Upinzani unawavunja moyo Watanzania. Hili la bandari halitapita Bure bila kuleta ufa Kwa upinzani watanzania wakiujua ukweli wa adui yao wa maendeleo

Upinzani unawavunja moyo Watanzania. Hili la bandari halitapita Bure bila kuleta ufa Kwa upinzani watanzania wakiujua ukweli wa adui yao wa maendeleo

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
2,789
Reaction score
4,951
Wapinzani wanatumia ujinga wa watu kujieneza. Wanatambua nchi hii wenye uelewa wa mambo ni wachache na hao wachache wapo kimya Kwa sababu hawataki kuonekana ni wanasiasa.

Kuhusu hili la bandari, ni uthibitisho tosha kundi la wasio na uelewa linaburuzwa na kukokotwa bila kujijua. Wanatumia mbinu za kuchochea hasira ili watu walipuke, ni kama bomu linategwa.

Hili bomu bahati mbaya litawalipukia wategaji bila kujua Muda wa saa wa kulipuka kwake. Siku ambayo watanzania wataanza kuona faida za uwekezaji bandarini ndio siku ambaye Imani Kwa upinzani itafutika kabisa mioyoni mwa wanaoumini.

Maana siku hiyo watanzania watamjua adui yao wa kweli kwenye maendeleo yao. Ni siku ambayo watamjua ni nani aliyekuwa hataki ajira zitengenezwe au ziwepo, ni siku ambayo watanzania watajua ni nani hasa mnufaika mkuu wa umasikini wa watu.

Bado hawachelewa kabla ya kujizika wenyewe kwenye kaburi la zege. Hili la uwekezaji wa bandari ni kaburi la zege Kwa upinzani, mwenye macho na atazame yaliyo mbeleni.
 
Rubbish, watanzania sio wajinga, mikataba mingapi tunaingia ya kimangungo? Juzi ndege imaachiwa baada ya kulipa pesa, Leo Kuna kesi mwekezaji wa mgodi wa nickel anadai billioni 300,itakuwaje kwenye bandali tuingie mkataba mzuri, ACHA UJINGA, atuwaamini haya majizi.
 
Wapinzani wanatumia ujinga wa watu kujieneza. Wanatambua nchi hii wenye uelewa wa mambo ni wachache na hao

Bado hawachelewa kabla ya kujizika wenyewe kwenye kaburi la zege. Hili la uwekezaji wa bandari ni kaburi la zege Kwa upinzani, mwenye macho na atazame yaliyo mbeleni.
Aliyekuloga naye kalogwa
 
Wapinzani wanatumia ujinga wa watu kujieneza. Wanatambua nchi hii wenye uelewa wa mambo ni wachache na hao wachache wapo kimya Kwa sababu hawataki kuonekana ni wanasiasa.

Kuhusu hili la bandari, ni uthibitisho tosha kundi la wasio na uelewa linaburuzwa na kukokotwa bila kujijua. Wanatumia mbinu za kuchochea hasira ili watu walipuke, ni kama bomu linategwa.

Hili bomu bahati mbaya litawalipukia wategaji bila kujua Muda wa saa wa kulipuka kwake. Siku ambayo watanzania wataanza kuona faida za uwekezaji bandarini ndio siku ambaye Imani Kwa upinzani itafutika kabisa mioyoni mwa wanaoumini.

Maana siku hiyo watanzania watamjua adui yao wa kweli kwenye maendeleo yao. Ni siku ambayo watamjua ni nani aliyekuwa hataki ajira zitengenezwe au ziwepo, ni siku ambayo watanzania watajua ni nani hasa mnufaika mkuu wa umasikini wa watu.

Bado hawachelewa kabla ya kujizika wenyewe kwenye kaburi la zege. Hili la uwekezaji wa bandari ni kaburi la zege Kwa upinzani, mwenye macho na atazame yaliyo mbeleni.
Pelekeni mawkili wenu huko mahakamani kuna kesi ya kujibu kama huo mkataba ni wa manufaa kwa watanzania au ni manufaa kwa mafisadi
 
Wapinzani wanatumia ujinga wa watu kujieneza. Wanatambua nchi hii wenye uelewa wa mambo ni wachache na hao wachache wapo kimya Kwa sababu hawataki kuonekana ni wanasiasa.

Kuhusu hili la bandari, ni uthibitisho tosha kundi la wasio na uelewa linaburuzwa na kukokotwa bila kujijua. Wanatumia mbinu za kuchochea hasira ili watu walipuke, ni kama bomu linategwa.

Hili bomu bahati mbaya litawalipukia wategaji bila kujua Muda wa saa wa kulipuka kwake. Siku ambayo watanzania wataanza kuona faida za uwekezaji bandarini ndio siku ambaye Imani Kwa upinzani itafutika kabisa mioyoni mwa wanaoumini.

Maana siku hiyo watanzania watamjua adui yao wa kweli kwenye maendeleo yao. Ni siku ambayo watamjua ni nani aliyekuwa hataki ajira zitengenezwe au ziwepo, ni siku ambayo watanzania watajua ni nani hasa mnufaika mkuu wa umasikini wa watu.

Bado hawachelewa kabla ya kujizika wenyewe kwenye kaburi la zege. Hili la uwekezaji wa bandari ni kaburi la zege Kwa upinzani, mwenye macho na atazame yaliyo mbeleni.
Huyu ni juha, ni lini serikali ya CCM ilisaini mikataba yenye tija kwa taifa, lini!?
 
Rubbish, watanzania sio wajinga, mikataba mingapi tunaingia ya kimangungo? Juzi ndege imaachiwa baada ya kulipa pesa, Leo Kuna kesi mwekezaji wa mgodi wa nickel anadai billioni 300,itakuwaje kwenye bandali tuingie mkataba mzuri, ACHA UJINGA, atuwaamini haya majizi.
🤔🤔🤔☹️☹️☹️☹️☹️☹️
 
Back
Top Bottom