu wa kudhihirisha ni Mr Clean
..Mzee Kikwete [ kumshtaki Mramba na Yona].
Hapa hakukuwepo mapambano bali visasi vya kisiasa tu. Ndio mchezo unaondelea dhidi ya CAG
..Sidhani kama Magufuli atakuwa tofauti na watangulizi wake. Dalili zimeshaanza kujionyesha
Vita dhidi ya rushwa ni kubwa na ina mawaa sana. Kuna nyakati unalazimika kumkana nduguyo ili sheria ifanye kazi
Kuanzia suala la vyeti ilikuwa ni dhahiri vita ni ya kuchagua ''cherry pick'' badala ya holistic
Hili lilisabibisha ''wapiganaji' wajiulize inakuwaje na kwanini iwe hivyo na kwanini wao wafanye
 
Team tangatanga bado ipo kazini,imeacha kujenga Chama chao wenyewe sasa kusikia CCM nani agombee.Kibaya hata wale waliokuwa wanawatukana sasa kwao ni lulu.
Umenichekesha sana kwa kunikumbusha siasa za Kenya na Ruto
 
Hivi kwani katiba ya ccm haisemi mtu akipitishwa na chama kugombea urais miaka mitano ni lazima asubiriwe hadi ahudumu kwa season zote mbili kabla ya kuitisha uchaguzi mwingine ndani ya chama kupata mgombea mwingine?
katiba ya CCM haina hicho kipengele
 
Sio wote wanao angalia chini hawajiamini, wengine wanaakili nyingi, wanafikiria sana kabla ya kuongea, kuinua kichwa kunawatoa kwenye mstari kwa yale wanayoyafikiria kuongea.
Umenikumbusha ya Biblia walipompelekea Yesu Mwanamke ambaye walisema wamemfumania akizini wakamtega Yesu kuwa anastahili kupigwa mawe hadi afe. Yesu aliangalia chini akawaambia asiye na dhambi ampige huyu Mwanamke mawe wakatoroka wote.Aliwapa jibu la akili sana akiwa anaangalia chini.Masai ukimuudhi ukiona kainama anaangalia chini kimbia akiinua uso anashindilia sime kwenye tumbo lako
 
Alafu ww unaonekana upo jikoni huko, hebu tudadavulie bhasi tujue kila kitu.
Ahh HAKUNA Cha kudadavua..Akili Kubwa na ukiweza kuunganisha dots UTAELEWA.
Nikidadavua,itakuwa rahisi kujulikana na kudakwa.

Ila Membe HAWEZI kuwa Rais coz Ile Nguvu na "Backups" Hawana Na Hata Yye na kambi Yake wanajua Hilo na ndiyo maana Wana pambana wapate Backup na Mara ya mwisho ilikuwa juzi na jana ambapo walikuwa wanapanga mkakati..

Kama unakumbuka "Mshua" majuzi alikuwa sauz unadhani alienda kufata Nini?
 
Hata ccm pia wajue wakimtoa magufuli tutawaunga mkono magufuli ameliumiza mno taifa ameigawa mno jamii he is a misfit indeed kiongozi lazima uwe unifying factor ss magu sio halafu ni katili mbaya anaejificha kwenye kivuli cha

Vyeti fake
Ghost workers
Stiglaz goj
Mabeberu
Uzalendo fake
Reli
Tunaibiwa kwelikweli
Nk

Hivyo ndio vichaka vyake vya kujifichia huku akiumiza taifa.// ccm wakituondolea hii shida sasa watabarikiwa LA hawakuiondoa damu zitakazomwagika na ziwe juu yao na vizazi vyao!!

Magufuli must go now to heal the nation!!
Aisee tulipata mkosi mkubwa mno kuwa na Rais wa ajabu na katili kiasi hiki, ameanzisha vita asiyoweza kushinda, eti anawachukia wazungu,, 2020 mataifa makubwa yataungana kuhakikisha anatoka madarakani mtu katili kabisa huyu
 
Nimejitahidi kusoma comment za watu ni nami naheshimu mawazo ya wenzangu. Ila swala la watu kuanza kumpigia compaini Mr Membe naona si Sawa. Bado tunaye Rais yako madarakani, alafu harakati zinaanza hii kwangu si Sawa. Tuache Mh Rais aliyeko madarakani atekeleze Majukumu yake.
Gari linazama mtaroni
Dereva mbadala awezaemudu GARI muhimu kumjua mapema
 
Tangawizi ni hatari Kwa afya Na ustawi wa Shamba letu limekuwa sawa Na gugu kuu limeua limeharibu mimea yote,yafaa ling'olewe litupwe ili lisiharibu mazao yalipo.Ni sawa Na pando LA kichawi
 
Back
Top Bottom