Upinzani umekosa hoja na muelekeo, badala kujadili hoja zenye mashiko ili mkubalike mnabaki kujadili takwimu zilizokosewa bahati mbaya

Upinzani umekosa hoja na muelekeo, badala kujadili hoja zenye mashiko ili mkubalike mnabaki kujadili takwimu zilizokosewa bahati mbaya

Mkuu Idugunde , naunga mkono hoja. Kiukweli Tanzania, ni kama hatuna. upinzani kabisa, kwasababu hatuna upinzani makini.
P.

Uko sahihi kwa mtazamo wa nongwa dhidi ya upinzani, hasa ukiwa kwenye mazingira ya kusaka uteuzi.
 
wanaweza kuachiwa week nzima wanajadili halafu Ijumaa wanapewa press release....J3 next week wanaendelea na Ndugai... baada ya miezi miwili wanaletewa topic nyingine waijadili..

Wakati huo nyinyi huwa mnajadili nini? Maana wote huwa tuko hapa hapa kwenye mijadala hiyo hiyo. Labda mtuonyeshe nyinyi huwa mko kwenye mijadala ya Tanzania ya viwanda, wakati sisi tunajadili haya.
 
Wakati huo nyinyi huwa mnajadili nini? Maana wote huwa tuko hapa hapa kwenye mijadala hiyo hiyo. Labda mtuonyeshe nyinyi huwa mko kwenye mijadala ya Tanzania ya viwanda, wakati sisi tunajadili haya.

sisi ndio maproducer tunaamua uelekeo wa music kwa manufaa yetu...hahahaha
 
sisi ndio maproducer tunaamua uelekeo wa music kwa manufaa yetu...hahahaha

Mngekuwa na ujanja huo nchi hii isingekuwa masikini hivyo, wala msingelialia kuwa tunapinga kila kitu. Yaani mkujua kutwanga, sisi tunajua kuanua. Hakuna hoja inajadiliwa kwa mtazamo wenu ndio maana mnaishia kupata jazba.
 
Mngekuwa na ujanja huo nchi hii isingekuwa masikini hivyo, wala msingelialia kuwa tunapinga kila kitu. Yaani mkujua kutwanga, sisi tunajua kuanua. Hakuna hoja inajadiliwa kwa mtazamo wenu ndio maana mnaishia kupata jazba.

nchi kuendele ni issue ya pamoja shirikishi kwa watu wote kujituma kwa nafasi zao ili maendeleo yaje, Watawala kazi yao kutoa guideline na uelekeo ambao wengi wataufuata...

Kama wewe hujitumi, mimi sijitumi, na wengine hawajitumi na kodi hatulipi pia...unategemea maendeleo yaletwe na nani....

Kupinga pinga ni pale ambapo kuna issue ambazo zinamanufaa kwa maana ya chanya kwa jamii lakini nyie kwasababu ya kupata attention na kusikika lazima mpinge na kuleta translation zenu kuchanganya watu..

Mfano: issue ya Acacia na Barrick...Wakati Taifa linajaribu kuchukua approach fulani ili angalau kuleta changes kuna mtu anaitwa Lissu akawa anazunguka huku na kule kubwabwaja utafikiri sio mtanzania kwa hoja zake zisizoeleweka huku akitaka kusikilizwa yeye....

Kwa hali hiyo ya para ya 3 na 4 ndio maana mnakemewe, mkosoe na kuleta njia mbadala na msimame kwenye misingi yenu, mkosoe kwa staha panapopaswa kukosolewa na kuleta suluhu...kuna wakati mnapaswa kuwa kitu kimoja na watawala au Rais kwenye masuala nyeti yenye maslahi mapana ya Tanzania na qatu wake...
 
Naona unamtumia Dr Slaa kuficha agenda yako. Dr Slaa alipoondoka CHADEMA 2015 ndio upinzani ulipata wabunge wengi, halmashauri nyingi na kura nyingi za urais haijawahi kutokea, mpaka Zanzibar matokeo yakafutwa. Na ili ujue Dr Slaa alikuwa mtu mdogo Sana, hata huko kwao Karatu walimsusia wakaichagua CHADEMA kwenye ubunge mwaka 2015.

Pia naomba nikisahishe kidogo, Dr Slaa hakuwa mtu wa upinzani Bali alikuwa mwana CCM. Alihamia CHADEMA mwaka 1995 baada ya kukatwa kwenye kura za maoni CCM. Hivyo CHADEMA waliposhindwa kumteua kuwa mgombea urais 2015 akahama na kurudi CCM. Hivyo alikuja CHADEMA kimaslahi na Wala hakuwa mpinzani wa kweli. Wapinzani wakweli wanajulikana.

Kuhusu wapinzani kutoadress matatizo yaliyopo nchini naomba utafute hotuba ya Mh Lissu ya Juzi, kaongelea issues nyingi Sana zinazo mgusa mwanachi wa kawaida Kama ajira, mfumuko was Bei na Deni la nje pamoja na miradi mikubwa.
Mimi nilitoa maoni na wala sio mnazi wa chama chochote, huo ushindi mlioupata
2015 ni kwa sababu ya mgawanyiko uliotekea ccm na ushawishi binafsi wa Lowasa. Ninachoamini mpka leo Dr angekuwepo upinzani Angela mngekuwa na agenda madhubuti mnazosimamia.

Nakumbuka mzee Lowasa alisema mnapaswa kubadilika kutoka kwenye uanaharakati kwenda kuwa chama cha siasa lakin hamkumwelewa hasa nyie mashabiki wa mitandaoni.Chama making cha siasa hakifai kundandiadandia matukio kama kinapaswa kuwa na agenda ambazo zitaeleweka mpaka na mtoto mdogo.
 
Mkuu Idugunde , naunga mkono hoja. Kiukweli Tanzania, ni kama hatuna. upinzani kabisa, kwasababu hatuna upinzani makini.
P.
Bila upinzani makini jeshi la polisi lingelala, umakini wa upinzani ndiyo unaloifanya serikali na CCM walihangaishe jeshi la polisi litumie nguvu badala ya akili kuwalinda.
 
nchi kuendele ni issue ya pamoja shirikishi kwa watu wote kujituma kwa nafasi zao ili maendeleo yaje, Watawala kazi yao kutoa guideline na uelekeo ambao wengi wataufuata...

Kama wewe hujitumi, mimi sijitumi, na wengine hawajitumi na kodi hatulipi pia...unategemea maendeleo yaletwe na nani....

Kupinga pinga ni pale ambapo kuna issue ambazo zinamanufaa kwa maana ya chanya kwa jamii lakini nyie kwasababu ya kupata attention na kusikika lazima mpinge na kuleta translation zenu kuchanganya watu..

Mfano: issue ya Acacia na Barrick...Wakati Taifa linajaribu kuchukua approach fulani ili angalau kuleta changes kuna mtu anaitwa Lissu akawa anazunguka huku na kule kubwabwaja utafikiri sio mtanzania kwa hoja zake zisizoeleweka huku akitaka kusikilizwa yeye....

Kwa hali hiyo ya para ya 3 na 4 ndio maana mnakemewe, mkosoe na kuleta njia mbadala na msimame kwenye misingi yenu, mkosoe kwa staha panapopaswa kukosolewa na kuleta suluhu...kuna wakati mnapaswa kuwa kitu kimoja na watawala au Rais kwenye masuala nyeti yenye maslahi mapana ya Tanzania na qatu wake...

Alichosema Lisu kwenye suala la Acacia na Barick alikuwa wazi, ila kwa sababu ilikuwa ni awamu ya kusaka sifa ndio maana ikatoka tafsiri tofauti. Huyo aliyejifanya anapambania madini, alikuwa kimya wakati Lisu anafuatilia mambo hayo. Kumbe kupambania raslimali za taifa ni mpaka uwe rais? Sisi kila kitu tunacho kuanzia njia mpaka suluhisho la hayo mambo. Mfano mrahisi ilikuwa ni elimu bure, wakati mkipinga tulisema inawezekana, Lakini baadae mkarukia tena sio kwa ubora tuliotaka sisi. Mnataka kupewa support na kila mtu ingieni madarakani kwa haki, lakini kitendo cha kuingia kwa kupora uchaguzi huo ushirikiano sahauni.
 
Mkuu Idugunde , naunga mkono hoja, upinzani Tanzania ni kama hakuna kitu!
P.
Fyi wanaoongoza kuongelea hiyo kasoro ni wanaCCM wa team JOBO. Asilimia kubwa ya wapinzani wako upande wa mama...


Watu wasikimbie vivuli vyao kwa kutumia mwavuli wa wapinzani
 
Tatizo la msingi huwa ni nini hasa?

ubovu, uongo au ubutu wa viongozi wao legelege wenye kuzingatia zaidi maslahi yao binafsi kwanza?

au

ni sera mbovu na mikakakati duni ya vyama vyao, isiyo tekelezeka na iliyokosa matumaini ya kuleta tija, mabadiliko na mageuzi kwa wananchi?

au kwa vile hawana uwezo wa kujitegemea, wala hawana ofisi za maana za kudumu, kwamba hata likitokea la kutokea kuna mahali pa uhakika unaweza kuwakuta?🐒
 
Tatizo la msingi huwa ni nini hasa?

ubovu, uongo au ubutu wa viongozi wao legelege wenye kuzingatia zaidi maslahi yao binafsi kwanza?

au

ni sera mbovu na mikakakati duni ya vyama vyao, isiyo tekelezeka na iliyokosa matumaini ya kuleta tija, mabandiko na mageuzi kwa wananchi?🐒
Ushawahi kuziona sera za wapinzani?

Hakuna wapinzani, kuna wapigaji tu.
 
Tatizo la msingi huwa ni nini hasa?

ubovu, uongo au ubutu wa viongozi wao legelege wenye kuzingatia zaidi maslahi yao binafsi kwanza?

au

ni sera mbovu na mikakakati duni ya vyama vyao, isiyo tekelezeka na iliyokosa matumaini ya kuleta tija, mabandiko na mageuzi kwa wananchi?🐒
Nini maana ya upinzani? au huko CCM kwa wajinga mna Definition tofauti kuhusu upinzani?
 
Tatizo la msingi huwa ni nini hasa?

ubovu, uongo au ubutu wa viongozi wao legelege wenye kuzingatia zaidi maslahi yao binafsi kwanza?

au

ni sera mbovu na mikakakati duni ya vyama vyao, isiyo tekelezeka na iliyokosa matumaini ya kuleta tija, mabadiliko na mageuzi kwa wananchi?🐒
kwa sababu hawana dola, wakipata dola watawala wa sasa wakiwa wapinzani na wao watapata shida kurudi utawalani.
 
Tatizo la msingi huwa ni nini hasa?

ubovu, uongo au ubutu wa viongozi wao legelege wenye kuzingatia zaidi maslahi yao binafsi kwanza?

au

ni sera mbovu na mikakakati duni ya vyama vyao, isiyo tekelezeka na iliyokosa matumaini ya kuleta tija, mabadiliko na mageuzi kwa wananchi?🐒
AU
Uzuri wa CCM, I mean, hawana natusi. Ilani zao ni credible, practical na zinatekelezwa. Hakuna sera yenyeni Muungano harufu ya Udini au Ukabila. Kikubwa zaidi ya vyote ni Muungano, hili hawalioni kabisa wenzetu.
 
AU
Uzuri wa CCM, I mean, hawana natusi. Ilani zao ni credible, practical na zinatekelezwa. Hakuna sera yenyeni Muungano harufu ya Udini au Ukabila. Kikubwa zaidi ya vyote ni Muungano, hili hawalioni kabisa wenzetu.
Mjinga mwingine
 
Back
Top Bottom